Dalili zishaanza kuonekana kuhusu muenendo wa hizi dini
Lazima dini zifutike, hii ni asili ya dunia kuondoa kila aina ya mifumo feki ya maisha na kurudisha mifumo Original.
The same way kwa hizi dini, dalili zake mshaziona kama vile👇
👉 Wazee wa kidini&wachungaji kujawa hofu kuhusu imani za dini zao kwa wafuasi wao na watoto wao, hivyo wanatumia nguvu kubwa sana kuwafanya wabaki makanisan&misikitin&vipindi vya dini mashuleni, kinguvu ama kwa vitisho na mafundisho potofu ya kuwalaghai na kuwabrainwash.
👉 Vijana kuanza kuhoji kila kitu kuhusu uhalali wa hizi dini na undani wake, yaan vijana wa sasa wanahoji hata yale maswali ambayo wazee wafia dini walikuwa wakisema ukiuliza ni kukufuru eti mambo ya imani hayaojiwi sijui Mungu ndie mwenye majibu, haya mambo na huu upuuzi si kwa kipindi hiki, mtoto ukimnyima majibu sahihi basi atayapata nje huko kwa wenzie, mitandaoni, kiufupi hutoweza kumficha kitu maana ni wakati sahihi wa majibu kupatikana.
👉 Dini kukosa mvuto na ushawishi kwa jamii kutokana na mikanganyiko ya mafundisho yake, yaani dini zinajipinga zenyewe, hazina facts wala logics, pia hazina historical informations zozote ambazo ziko proved zaidi zaidi kila tukio ktk mafundisho ya dini limejawa utata na hata uwepo wake hauwezekani na hata matukio na wahusika wa hizo dini hawana ushahidi wowote wa uwepo, zaidi zaidi utaambulia matukio ya waanzilishi na waenezi wa hizo dini, lkn wale wahusika haswa wa matukio na mafundisho ya hizo dini na vitabu vyake hawana ushahidi wa uwepo(fictional characters).
Mfano, matukio ya Adamu na bustani ya Edeni ni uongo na uzushi maana huko Iraq Asia majangwani hakuna tabia nchi ya kusapoti mazingira fananishi na hiyo edeni.
Pili, matukio ya hao waisrael feki kuwepo utumwani Misri(Afrika) hakuna ushahidi na hata hivyo Afrika haijawai husika na biashara haramu ya utumwa kwa wazungu&warabu wa middel east, hakuna ushahidi wa kisayansi wala kihistoria, hivyo tukio hili ni uzushi.
Tatu na la mwsho, ni kuhusu suala la chimbuko la binadamu na asili ya tofauti zao, dini zote hizi zinafichaficha haswa chanzo cha tofauti za rangi za watu ni kipi?, wamebase kwenye uzushi na uongo kuwa watu wote wametoka ktk uzao wa baba na mama mmoja, yaani mzungu/mwarabu aje amzae mtu mweusi???? Hiii sio kisayansi tu hata kichawi na kishirikina haowezekani na haitowai kuwezekana watu weupe walete uzao wa mtu mweusi, kama dini zenu zinavyodai huyo Nuhu mtu mweupe ndie aliyeleta uzao wa watu weusi, maana yake hapo kabla hawakuwepo, 😀😀😀asee dini hizi.
Kwa hayo machache ni kwamba mwisho wa dini umefika, wafuasi watagalagala, wataandamana, watalia, wataomba kwa hiyo Miungu yao lkn ukweli utabaki palepale DINI ZOTE lazima zife na hakuna takataka yoyote itakayozaliwa baada ya hapo zaidi ya ukweli tu ndio utakao tawala milele.
Poleni wafiwa kwa msiba mchungu, no way out lazima mlie tu.