anayemlipa mpiga zumari ndiye huchagua wimbo.
SISI TUMEMCHAGUA KIKWETE NA SISI NDIO TUTAMWONDOA,YYEYE KAMWEKA PINDA PALE NA YEYE NDIYE ANAMPANGIA NINI CHA KUONGEA.
tusubiri 2015 tuuondoe huu udhalimu.
hili linawezekana na amini angeweza kufanya vinginevyo lakini mwisho wa siku ni maisha ya mtu ni ya msingi zaidi. tukumbuke kuwa vilevile huyu mtu ni usalama wa taifa na anawajibu wa moja kwa moja wa kumtii rais wake.
lakin niliwaambia watu kuwa kikwete yuko tayari waziri mkuu apoteze uwaziri wake kuliko kukubali marafiki zake wapoteze uwaziri kirahisi! kwanza kuna kila dalili hawa watu huenda na wao wanafanya kazi kimkanda mkanda tu hawakubaliani kwa mambo mengi!lakini MUNGU yupo ipo siku