shegaboy
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 213
- 34
nadhani jana Spika aliposema wanaoafiki hoja ya kuarisha bunge, pale bunge CCM waliwazidi wapinzani , lakini aliposema wasioafiki waseme sio... wapinzaini kwa uchache wao walisaidiwa na watu wote tuliokuwa njee ya bunge na kusema sio....
Kuna ukweli wa wazi kabisa jamani je kwani amkumuona MKE WAKE NA WATOTO WAKE WOTE PALE BUNGENI kabadilishiwa hotuba huyooooooooooooooooooo