Kuna ubaya gani Zanzibar ikajitenga na kuwa huru kama Zamani?

Duh!
Mmeshaanza siasa zenu za matisho, kutishia watu wanaodai nchi yao eti washikwe wawakwe ndani mafia..mbona mtajaza mafia kwa wananchi wote wapenda haki wakiwemo wabara wasiopenda huo muungano .what is so special with zenj? si muwaachie nchi yao wakiwa chini ya sultan so it be! mbona tanganyika mko chini RA

Again, mnazungumzia katiba as if katiba inahudumiwa badala ya katiba kuhudumia matakwa ya wananchi wakitaka kujitenga waende zao ni matakwa yao wabadilishe katiba iwahudumie period!

Tuambieni faida za muungano kwa Tanganyika sisi wagogo wa dodoma tunafaidi nini na muungano? kwanini tushughulikie na kutumia resources kufanya koloni nchi ya watu...sioni mantiki zaidi ya matisho na ubabe wa wabara..

Guess what tunapata gharama za bure kuendesha muungano usio na faida yeyote kwa Tanganyika?

- Hata wakoloni walitupatia nchi kwa kutumia sheria na katiba, haikuwa tu holela holea waacehie tu nchi maana ni yao, hapana mkuu hii ni dunia ya katiba na sheria, kama kweli Visiwani hawataki Muungano watumie haki zao kikatiba na kufuata taratibu za kisheria, wanaweza kwenda UN kulalamikia nchi yao, au kule the Haque.

- Tunategmea viongozi wote wa Muungano kuelewa hilo kwamba wamezikuta sheria waziheshimu kama hawawezi waachie ngazi, lakini hatuwezi kupigishana makelele yasiyo na sababu wakati sheria zipo wazi na haizimzuii anybody kudai anything, ila iwe kwa kuheshimu katiba na sheria za jamhuri.

- Muungano unanifanyia nini au haunifanyii nini it is a none-ishu, sio kila kitu cha serikali kinanipa faida, kuna ambavyo vinawapa faida wengine ambao ni wananchi kama mimi, wasiotaka Muungano wafuate sheria na katiba, kama sisi tulivyofuata sheria na katiba kudai uhuru kwa wakoloni.

Respect.


FMEs!
 
- Hata wakoloni walitupatia nchi kwa kutumia sheria na katiba, haikuwa tu holela holea waacehie tu nchi maana ni yao, hapana mkuu hii ni dunia ya katiba na sheria, kama kweli Visiwani hawataki Muungano watumie haki zao kikatiba na kufuata taratibu za kisheria, wanaweza kwenda UN kulalamikia nchi yao, au kule the Haque.

- Tunategmea viongozi wote wa Muungano kuelewa hilo kwamba wamezikuta sheria waziheshimu kama hawawezi waachie ngazi, lakini hatuwezi kupigishana makelele yasiyo na sababu wakati sheria zipo wazi na haizimzuii anybody kudai anything, ila iwe kwa kuheshimu katiba na sheria za jamhuri.

- Muungano unanifanyia nini au haunifanyii nini it is a none-ishu, sio kila kitu cha serikali kinanipa faida, kuna ambavyo vinawapa faida wengine ambao ni wananchi kama mimi, wasiotaka Muungano wafuate sheria na katiba, kama sisi tulivyofuata sheria na katiba kudai uhuru kwa wakoloni.

Respect.

FMEs!

Mkuu,
Wakoloni wakifanya je ni lazima sisi tufanye kama wao hapo sijakuelewa, kumbe bado tunaiga kila kitu hata baada ya uhuru, au ndio hivyo tena tunaiga nyerere hata kama ni marehemu

Je wewe unafuata na kugang'ania kitu ambacho hata hujui faida yake, kwakuwa none-issue, why using our scarce resouces to maintain a none -issue? fedha zinazotumika kwenye muungano si wapeleke maji sumbawanga na barabara shinyanga...naamini unajificha kwenye nyasi kuna issue ndio maana unalazimisha wafuate hiyo katiba?

Katiba inatumikia watu mkuu sio kwamba watu wanatumikia katiba ..hayo ni maandishi tu ndugu ..yanatakiwa yawafaa watu siyo iwe ndio tatizo kwa mambo yenye faida..waondoke hatuna resources za ku-maintain ukoloni, wengine hatupendi mataifa yanayo colonize watu hata kama ni yetu period!

