Kuna uhusiano gani kati ya mapenzi na elimu?

Kuna uhusiano gani kati ya mapenzi na elimu?

M2mishi

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
719
Reaction score
274
Ukimuona mdada hapa jamiiforums kaweka tangazo anatafuta mchumba hata kama yeye kaishia darasa la saba utasikia elimu kuanzia form six na kuendelea unatafuta form six na kuendelea au unatafuta mchumba?

Ondoa dhana potofu kua walio na elimu ya form six na kuendelea ndio pekee wanaoishi maisha bora. Ukweli huu,

Maisha yetu ya kitanzania mpaka sasa bado hayana mfumo rasimi kuna baadhi ya wasomi wanaishi maisha mazuri baadhi yao wanaishi kwa dhiki ambao ndio wengi. wachache kati ya ambao hawajasoma wanaishi kwa raha na ndio wanao endesha biashara kubwa hapa nchini.

Ushauri katika kutafuta mchumba usiweke kigezo cha elimu pengine wajizibia ridhiki kumpata ambae hajafikia elimu unayo itaka lakini maisha yake na mambo yake safi PESA NI KILA KITU KATIKA MAISHA. SHIKAMOO PESA
 
Saasa kila mtu anachaguo lake!!!!!
Utawapangia mpaka rangi ya vyupi sasa!!!!
 
Yatakuwa yamekukuta wewe sio bure.....tho wajua bora uelewa kichwani kuliko mali ya mtu sa zingine....
 
nenda evening class acha kulialia hapa, pesa bila elimu utakuwa mshamba tu kama meddy mpakanjia.
 
Kwa wengine kigezo cha elimu ni moja ya vigezo muhimu sana katika mahusiano ya kimapenzi/ndoa


 
Last edited by a moderator:
kuna mwingne ana hata masters lakin ukiish nae unashindwa kumtofautisha na std 7. Ishu hapa ni uelewa sio vidato na vyuo
 
Ukimuona mdada hapa jamiiforums kaweka tangazo anatafuta mchumba hata kama yeye kaishia darasa la saba utasikia elimu kuanzia form six na kuendelea unatafuta form six na kuendelea au unatafuta mchumba?

Ondoa dhana potofu kua walio na elimu ya form six na kuendelea ndio pekee wanaoishi maisha bora. Ukweli huu,

Maisha yetu ya kitanzania mpaka sasa bado hayana mfumo rasimi kuna baadhi ya wasomi wanaishi maisha mazuri baadhi yao wanaishi kwa dhiki ambao ndio wengi. wachache kati ya ambao hawajasoma wanaishi kwa raha na ndio wanao endesha biashara kubwa hapa nchini.

Ushauri katika kutafuta mchumba usiweke kigezo cha elimu pengine wajizibia ridhiki kumpata ambae hajafikia elimu unayo itaka lakini maisha yake na mambo yake safi PESA NI KILA KITU KATIKA MAISHA. SHIKAMOO PESA

Marahabaa ....haahaaa
 
Kwa wengine kigezo cha elimu ni moja ya vigezo muhimu sana katika mahusiano ya kimapenzi/ndoa




una elimu huna pesa ndo nn sasa??
hv Bak mfano mwanao anaumwa alf hn pesa utamtibiaje uyo mtt
na ndan hkn chakula aiyaa sasa utatoa elim yk wale
SHKAMOO NOTII
 
Last edited by a moderator:
Wasaidie kuwa elewesha hawa people wanabishia ukweli. PESA HESHIMA KAKA KWINGINE KOTE MBWEMBWE
 
Kama pesa ndiyo ingekuwa muhimu katika kudumisha penzi basi kule Hollywood ambapo celebrities wana mapesa ya kumwaga ndoa zao zingekuwa hazivunjiki kwa asilimia kubwa ukilinganisha na zile ambazo si za celebrities.

una elimu huna pesa ndo nn sasa??
hv Bak mfano mwanao anaumwa alf hn pesa utamtibiaje uyo mtt
na ndan hkn chakula aiyaa sasa utatoa elim yk wale
SHKAMOO NOTII
 
Back
Top Bottom