Kuna uwezekano wa kumpata mume humu

Kuna uwezekano wa kumpata mume humu

Ninakwambia kitu ambacho nina ushahidi nacho ni kweli kuna matapeli na kuna wenye mapenzi ya dhati mimi nimempata mtu humu humu jamiiforums na tunapedana sana ninampenda na yeye ananipenda sana
 
Ninakwambia kitu ambacho nina ushahidi nacho ni kweli kuna matapeli na kuna wenye mapenzi ya dhati mimi nimempata mtu humu humu jamiiforums na tunapedana sana ninampenda na yeye ananipenda sana

kweli??????
 
mwenye sifa zifuatazo
.awe na umri kuanzia miaka 30
.mcheshi
.elimu haijalishi awe na kazi
.kuw na mtoto haijalishi
uje pm


wasifu wangu
nina 25
nina shahada ya kwanza
nina kazi
naishi mwenyewe

NITAKUpA MAELEZO YOTE PM

Hi, mambo zako
 
Bado uko njiani ama umeshafika,mwisho wa safari???
 
oooh! nimekosa
nafasi hivi hivi kisa umri,

kama una uwezo wa kuzaa mimi nina miaka 24,
lakn nimekupenda sifa zako, pm plz
 
Habari yako dada,kiafya mimi sijambo,kwa huruma yako ni pm mimi niondokane na huu upweke,ukishindwa ni beep kupitia namba hizi 0655641111
 
Kuna mmoja hadi ameapa,khaaa...!Aisee aonewe huruma kwa wagombea wengine tujitoe.Very touching(laughing!)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom