Kuna umuhimu wa Sophia Simba?

Kuna umuhimu wa Sophia Simba?

Wanasema alizaa na Kitwana Kondo aliyekuwa Meya wa Jiji la Dar; Ambaye alikuwa Mzee wa SAIGON ambapo ndio Kikwete akiwa kijana alikuwa pia anakwenda, na Kitwana Kondo alikuwa anamsaidia Sana Mzee Mwinyi kupangua Upinzani Mwingi wa JK Nyerere

Ndio Connection za Kikwete kuwa Rais zikaanza na Kitwana akataka Sophia Simba atunzwe kama shukrani...
 
umetaja wa chama kimoja tu je wale wa chama cha maandamano unawahifadhi kwa faida ya nani? Hadi rangi ya kuvuli zao tunaweza kukutajia anayovaa Jumatatu hadi Jumapili
Kwani wao ni mawaziri mbona hata wewe hizo kufuli zako zilizosiga kwenye mfereji wa masaburi zinajulikana
 
ameanza km secretary ni kwel kisha akajiendeleza akasoma certificate in law udsm,akajiendeleza tena kwa kusoma advanced diploma in women law na masters of science in community devl ktk chuo cha hemphshire college of usa.ukitaka ukweli angalia kwenye cv za wabunge.taarifa hz zipo kwenye bunge website.lecturers wake ni pamoja na prof shirji,fimbo na shaidi.hv mnajua hata prof alianzia na u secretary badae akajiendeleza?jaman no reserch no right to speak.jaman tuwe wasomi.
 
Muacheni huyo mama. Ni wivu tuu. Wala si umri wenu. Anaweza kuwazaa nyinyi mmepoteza dira
 
ameanza km secretary ni kwel kisha akajiendeleza akasoma certificate in law udsm,akajiendeleza tena kwa kusoma advanced diploma in women law na masters of science in community devl ktk chuo cha hemphshire college of usa.ukitaka ukweli angalia kwenye cv za wabunge.taarifa hz zipo kwenye bunge website.lecturers wake ni pamoja na prof shirji,fimbo na shaidi.hv mnajua hata prof alianzia na u secretary badae akajiendeleza?jaman no reserch no right to speak.jaman tuwe wasomi.

Mbona hamsemi aliuza baa pia?
 
hana mume ana mtoto mmoja wa kiume alimzaa na jamaa mmoja mpigania uhuru wa ANC kutoka South Africa kipindi wako na kambi Moro

Kumbe Mama Sophia Simba naye ni SENIOR BACHELOR? Sasa mbona u-bachelor wake tena Senior hauhojiwi na akina Lusinde, Mwingulu, Sendeka kama wanavyohoji u-BACHELOR wa Joshua Nassari tena u-bachelor Joshua JUNIOR! Am I missing something? OR Is it a case of a kettle calling a pot BLACK?

Mama Porojo ninaomba ufafafanuzi wa hii double standard ya CCM. Nasikia hata yule mama wa Mhimili mwingine wa DOLA naye ni BACHELOR MWAANDAMIZI (Senior). Ama kweli if you are living in a glass house do not throw stones!
 
mhe mama sophia simba ni mtetezi no.1 kwa wanawake na amekuwa akifanya hvyo tokea akiwa wizara ya utawala bora,kwanza ni msomi aliyepata stashahada ya sheria ni ni mwanamke anayereta ukomboz kwa wanawake..km kuna mengne jamani semeni mhe sophia simba kuzaliwa mjini isiwe shida jamani..

jiulize kwanini hajaolewa?? kambale??
 
Kama unamtamani mama wa watu tukupe namba yake. Thread yako imejaa mapenzi ni kama unaona wengine wanafaidi. Mpigie kwa namba 075475902 anapokea simu ya kila wananchi wenye shida atakusikiliza shida yako
Mmhh, shida yoyote!!
 
Da Sophie ana LL.M kutoka UDSM. Chezea yeye wewe?

Sasa ilikuwaje akaogopa interview (Usahili) wakati anagombea ubunge wa SADC? Kwa kuwa interview iliyokuwa inafanywa na wabunge wenyewe ilikuwa inaendeshwa kwa lugha ya kiingereza, mama akaingia mitini na still akapewa huo ubunge........hiyo ndiyo Tanzania.
 
Sasa ilikuwaje akaogopa interview (Usahili) wakati anagombea ubunge wa SADC? Kwa kuwa interview iliyokuwa inafanywa na wabunge wenyewe ilikuwa inaendeshwa kwa lugha ya kiingereza, mama akaingia mitini na still akapewa huo ubunge........hiyo ndiyo Tanzania.

Unashangaa nini? Mbona JK alikacha mdahalo na Dr. Slaa still mkamchagua kuwa RAIS wa JMT?!

Hebu Obama ajaribu kufanya hivyo dhidi Mit Romney uone kama ataambulia hata electrol vote ya JIMBO moja?

Nasikia hata huko Arumeru Mashariki CCM pia wamemkimbiza Sioi Sumari dhidi ya Joshua Nassari
 
Kumbe mmetumwa na "Firstlady Mcharuko". Huyo mama Mcharuko zimemfyatuka tangu mzee alipokosa urais. Msipoteze wakati wenu akutumieni vibaya kwa kumtukana mama wa huyu. Huyo ni Hapatoshi na Hazitoshi. Muulizeni yule Mzee wa Wagogo atawaeleza jinsi anavyo nyanyasa mpaka ameugua moyo. Acha wee. Mtafungua pandora box humu litawageuka.
 
vipi, umechanganyikiwa na CV ya Sophia. Nenda kwenye Bunge Website ujue ukweli wa elimu yake. Mbona unafanya reference isiyo na tija. Mama yetu alikuwepo lakini hakutakiwa kuhojiwa kwani alikuwa mgombea pekee. Na nyinyi mkafanya deal. Kwani kule United Nations akienda huwa anakwenda kuongea kichaga au kigogo. Tumia akili we. Chuki yako nini.
 
Wewe umesoma mpaka darasa la ngapi mama goal keeper? Stashahada unaijua mama wa nyumbani? Mbona unamuanguasha umpendae? Au ndo njaa zenyewe!

mhe mama sophia simba ni mtetezi no.1 kwa wanawake na amekuwa akifanya hvyo tokea akiwa wizara ya utawala bora,kwanza ni msomi aliyepata stashahada ya sheria ni ni mwanamke anayereta ukomboz kwa wanawake..km kuna mengne jamani semeni mhe sophia simba kuzaliwa mjini isiwe shida jamani..
 
kuolewa au kutoolewa hayo ni maisha binafsi ya mtu,mhe sophia ni kiongoz hodari na wanawake hatujawahi kujuta tangu tumtambue,semeni shda ni nn mpaka muanze kumpaka tena kwa mambo binafsi,maana yy kazaliwa mjini ni kweli lakin kumbukeni hata nyie watoto wenu sasa hv mmewazaa mjini..acheni majungu alaaa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom