spacing
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 265
- 108
Kuna uwezekano mkubwa wa kupelekwa mswada wa ajira za mkataba katika utumishi wa umma kwa ngazi zote.Watumishi wa umma tujiandae kisaikolojia, hata maaandiko matakatifu yananena hivi" Siku ya atakapokuja mwana wa adamu hakuna aijuaye isipokuwa baba"
KWAHIYO SITAKI KUULIZWA Maswali yasiyo na msingi kuhusu thread hii.
KWAHIYO SITAKI KUULIZWA Maswali yasiyo na msingi kuhusu thread hii.