Ukristo na Uislamu na kuwa dini za kidunia au dunia
Dunia ni pana zaidi ya Tanzania.
Tutizame ramani hii ya dunia ikionesha dini zimejiimarisha wapi na ni zipi ili kupata picha halisi ya imani hizi :
Ukristo na Uislamu na kuwa dini za kidunia au dunia
Kumbe according to uislamu sawa.Hio ndio definition ya dini according to uisilamu? Soma comment uelewe
Nakuunga mkono mama tuachane na hawa akina mtume Mohamed tumwelekee KRISTO Hakim wa watu woteHilo unalosema ni kweli 100%, Watu wamemfata paulo badala ya kristo.
Ukimuwacha Muhammad (saw) ndiyo umemuwacha Yesu.Nakuunga mkono mama tuachane na hawa akina mtume Mohamed tumwelekee KRISTO Hakim wa watu wote
Uislam ni kipande kidogo sana ndan ya ukristo hakitoshi kukufikisha mbingun kwa BABAUkimuwacha Muhammad (saw) ndiyo umemuwacha Yesu.
Mkaristo wa kweli ni Muislam,
Kumbuka hayo.
Katika historia inaonyesha kabla ya Ukristo na Uislamu baadaye kulikwa na dini kubwa za maeneo mbalimbali lakini hazikuwa dini za kidunia kama Ukristo na Uislamu ambavyo zimekuwa dini za kidunia.
Je kuna uwezekano zikaja dini nyingine zikapiku Ukristo na Uislamu na kuwa dini za kidunia au dunia ikarudia kama enzi hizo za dini nyingi mbalimbali za kimaeneo/ kijamii/ kikanda?
D
Ukristo siyo dini. Ni imani.
Waliitwa kwanza Wakristo na Waarabu wa Syria.
Dini ndiyo chanzo cha terrorism.D
Ukristo siyo dini. Ni imani.
Waliitwa kwanza Wakristo na Waarabu wa Syria.
Kiufupi mfumo au system ya kumtawala binadamu kwa kutumia dini unaelekea mwishoni...rise and fall factor!Dini ndiyo chanzo cha terrorism.
"terrorism" ndiyo nini?Dini ndiyo chanzo cha terrorism.
Sawa.Katika historia inaonyesha kabla ya Ukristo na Uislamu baadaye kulikwa na dini kubwa za maeneo mbalimbali lakini hazikuwa dini za kidunia kama Ukristo na Uislamu ambavyo zimekuwa dini za kidunia.
Je kuna uwezekano zikaja dini nyingine zikapiku Ukristo na Uislamu na kuwa dini za kidunia au dunia ikarudia kama enzi hizo za dini nyingi mbalimbali za kimaeneo/ kijamii/ kikanda?