g93
New Member
- Jul 19, 2020
- 1
- 0
🏢 FURSA YA KIPEKEE YA UWEKEZAJI – COMMERCIAL PLOT YA KIBIASHARA KINONDONI 🔑
Unatafuta eneo lenye uwezo mkubwa wa kukuza biashara na kupata returns nzuri?
Hii ni nafasi yako ya kumiliki Commercial Plot yenye hati halali katika eneo linalokua kwa kasi kibiashara.
📍 Eneo: Nyakasangwe, Kinondoni District
📐 Ukubwa: 2,530 SQM
📄 Matumizi: Commercial (Retail & Wholesale)
💰 Bei: Kuanzia TSh 350,000,000/= (Mazungumzo yapo)
✅ Eneo linafaa kwa miradi mikubwa kama:
🏬 Shopping Plaza
🏭 Warehouse ya biashara
⛽ Petrol Station
🛒 Supermarket
🏢 Office + Retail Mix
🚚 Distribution Hub
Plot ipo kwenye eneo lenye movement kubwa ya watu, biashara zinazokua na potential kubwa ya ongezeko la thamani ya ardhi kwa uwekezaji wa muda mrefu.
📍 NAMNA YA KUFIKA – COMMERCIAL PLOT
🚌 Kwa usafiri wa umma:
Plot zote zimeungana na zina hati ya Wizara:
1️⃣ Residential Plot – 831 SQM
💰 Bei: TSh 25,000,000/= (Mazungumzo yapo)
2️⃣ Residential Plot – 785 SQM
💰 Bei: TSh 25,000,000/= (Mazungumzo yapo)
📍 Namna ya kufika Kinondo:
📞 Kwa maelezo zaidi, kuona eneo au kufanya mazungumzo ya bei — wasiliana nami: 0783 966839 call/WhatsApp au email: gtumaini2010@gmail.com . Karibu sana!
Unatafuta eneo lenye uwezo mkubwa wa kukuza biashara na kupata returns nzuri?
Hii ni nafasi yako ya kumiliki Commercial Plot yenye hati halali katika eneo linalokua kwa kasi kibiashara.
📍 Eneo: Nyakasangwe, Kinondoni District
📐 Ukubwa: 2,530 SQM
📄 Matumizi: Commercial (Retail & Wholesale)
💰 Bei: Kuanzia TSh 350,000,000/= (Mazungumzo yapo)
✅ Eneo linafaa kwa miradi mikubwa kama:
🏬 Shopping Plaza
🏭 Warehouse ya biashara
⛽ Petrol Station
🛒 Supermarket
🏢 Office + Retail Mix
🚚 Distribution Hub
Plot ipo kwenye eneo lenye movement kubwa ya watu, biashara zinazokua na potential kubwa ya ongezeko la thamani ya ardhi kwa uwekezaji wa muda mrefu.
📍 NAMNA YA KUFIKA – COMMERCIAL PLOT
🚌 Kwa usafiri wa umma:
- Shuka Tegeta Kibaoni
- Nenda karibu na Sheli ya Camel Oil kwenye njiapanda ya Wazo
- Pembeni ya sheli kuna bajaji zinazoelekea maeneo kama Mivumoni, Msigani na Madale
- Panda bajaji ya Msigani (TSh 2,000/=)
- Shuka kituo cha Kwa Mathias kabla ya Msigani Center
- Kuna T-Junction
- Fuata njia ya Mahakama ya Mwanzo ya Wazo
- Kutoka kituoni hadi plot ni takribani mita 400
- Kutoka plot hadi Mahakamani ni takribani mita 150
- Ukiwa umetokea upande wa Goba au Madale, pita njia ya Madale hadi kufika kituo cha Flamingo baada ya Zahanati
- Utaona njia inayoingia kuelekea eneo la plot
- Ukiwa umetokea upande wa Wazo, baada ya kituo cha Usalama (Madale Polisi Station) utaona njia inayojengwa kwa kiwango cha lami
- Ingia kwenye hiyo njia na ifuate moja kwa moja
- Utafika kwenye T-Junction ya Kwa Mathias
- Usikate kona, endelea mbele kidogo kuelekea Mahakamani
- Kabla hujafika Mahakamani utakuwa umefika kwenye eneo la plot
Plot zote zimeungana na zina hati ya Wizara:
1️⃣ Residential Plot – 831 SQM
💰 Bei: TSh 25,000,000/= (Mazungumzo yapo)
2️⃣ Residential Plot – 785 SQM
💰 Bei: TSh 25,000,000/= (Mazungumzo yapo)
📍 Namna ya kufika Kinondo:
- Shuka kituo cha Bunju A
- Kutoka Bunju A hadi eneo la plots ni takribani TSh 2,000/= kwa bodaboda
📞 Kwa maelezo zaidi, kuona eneo au kufanya mazungumzo ya bei — wasiliana nami: 0783 966839 call/WhatsApp au email: gtumaini2010@gmail.com . Karibu sana!