Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 3,621
- 6,511
Imagine mahakama ya ICC wanatangaza kufungua uchunguzi rasmi wa makosa ya jinai dhidi ya Samia, mara anajiandaa kusimama kizimbani huko The Hague, halafu machawa mnazindua uwanja wa AFCON na kuupa jina lake. Hapo italeta picha gani? Hapo hata Motsepe mwenyewe atawakimbia.
Naona kuna kasi ya kujenga viwanja vingi Zanzibar. Sasa hivi vimefika hadi vitatu kama siyo vinne vinapendekezwa kutumiwa kwa ajili ya AFCON huku Tanganyika hakuna uwanja hata mmoja ulio tayari.
Inawezekana wanajiandaa kwa uwezekano wa AFCON kufanyika Tanzania bila kufanyika Tanganyika?
Kuna picha linaonekana linakuja huko mbele, watu wanaandaa kete zao ila sijui wengine mmejiandaaje.....
Naona kuna kasi ya kujenga viwanja vingi Zanzibar. Sasa hivi vimefika hadi vitatu kama siyo vinne vinapendekezwa kutumiwa kwa ajili ya AFCON huku Tanganyika hakuna uwanja hata mmoja ulio tayari.
Inawezekana wanajiandaa kwa uwezekano wa AFCON kufanyika Tanzania bila kufanyika Tanganyika?
Kuna picha linaonekana linakuja huko mbele, watu wanaandaa kete zao ila sijui wengine mmejiandaaje.....