South african walihalalisha ubaguzi kwa katiba ndugu, mandela na wenzake walitumia any means necessary ikafa katiba ya kibaguzi, sioni tatizo katiba ya Tanzania kutoa fursa ya watu kujiondoa ikiwa wanataka...ya nini ku- kolonize nchi na watu wake? note: wafungwe jela kama ulivyosema?
 
- Mkuu PM, darasa zito sana hili kwa wasioelewa historia na siasa ya Tanzania kwa ujumla na hasa Muungano, kuvunjika kwa Muungano sio interest yetu bara wala wananchi wengi wa Visiwani, isipokuwa ni interest ya Sultan na vibaraka wake wachache kina Seif na wenzake,

- Again kudai kuvunja Muungano nje ya vikao vya kikatiba ni kuvunja sheria ya jamhuri ya Muungano, ambayo Rais wetu na wasidizi wake wamekula kiapo kuulinda kwa nguvu zao zote na uwezo wao wate na akili zao zote so help them God, simply ni treason against Republic, wakamatwe wote wapelekwe kule Mafia kama vile last time wale waliojaribu huko nyuma wakiongozwa na Jumbe!

- Kwenye hili kusiwe na compromise wala negotiation somebodypeleka rumande wote wakorofi hao, wakishavunja muungano watavunja kila kitu hawa fungilia mbali wote tena now!

Respect.


FMEs!
Siamini kwamba katika karne ya sayansi na teknolojia ,uwazi na ukweli ,kuna mtu anaweza akatoa mawazo kama hayo red bolded, too low my bro! sorry to say that!
 
- Mkuu PM, darasa zito sana hili kwa wasioelewa historia na siasa ya Tanzania kwa ujumla na hasa Muungano, kuvunjika kwa Muungano sio interest yetu bara wala wananchi wengi wa Visiwani, isipokuwa ni interest ya Sultan na vibaraka wake wachache kina Seif na wenzake,

- Again kudai kuvunja Muungano nje ya vikao vya kikatiba ni kuvunja sheria ya jamhuri ya Muungano, ambayo Rais wetu na wasidizi wake wamekula kiapo kuulinda kwa nguvu zao zote na uwezo wao wate na akili zao zote so help them God, simply ni treason against Republic, wakamatwe wote wapelekwe kule Mafia kama vile last time wale waliojaribu huko nyuma wakiongozwa na Jumbe!

- Kwenye hili kusiwe na compromise wala negotiation somebodypeleka rumande wote wakorofi hao, wakishavunja muungano watavunja kila kitu hawa fungilia mbali wote tena now!

Respect.


FMEs!
Mtetezi wa haki na gereza ni kama mtu na mkewe.Hiyo kauli haiwezi kumtisha mtu ndugu yangu.Ni wakati wa wadanganyika kuamka,miaka yote hii mmeshindwa hata kudai serikali yenu kwa woga mliopandikizwa na Nyerere,wadanganyika ni lazima mkubali ukweli kwamba bado ni wachanga sana kwenye siasa za vitendo, ama kwa siasa za maneno mnaongoza,
 
Mkuu,
Wakoloni wakifanya je ni lazima sisi tufanye kama wao hapo sijakuelewa, kumbe bado tunaiga kila kitu hata baada ya uhuru, au ndio hivyo tena tunaiga nyerere hata kama ni marehemu

Je wewe unafuata na kugang'ania kitu ambacho hata hujui faida yake, kwakuwa none-issue, why using our scarce resouces to maintain a none -issue? fedha zinazotumika kwenye muungano si wapeleke maji sumbawanga na barabara shinyanga...naamini unajificha kwenye nyasi kuna issue ndio maana unalazimisha wafuate hiyo katiba?

Katiba inatumikia watu mkuu sio kwamba watu wanatumikia katiba ..hayo ni maandishi tu ndugu ..yanatakiwa yawafaa watu siyo iwe ndio tatizo kwa mambo yenye faida..waondoke hatuna resources za ku-maintain ukoloni, wengine hatupendi mataifa yanayo colonize watu hata kama ni yetu period!

