Kuna Uwezekano Mganga wa Kienyeji aliyemfanyia Kazi Tukuka Musiba akawa ndiyo huyu huyu wa Yanga SC inayoenda kuwa Bingwa wa CAFCC 2023

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,689
109,116
Tafadhali Poti wangu Musiba kuna Demu Mmoja wa Kihaya na Kinyiramba si tu ananisumbua bali ananikondesha pia kwa Kunikatalia kunipa 'Tamu Baioloji' yake.

GENTAMYCINE nipo chini ya Fito zako naomba unipe Namba yake / zake za Simu ili nimpigie anifanyie Kazi yangu ifanikiwe ning'oe Mzigo kama alivyokufanikishia Kiukamilifu kabisa ( tena haina Mbambamba ) nawe leo mida ya Saa 5 na dakika 7 Asubuhi.

Nitashukuru Poti wangu Cyprian Musiba.
 
Back
Top Bottom