Kuna ukweli kuhusu SMS ya usahili kutoka KCB?

Dilas

Member
Jul 24, 2012
80
67
Habari,

Je, kuna ukweli wowote kuhusiana na sms iliyotumwa tarehe 22/08/2023 kuhusiana na usahili?

sms inasomeka hivi:

"Tafadhali fika VETA Chang'ombe kwa usahili tarehe 25/08/2023 saa moja asubuhi ukiwa na kitambulisho kati ya hivi, NIDA/mpiga kura/leseni ya udereva/barua ya serikali ya mtaa na picha 3 kwa mawasiliano zaidi 076898** au 076898**"

Nimejaribu kupiga hizo namba hazipatikani kabisa. sms ilikuja bila namba na imeandikwa "KCB". mwenye uelewa na hili naomba anifahamishe.
 
habari,
je kuna ukweli wowote kuhusiana na sms iliyotumwa tarehe 22/08/2023 kuhusiana na usahili?
sms inasomeka hivi, "Tafadhali fika VETA Chang'ombe kwa usahili tarehe 25/08/2023 saa moja asubuhi ukiwa na kitambulisho kati ya hivi, NIDA/mpiga kura/leseni ya udereva/barua ya serikali ya mtaa na picha 3 kwa mawasiliano zaidi 076898** au 076898**"
nimejaribu kupiga hizo namba hazipatikani kabisa. sms ilikuja bila namba na imeandikwa "KCB". mwenye uelewa na hili naomba anifahamishe.
Hapo chang'ombe nilishawahi fika, utaenda kupewa vyombo utembeze.
 
Mbona walitangaza kuwa watatuma sms kwa watu walio omba kwaajiri ya usahili,nenda kwenye page ya KCB utapata taarifa zaidi
 
Nakumbuka walitoa tangazo la ufadhili wa masomo nadhani katika fani ya ufundi ivo wale walituma maombi wameitwa. Kama nawe ulituma maombi nenda sio utapeli
 
Back
Top Bottom