Azimio la kazi
Senior Member
- Jun 7, 2023
- 138
- 451
Hivi kuna uwezekano wa kumaliza chuo na mwaka huohuo au baada ya mwaka mmoja ukapata ajira tena serikalini.
Hasa kwenye fani ya ualimu na uuguzi?
Hasa kwenye fani ya ualimu na uuguzi?
Hakuna bahati ya aina hiyo Leejay. Happy konekshen tu. Kuna jamaa namfaham ndugu yake na mstaafu mzee...... Kakata mwaka mmoja mtaani bro kapataKila kitu kinawezekana...ni bahati na connection tu rafiki yangu
Unaona🤣. Kama kawa kama dawaKila kitu kinawezekana...ni bahati na connection tu rafiki yangu
Kuna marafiki zangu walimaliza hata miezi mi5 haikufika unaskia tu washapata... ila ndo hivyo asije akawa na too much expectations zitamcostHakuna bahati ya aina hiyo Leejay. Happy konekshen tu. Kuna jamaa namfaham ndugu yake na mstaafu mzee...... Kakata mwaka mmoja mtaani bro kapata
Ni kweliUnaona🤣. Kama kawa kama dawa
🤣🤣🤣. I love youNi kweli
Me too bestie 🥰🥰🤗🤣🤣🤣. I love you
❤️❤️❤️Me too bestie 🥰🥰🤗
Simuoni Lovie Lady jamani,, yuko wapi sikuizi 😃😃🤔❤️❤️❤️
Sio kirahis lkn inawezekana, ila private sector unasoma huku unafanya kaziKuna marafiki zangu walimaliza hata miezi mi5 haikufika unaskia tu washapata... ila ndo hivyo asije akawa na too much expectations zitamcost
Yeah ni kweli,,Sio kirahis lkn inawezekana, ila private sector unasoma huku unafanya kazi
Huo ni uongo🤣🎶🎶baada ya kumaliza masomo nlipata kazi🎶🎶
Hahah😂😂😂Inategemea "babaako" ni nani hapa nchini!
Hebu faulu uwe Best student Chuoni huwa inapigwa simu moja tu toka serikalini kuwa tunamuhitaji huyo kijana Ofsi ya waziri Mkuu aje aanze kazi maalum hapa ofsini.Hivi kuna uwezekano wa kumaliza chuo na mwaka huohuo au baada ya mwaka mmoja ukapata ajira tena serikalini.
Hasa kwenye fani ya ualimu na uugu