South african walihalalisha ubaguzi kwa katiba ndugu, mandela na wenzake walitumia any means necessary ikafa katiba ya kibaguzi, sioni tatizo katiba ya Tanzania kutoa fursa ya watu kujiondoa ikiwa wanataka...ya nini ku- kolonize nchi na watu wake? note: wafungwe jela kama ulivyosema?

ndugu tumain
nimependa sana michango yako ,u r very fair indeed, unajua mimi msimamo wangu ni serikali tatu,kama haliwezekani hilo basi muungano uvunjwe ,na sina ubaya wala ugomvi na watanzania bara, ndani ya nyumba ninayoishi naishi na watanzania bara hapa, kaka zangu wawili wameowa tanzania bara na baadhi ya jamaa na marafiki wameolewa na watanzania bara lakini inapokuja suala la haki ni lazima tuseme ukweli.Kuna watu hapa JF najua wana uelewa wa kutosha kujua kuwa zenji inakandamizwa ndani ya muungano huu, lakini kwakuwa ni Zenji ndio wanaamua kuibadilisha hali halisi ,which is very wrong.I wish watu wengine hapa JF wangekuwa kama wewe wakajali maslahi ya pande zote mbili za muungano.I bet kusingekuwa na mijadala kama huu, kwani nina uhakika wote wanaelewa ukweli wa mambo.
Shukran sana ndugu wa kweli wa kiTanzania.
 
Jambo moja lillilo wazi ni kwamba Muungano wa Tanzania na Zanzibar -- utakuwaje ndani ya EAC?

Tanzania imeamua kujivua uhuru na jamhuri -- na kuwa sehemu ya EAC.

Kwa hiyo, ifikapo Julai Mosi mwaka huu 2010, sisi Watanzania Bara tutaona 'joto ya jiwe' ya kupoteza utaifa na nchi kutokana na maamuzi ya watawala wachache (historia itaamua iwapo uamuzi wao ni werevu au uzuzu).

Kibao kitageuka...
 
nimependa ukweli alioutoa mwanakijiji ambao ...wengi hawataki kuusikia.....

Uzao wa Jamsheed (allexperts):

*Prince Sayyid Ali bin Jamshid Al-Said
*Prince Sayyid Khalifa bin Jamshid Al-Said
*Princess Sayyida Matuqa bint Jamshid Al-Said (1957-)
*Prince Sayyid Abdullah bin Jamshid Al-Said
*Prince Sayyid Wasfi bin Jamshid Al-Said (1972-)
*Princess Sayyida Adla bint Jamshid Al-Said
*Prince Sayyid Gharib bin Jamshid Al-Said


Ningependa CCM na CUF watoe misimamo yao kwa maswali yangu hayo.


-mwanakijiji.

.....waliopindua zanzibar walimtoa sultani mweupe au chotara ...akaingia sultani mweusi....karume na baraza lake la mapinduzi...karume akatangaza kuwa zanzibar haitakuwa na uchaguzi kwa miaka 30......ni wazi kuwa kama karume asingekufa ..basi urais wa zanzibar angempa mwanae.....na kina amani wanalijuwa hilo....,aliwaandaa hivyo...,ndio maana sasa ALI naye anataka kuwa rais.......mtondogoo mjukuu wa karume ....ABEID....

...LAKINI NI WAZI kuwa tume ya ukweli na maridhiano ni muhimu zanzibar...hata al marhum ali ubwa alipata kuandika hili...,

nabashiri kuwa huko mbeleni CUF Wakishinda watafanya kama alivyofanya museveni ili kuleta maridhiano uganda...WATAWARUDISHA MASULTANI ZANZIBAR.....kama maridhiano na kuwarudishia usultani wao lakini hautakuwa na nguvu yeyote ya kiuitendaji wala maamuzi...utakuwa ceremonial tu ...kama heshima...tu!! hii inaweza kusaidia ku heal wounds,,,....
 
....najuwa kuwa waridhi wa kiti cha usultani zanzibar...wapo uingereza ......waandishi wetu wa habari hawajapata kwenda kuhoji...na kujuwa kama utawala ungekuwapo bado ...nani angekuwa mtawala ???..na ana mawazo gani juu ya zanzibar ya leo....miaka 10 iliyopita BBC Walipata kumuhoji mmoja wa sultani wa zanzibar...na nakumbuka kumsikia akilaumu zanzibar kurudi nyuma..kimaendeleo.......

