wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,714
- 26,833
Zile hazihusiani na huku uraiani kumbuka kule ni kambini hivyo sio wengi wanazisikiaVipi kuusu wajeda nyimbo zao za mchakamchaka.
Zile hazihusiani na huku uraiani kumbuka kule ni kambini hivyo sio wengi wanazisikiaVipi kuusu wajeda nyimbo zao za mchakamchaka.
Pole sana brazaHalafu nilibakiwa nazo mb 12 saiz zipo 7 jamaa kazingua kinoma noma!
Ni ngumu maana kuna kiitikio kama huzijui huwezi furahiaWeka basi hata kidogo matusi ya hao wajeshi
Nina video yao wanatukana sana naogopa kuiweka hapa maana ban sio kitu kizuri kabisa kwa msimu.Hao wajomba wa Tanesco kuna siku walikuja kuweka nguzo mtaan karibu kabisa na hom, nilipowaona tu ikanibid niondoke hom maana bi mkubwa, madogo na mzee walikuwepo hom. Nikaenda mtaa wa pili ila wale wajomba sauti wanazo, niko na wana kule tukawa tunawasikia doooooh!
Kuna makuli wa bandarini plus wazee wa bandari kule pia kuna mafundi magari wa garage local
hawa washenzi hawana nidham kabisa na sometime ni udhalilishaji , niliona wakati wanapandisha zile nguzo wanaimba kimatako matako msogezeee, akapita dada mmoja na kimini chake wakaanza tena oona oona qumer ile pale ooona oona qumer le palee
Mkuu ngoja nikuambie. Sijakataa unachosema. Na kuongezea labda niseme hivi: Sio Tanzania tu ila huu ni utamaduni uliyoko kwenye kila nchi. Hata Ulaya na Marekani uko. Lakini sehemu nyingine matusi huishia huko huko kwenye sehemu za kazi. Hayavuki mpaka na kuingia makazi ya watu. i.e. wakija mafundi nyumbani kwako au wabeba mizigo wanakuwa na heshima kwani wanajua mazingira waliyopo siyo yao bali ni ya mteja. Concern yangu ni pale hawa wa Tanesco wanapohamishia matusi kwenye makazi ya watu. Kuna siku walikuwa wanarekebisha nguzo nyuma ya nyumba niliyopanga na walikuwa wanatuka matusi mazito mpaka ikabidi tukimbie nyumba kwa muda kwa sababu tulikuwa na watoto wadogo wanadadisi kila kitu. Halafu unakuta wanaingilia mpaka uhuru wa wapita njia. ASkipita mwanamke wanaanza kusema matusi yasiyoandikika.Mkuu, ukubali ukatae ukweli ndiyo huo. Sehemu zozote ambazo kazi za nguvu zinatawala matusi lazima yawepo. Angalia jeshini, wavuvi, bandarini, migodini nk. Matusi yanaleta ahuweni na morali. Leave them alone.
. Fernando JrHahahahah!! Mkuu marinda yamebaki kweli!?
Nakudai mb zanguVideo hawa hapa wakisimamisha nguzoView attachment 963609
poleNakudai mb zangu
Migodini ni kama chai!Kazi nyingi za nguvu zina uhusiano la lugha ya matusi. Zoea tu mkuu.
Walevi je?Mkuu uliwahi kusikia watu wa railway?
Hahaha mkuu umenikumbusha kipindi nipo village wakati tunarudi kutoka kuvua usiku mnapiga makasia huku mkiimba nyimbo za matusi, sababu ni usiku halafu mpo ziwani mbali na kijijini, lakini kesho mtaulizwa kwamba mlikuwa mnaimba nyimbo za matusi. Nikakugundua usiku sauti inasafiri kwenda mbalina wavuvi nao wanamatusi sana
Electricity = Mechanical × square of civil
Naiomba pm nduguNina video yao wanatukana sana naogopa kuiweka hapa maana ban sio kitu kizuri kabisa kwa msimu.
Hahahaa! Ckumoja walikuja factory kwetu arusha kubadilisha line sasa wakati wanavuta waya wakawa wanaimba hivi " ina wakaaaa wa ina wakawaka sasa mi nikajua ni bi harusi mwisho wakasema mkund inawakawaka. Wakaanza tena inamereeeme wengine wakaitikia inameremeta kum inamereta. Du nkachoka.kijana tupe uzooefu wako site za umeme
Mkuu ntumie whatsapp ncheke kidogoNaiomba pm ndugu
Hahahah! Mzee badala ya kuwatimua mkacheze mtaa wa saba anawafungia ndani! Nadhani kimuhemuhe alikipata