Kuna uwezekano wa kuanzishwa kwa ajira za mkataba serikalini

Umeona eehhh kumbe na wewe yamekukuta eeehhh? Yaani mie sina hamu kabisa nimegeuka kuwa mwalimu siku hizi... ila kuna moja ndio iliniacha hoi kaja kufanya field/intern kafanya kamaliza akaaga namuuliza vip report umeandika? ananiambia yanini sasa mie nishamaliza miezi yangu mitatu nasepa nikamwacha hu hu kufika huko anadaiwa report yakamshuka anarudi Dada nisaidie kunitumia report ya waliopita ni edit!!!! Maajabu.............
Wanashangaza sana vijana.....
 
Kuna
uwezekano mkubwa wa kupelekwa mswada wa ajira za mkataba katika utumishi wa umma kwa ngazi zote.Watumishi wa umma tujiandae kisaikolojia,hata maaandiko matakatifu yananena hv
"Siku ya kja mwana wa adamu hakna aijuaye isipokuwa baba"
KWAHIYO SITAKI KUULIZWA Maswali yasiyo na msingi kuhusu thread hii.
Hii itakuwa the best move serikali inaweza fanya....
 
Kwa vyeti tuuu aahhh wapo vizuri waweke kazini sasa ni majanga matupu hata kuandika barua/memo ni shida mpaka unashangaa huyu mtu katokea wapi jamani unachoka kabisa

Yuko mmoja Senior Accountant, BCom, sasa hivi anamalizia Masters yake , IFM bado desertation inaandikwa Sinza... yaani hawezi kuandika barua ya kiingereza yenye ya mistari kumi na tano. Anatumia masaa 6, msaada huku na kule na pamoja na ku google.
Ni aibu.
 
Hiyo itakuwa nzuri maana nichoka na kazi za uma napumzika kwa muda na siku nikitaka kurudi na sain new contract.
 
kwa serikali za kiAfrica kuvunja mkataba na kubadili sheria ni kitu kdogo sana,chochote knawezekana mkuu
Kama kwa kuvunja sheria kila kitu kinawezekana. Nilimaanisha kwa kufuata taratibu za nchi.
 
sirikali bwana wnatubana hoo wapen uhakika watumish wenu wakat nao watumish wo kishkaji naona wanaanza kuwazingua
 
Kuna
uwezekano mkubwa wa kupelekwa mswada wa ajira za mkataba katika utumishi wa umma kwa ngazi zote.Watumishi wa umma tujiandae kisaikolojia,hata maaandiko matakatifu yananena hv
"Siku ya kja mwana wa adamu hakna aijuaye isipokuwa baba"
KWAHIYO SITAKI KUULIZWA Maswali yasiyo na msingi kuhusu thread hii.

Na wao Wawe tayari kulipa social security fund za watu kwa wakati amasivyo,...
 
Peleka MTU mtaani kwanza ili ajifunze mambo unapoamua kumrudisha kazini akili iwe makini
 
Yuko mmoja Senior Accountant, BCom, sasa hivi anamalizia Masters yake , IFM bado desertation inaandikwa Sinza... yaani hawezi kuandika barua ya kiingereza yenye ya mistari kumi na tano. Anatumia masaa 6, msaada huku na kule na pamoja na ku google.
Ni aibu.
We umekwenda mbali sana mistari 15?? Anaanzaje kwanza hiyo miwili changanya na title weka na shukran na sahihi ni kama mitano tu haiweze sembuse hiyo 15?? Ni adhabu ya mwaka hiyo............ Hao wa mahesabu eti huwa wanavisingizio eti mie siasa/history siweze mie hata ukinipa document nasoma namba za ukurasa tu maneno someni nyie.....
 
Bora walete hiyo maana contract ikiisha unapewa chako, hapo haina shida, akili zitachemka sana
 
Mkataba ukiisha nitapewa changu???

manake isije ikawa naambiwa nisubiri niwe na miaka 60 ndio nipewe vyangu
 
Kuna
uwezekano mkubwa wa kupelekwa mswada wa ajira za mkataba katika utumishi wa umma kwa ngazi zote.Watumishi wa umma tujiandae kisaikolojia,hata maaandiko matakatifu yananena hv
"Siku ya kja mwana wa adamu hakna aijuaye isipokuwa baba"
KWAHIYO SITAKI KUULIZWA Maswali yasiyo na msingi kuhusu thread hii.
Hiyo mkuu wa nchi mbona alishaisema siku nyingi ajira ya mkataba
 
ni naona technologies imekua sana watumishi wa umma musiwe wagumu kujiapdate kwa fani zenu,unakta Mkuu wa shule hana hata computer hku anahandle wanafunzi zaid ya 400
Elimu yetu sijui hata ipoje mkuu, mtu wa kidato cha sita akikutwa na laptop shuleni hasa boarding shule za serikali anapewa suspension, na wakati kuna nchi nilienda niliona mtoto wa darasa la kwanza anafanya assignment online na ana submit,daaah tupo nyuma mpaka inauma, ndio. maana wenzetu mtu akifika umri wa miaka 12 anakuwa ameisha anza programming baadae tunasema wazungu wachawi
 
Back
Top Bottom