Nimeku PM ,sifa zote nnazo kasoro sina kazi mie ni mkata mkaa.
mwenye sifa zifuatazo
.awe na umri kuanzia miaka 30
.mcheshi
.elimu haijalishi awe na kazi
.kuw na mtoto haijalishi
uje pm
wasifu wangu
nina 25
nina shahada ya kwanza
nina kazi
naishi mwenyewe
NITAKUpA MAELEZO YOTE PM
Ninakwambia kitu ambacho nina ushahidi nacho ni kweli kuna matapeli na kuna wenye mapenzi ya dhati mimi nimempata mtu humu humu jamiiforums na tunapedana sana ninampenda na yeye ananipenda sana
Ulishawahi tapeliwa au wivu tuMamii stay focused kuna matapeli humu....