ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Kenya wamejenga viwanja vya Kisasa hasa ule wa Raila Odinga Stadium
Uganda wamejenga uwanja vikubwa na vya kisasa kabisa
Sisi Tanganyika viwanja vizuri vinajengea Zanzibar Kwa fedha za Tanganyika
Huku Tanganyika tupo kama mazuzu,
Uwanja wa Arusha hadi Leo Bado
Uwanja wa Dodoma Bado
Tukumbuke Rwanda halali ana viwanja vikubwa na anajua laZima Tanganyika atanyanganywa
Uganda wamejenga uwanja vikubwa na vya kisasa kabisa
Sisi Tanganyika viwanja vizuri vinajengea Zanzibar Kwa fedha za Tanganyika
Huku Tanganyika tupo kama mazuzu,
Uwanja wa Arusha hadi Leo Bado
Uwanja wa Dodoma Bado
Tukumbuke Rwanda halali ana viwanja vikubwa na anajua laZima Tanganyika atanyanganywa