Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 15,879
- 36,243
Bila shaka ushakuwa milionea mkuu 😀😀Mkuu Kama huku mine pi basi itakushangaza kwani wenzio tunaenda kuwa ma milllionaire soon...hakika mvumilivu hula mbivu.
Bila shaka ushakuwa milionea mkuu 😀😀Mkuu Kama huku mine pi basi itakushangaza kwani wenzio tunaenda kuwa ma milllionaire soon...hakika mvumilivu hula mbivu.
Hilo sio la kuuliza mkuu nilikua na pi zangu 2500 nimeuza immediately sijataka kungoja.Bila shaka ushakuwa milionea mkuu 😀😀
Umeuza kwa bei gani?Hilo sio la kuuliza mkuu nilikua na pi zangu 2500 nimeuza immediately sijataka kungoja.
Umeuza kwa bei gani?
Naona binance mzigo unasoma 0.655$
Naona binance mzigo unasoma 0.65599
Kama ulisubiria ipande ndo uuze ndo matokeo yake hayo...mm huwa nauza immediately coin ikiwa listed sisubirii mkuu.Naona binance mzigo unasoma 0.65599
😄😀😄😃Hata ukifika $10,na unazo 100 hauna hasara mkuu.............unashangaa after 5th Bitcoin halving Pi moja unauzwa zaidi ya $100Sidhani kama itaifikia Bitcoin sababu hii Pi ina watu wengi alafu wote wanaisikilizia nikiwemo mimi
Ni kweli hatuna hasara ila mbona Pi haifiki hata dollar 1😄😀😄😃Hata ukifika $10,na unazo 100 hauna hasara mkuu.............unashangaa after 5th Bitcoin halving Pi moja unauzwa zaidi ya $100
Kuna mambo mawili,either hufatilii mambo=wewe ni mjinga,au wewe ni mpumbavu. Kua mjinga sio vibaya maana Kuna room ya kujifunza.Ni kweli hatuna hasara ila mbona Pi haifiki hata dollar 1
Wewe unaangalia wapi? Mimi nikigoogle inaonesha pi1 ni sawa na Tsh 5Kuna mambo mawili,either hufatilii mambo=wewe ni mjinga,au wewe ni mpumbavu. Kua mjinga sio vibaya maana Kuna room ya kujifunza.
Tunavoongea sasa hivi Pi Moja ni $1.48 wewe unasema Mbona Pi haijafika $1,😃😆😆Je wewe sio mpumbavu?
Wewe unaangalia wapi? Mimi nikigoogle inaonesha pi1 ni sawa na Tsh 5
Ukifanikiwa kua na watoto wafundishe hivi:-Wewe unaangalia wapi? Mimi nikigoogle inaonesha pi1 ni sawa na Tsh 5
Wewe unaangalia wapi? Mimi nikigoogle inaonesha pi1 ni sawa na Tsh 5
Sema una hasira sana mkuu, kulikoni?Ukifanikiwa kua na watoto wafundishe hivi:-
Kama kitu hakijui,asisite kuuliza,maana maarifa yapo kwenye vichwa wa watu wengine.
Kinyima chake anageuka mpumbavu=mtu asiyeju,akaelekezwa bado akaendelea kujifanya anajua kitu/"fact"isiyo sahihi.
Imagine unakua na rais,waziri,mbunge mwenye mentality ya kubisha ukwei ambao upon dhahili kwenye vitabu,blogs,internet etc
Pi coins kama ilivo crypocurreencies nyinginze zozote zile Bei yake inaoneshwa in real time at:-
1.Coinmarkercap.com
2.Coingeko
3.Coinbase
4.Binance
Kuna exchanges zimelist Pi,ambazo ni:-
1.OKX
2.gate.io
3.Bitget
4.MEXC
5.Bitmart
6.CoinW
2015 Kuna wapumbavy walibisha hivo hivo Bitcoin haiwezi kwensa popote,leo ipo $95000,
Pi hata kama haitoweza kua kama Bitcoin,ikitokea imefika $20,30,70ama 100,hakuna mtu atayepoteza chochote,.
