Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Ni kweli cha maana ni furaha yako, (hata ukiwa peke yako).., lakini kama unampenda mtu na ukiwa nae unapata furaha ila kuna vikasoro vidogo vidogo inabidi uangalie pembeni au kuvikubali tu hivyo vikasoro (unajua tena even a rose has thorns),
Kuhusu standards labda mtu unategemea angel kutoka kwa mwanadamu, yaani unategemea mambo makubwa sana kwake badala ya kumkubali kama alivyo.
mambo makubwa kama yapi?