JE kuna wazanzibar bado wanamtamani sultani??????

je pamoja na mabaya tu yanayosemwa...utawala wa sultani ulikuwa na uzuri gani?????....ikumbukwe kuwa masultani wa zanzibar hwaakuwa wakoloni pale ni kwao ....walihamia kama walivyohamia ndugu zetu wanyamwezi pale...ndio maana baada ya kufukuzwa pale hawakurudi Omani.....kwa kuwa baada ya SEYYID SAID kuhamishia makao makuu ya oman zanzibar....alimchagua mmoja wa wanawe kuwa mtawala wa oman[mfumo ambao pia unatumiwa na UAE...ambako watoto wa mfalme wametawanywa kutawala sherjah,dubai etc]...kilichotokea baada ya mapinduzi ....ndugu za sultani wa zanzibar wanaotawala Oman....walikataa kuwashirikisha kwenye utawala wa Oman kaka zao wa zanzibar....lakini walikubali kuwasaidia warudi kwenye dola lao.....kumbukeni miaka 46 kwenye uhai wa mapinduzi kwenye vita vya kugombea utawala ni miaka michache mno....hiistoria inaonyesha kuwa kuna dola zilianguka huko nyuma ....miaka ya 1600 ...na zikafanikiwa kurudi kwenye mamlaka miaka 200 baadaye...[1800]......hata kama itawachukuwa miaka 100 ....wanaamini watarudi tu....kama vile KABAKA alivyosubiri miaka 30 ....pamoja na kufia ugaibuni london...mwanae leo amerudi uganda......

...alieyefanikiwa kidogo kupambana na ufalme[uchifu] ni nyerere kwa kuwa hakutumia nguvu kuwamaliza bali akili....iwapo angewafukuzia nje ya nchi...basi wangekuwa na sympethizers wengi..wanaosubiri ujio wao...lakini uchifu bara umekufa natural death...imebakia kutambika tu!!
 
nimependa ukweli alioutoa mwanakijiji ambao ...wengi hawataki kuusikia.....

Uzao wa Jamsheed (allexperts):

*Prince Sayyid Ali bin Jamshid Al-Said
*Prince Sayyid Khalifa bin Jamshid Al-Said
*Princess Sayyida Matuqa bint Jamshid Al-Said (1957-)
*Prince Sayyid Abdullah bin Jamshid Al-Said
*Prince Sayyid Wasfi bin Jamshid Al-Said (1972-)
*Princess Sayyida Adla bint Jamshid Al-Said
*Prince Sayyid Gharib bin Jamshid Al-Said


Ningependa CCM na CUF watoe misimamo yao kwa maswali yangu hayo.


-mwanakijiji.

.....waliopindua zanzibar walimtoa sultani mweupe au chotara ...akaingia sultani mweusi....karume na baraza lake la mapinduzi...karume akatangaza kuwa zanzibar haitakuwa na uchaguzi kwa miaka 30......ni wazi kuwa kama karume asingekufa ..basi urais wa zanzibar angempa mwanae.....na kina amani wanalijuwa hilo....,aliwaandaa hivyo...,ndio maana sasa ALI naye anataka kuwa rais.......mtondogoo mjukuu wa karume ....ABEID....

...LAKINI NI WAZI kuwa tume ya ukweli na maridhiano ni muhimu zanzibar...hata al marhum ali ubwa alipata kuandika hili...,

nabashiri kuwa huko mbeleni CUF Wakishinda watafanya kama alivyofanya museveni ili kuleta maridhiano uganda...WATAWARUDISHA MASULTANI ZANZIBAR.....kama maridhiano na kuwarudishia usultani wao lakini hautakuwa na nguvu yeyote ya kiuitendaji wala maamuzi...utakuwa ceremonial tu ...kama heshima...tu!! hii inaweza kusaidia ku heal wounds,,,....

Mie naomba source otherwise ndio yale yale conspiracy tupu!!! Ambazo hazina faida kwa zanzibar.
 