Ni Bora mtu mwaka 2015 angetumi 2M Tsh kumiliki 2 Bitcoin Leo hii angekua ameuaga umasikini na hata kama Bitcoin ingekua $0,huyo mtu asingekua masikini zaidi sababu kapoteza 2M tsh,....................ni risk reward ratio,unapima.............hakuna mtu aanyejua Pi itakuaje,hayupo,........na hapa ndio unakuta wale waliogoma kuchimba wakiamini utapeli wanaumia kuona Pi iliyochimbwa Bure Leo inauzwa $1.5=4,000/=
Sina hasira,nimekuelimisha nje ndani jinsi ya kudeal na issues usije tia aibu sehemu nyingine.Sema una hasira sana mkuu, kulikoni?
Sawa boss, lakini unakumbuka mpumbavu ni mtu ambaye hata umfundishe vipi hafundishiki?Sina hasira,nimekuelimisha nje ndani jinsi ya kudeal na issues usije tia aibu sehemu nyingine.
mtu yeyote mwenye akili ataona logic
Mpumbavu anaweza sema nina hasira,ama atakuja kubisha kwa mawazo yake,bila kuweka "reference" yeyote ile,baada ya kuchota maarifa yaende yamsaidie,jitahidi usiwe kama hao,😄😄
Milion mia nne ndo kuuaga umaskin mkuuUkifanikiwa kua na watoto wafundishe hivi:-
Kama kitu hakijui,asisite kuuliza,maana maarifa yapo kwenye vichwa vya watu wengine.
Kinyume chake anageuka mpumbavu=mtu asiyejua,akaelekezwa bado akaendelea kujifanya anajua kitu/"fact"isiyo sahihi.
Imagine unakua na rais,waziri,mbunge mwenye mentality ya kubisha ukweli ambao upo dhahili kwenye vitabu,blogs,internet etc
Pi coins kama ilivo cryptocurreencies nyingine zozote zile Bei yake inaoneshwa in real time at:-
1.Coinmarkercap.com
2.Coingeko
3.Coinbase
4.Binance
Kuna exchanges zimelist Pi, hapa watu wanauza na kununua ambazo ni:-
1.OKX
2.gate.io
3.Bitget
4.MEXC
5.Bitmart
6.CoinW
2015 Kuna wapumbavu walibisha hivo hivo Bitcoin haiwezi kwenda popote,leo ipo $95000,
Pi hata kama haitoweza kua kama Bitcoin,ikitokea imefika $0,$20,30,70 ama 100,hakuna mtu aliyemine atapoteza chochote.
Ni Bora mtu mwaka 2015 angetumia 2M Tsh kumiliki 2 Bitcoin Leo hii angekua ameuaga umasikini na hata kama Bitcoin ingekua $0,huyo mtu asingekua masikini zaidi sababu tu kapoteza 2M tsh,....................ni risk reward ratio,unapima.............hakuna mtu anayejua Pi itakuaje,hayupo........na hapa ndio unakuta wale waliogoma kuchimba wakiamini utapeli wanaumia kuona Pi iliyochimbwa Bure Leo inauzwa $1.5=4,000/=😀😆😅
Hata bilioni 400,ikiwa utatumia bilioni 1 kila siku huwezi kuuaga umasikini,.......vivo hivo kwa mtu mwenye milioni 400,akijenga nyumba zake 8,za milioni 50 ndani ya DSM,chanika,Mbande,Kibaha,etc akazipangisha, huyo sio masikini tena,nauhakika 100%,95% ya watanzania hawana uwezo wa kumiliki nyumba 8 za milioni 50 Kila mojaMilion mia nne ndo kuuaga umaskin mkuu