Lexus SUV
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,193
- 5,123
fala babakoBila kusahau mafundi gereji, wee fa.la leta spanner hapa
fala babakoBila kusahau mafundi gereji, wee fa.la leta spanner hapa
Hahaha..matusi ni ya kugusa tu, ukikaa mazingira ya aina hiyo unajikuta unaona ni maongezi ya kawaida tufala babako
wanaponyanyua nguzo utasikia;
kaza kaza kaza mkund kazaa
wakinyanyua wanaanzisha wimbo mwingine utasikia;
mama ulipanua mapaja kwa baba maskini
ona mwanao naumiaaa ooh naumiaaa
chibonge nimemiss vicheko vyako, umepotelea wapi?
Nippon Janene majukumu tuuuchibonge nimemiss vicheko vyako, umepotelea wapi?
pambana rafiki yangu mpendwaNippon Janene majukumu tuuu
pambana rafiki yangu mpendwa
Pamoja Sana rafiki wangu
Vumilia tu,mwesta ,kama unavyopata tabu kuangalia baadhi ya vituo vya luninga wanawake wakinengua nusu uchi,na mkwe pembeni. Ndo utandawazi huoLeo nikiwa nimekaa zangu nje na wakwe mida ya saa 9 jioni kumbe hawa ndungu walikuwa katika harakati zao za kurekebisha nguzo za umeme zilizoanguka kutokana na mvua ya jana.
Bwana weee nilikosa la kufanya mbele wa baba na mama mkwe niliposikia matusi yaliyokuwa yakitolewa na hawa jamaa.
Hawa vijana wanafurumusha matusi kwa njia ya nyimbo,mwisho nikawa nashindwa kuelewa hawa ndugu hayo ndo maadili ya kazi wanayifundishwa mweli.
Jamani TANESCO naombeni mtuambie kama huo ndo utaratibu wa kazi tujue maana huo siyo ustaarabu kabisa.
pale pale wapi mkuuBlaza pole kwa safari hivi bado uko pale pale
wanaponyanyua nguzo utasikia;
kaza kaza kaza mkund kazaa
wakinyanyua wanaanzisha wimbo mwingine utasikia;
mama ulipanua mapaja kwa baba maskini
ona mwanao naumiaaa ooh naumiaaa
Haya hilo gogo liende, liende.
Kmmke liende, liende.
Mwanaume nyanyua, nyanyua.
Acha usng nyanyua, nyanyua.
Kmmko jikaze, jikaze.
Hukusoma jikaze, jikaze.
Hahahahaaaaaa gogo lishasimamaa
Hizo sio nyimbo za matusi, ni nyimbo za hamasaLeo nikiwa nimekaa zangu nje na wakwe mida ya saa 9 jioni kumbe hawa ndungu walikuwa katika harakati zao za kurekebisha nguzo za umeme zilizoanguka kutokana na mvua ya jana.
Bwana weee nilikosa la kufanya mbele wa baba na mama mkwe niliposikia matusi yaliyokuwa yakitolewa na hawa jamaa.
Hawa vijana wanafurumusha matusi kwa njia ya nyimbo,mwisho nikawa nashindwa kuelewa hawa ndugu hayo ndo maadili ya kazi wanayifundishwa mweli.
Jamani TANESCO naombeni mtuambie kama huo ndo utaratibu wa kazi tujue maana huo siyo ustaarabu kabisa.