Kwa kadiri ya kwamba Sultani Jamsheed Bin Abdallah anaendelea kujitambua kuwa ni Sultani wa Zanzibar na kwa kadiri ya kwamba uzao wake unakidai kiti hicho kama urithi wa haki yao; na kwa kadiri ya kwamba wapo Wazanzibari ambao wanamtambua Jamsheed kama Sultani wao na ya kwamba wako tayari kurejesha status quo ya 1963 (ambapo Sultani alikuwa ni mfalme wa heshima Kikatiba kama ilivyo Uingereza - japo tofauti kidogo) basi juhudi zote za maridhiano haziwezi kufanikiwa kwani Sultani na uzao wake watakuwa ni kama kivuli juu ya Zanzibar na watu wake.

Ili kuleta mapatano ya kweli (kama anavyosema Lula) basi hatima ya Sultani na uzao wake ni lazima ijadiliwe.

a. Je, ni jinsi gani Bw. Jamsheed anaweza kurudi Zanzibar bila ya kuwa na mamlaka ya Usultani yeye na uzao wake milele?

b. Je, Bw. Jamsheed anaweza kuwa na nafasi yoyote ya heshima katika Zanzibar ukiondoa ya kutambuliwa kama Sultani?

c. Je, akikubali kukana kiti cha Usultani, yeye mwenyewe, wanawe na wale wote walio katika mnyonyoro wa urithi milele anaweza kurudi Zanzibar na sehemu ya upatanishi ni kumrudishia baadhi ya mali zake zilizochukuliwa baada ya mapinduzi ya 1964?

d. Je, aweza kurudi pasipo kuwa na nafasi yoyote ya kisiasa na kukatazwa yeye mwenyewe na warithi wake kushiriki katika uongozi wa chama chochote cha siasa?

e. Je, Bw. Jamsheed katika kuleta mapatano yuko tayari kutambua na kukubali uwepo wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Uzao wa Jamsheed (allexperts):

*Prince Sayyid Ali bin Jamshid Al-Said
*Prince Sayyid Khalifa bin Jamshid Al-Said
*Princess Sayyida Matuqa bint Jamshid Al-Said (1957-)
*Prince Sayyid Abdullah bin Jamshid Al-Said
*Prince Sayyid Wasfi bin Jamshid Al-Said (1972-)
*Princess Sayyida Adla bint Jamshid Al-Said
*Prince Sayyid Gharib bin Jamshid Al-Said


Ningependa CCM na CUF watoe misimamo yao kwa maswali yangu hayo.
__________________
Changia Shs 150 kwa siku kwa waathirika wa mafuriko kupitia Red Cross Society. Tuma SMS yenye neno TPN kwenda 15522. Utakatwa Shs 250 kujisajili. Unasubiri nini? wenzako wameshajiunga!


Mzee Mwanakijiji's Avatar
Mzee Mwanakijiji [Posting Award]
JF Premium Member
Points: 11,992,426, Level: 100 Points: 11,992,426, Level: 100 Points: 11,992,426, Level: 100
Activity: 91% Activity: 91% Activity: 91%
Join Date: Thu Mar 2006
Location: Kijijini
Posts: 17,564
Thanks: 5,317
Thanked 2,648 Times in 746 Posts
Report Post Report Post
Subscription Subscription
Show Printable Version Show Printable Version
Email this Page Email this Page
Add to Mzee Mwanakijiji's Reputation Add to Mzee Mwanakijiji's Reputation
Views: 117
Reply With Quote



Mikael nadhani hujanifahamu vizuri source ni mahali alikozipata hizo data na maelezo yake na sio porojo zenye kuleta chokochoko za ubaguzi. Hapa nadhani hakuna source ni maelezo ya binafsi ya mwanakijiji basi.
 
Lojiki hakuna!!...Mvua haita nyesha bila mawingu....bila muungano hizi kelele zenu zisinge kuwepo!!
 
Kaazi kweli kweli!

1. Wakati EU wanajiunga kuwa kitu moja..wakati mataifa makubwa yanaungana kuwa na nguvu zaidi..leo hii eti Tz tuko 41m ..sehemu ya Visiwani ya 1 m tunaongea maneno ya kujitenga!

2. Bara kuna fursa kibao..Viswani wapo huru kutafuta riziki popote URT!
 
....najuwa kuwa waridhi wa kiti cha usultani zanzibar...wapo uingereza ......waandishi wetu wa habari hawajapata kwenda kuhoji...na kujuwa kama utawala ungekuwapo bado ...nani angekuwa mtawala ???..na ana mawazo gani juu ya zanzibar ya leo....miaka 10 iliyopita BBC Walipata kumuhoji mmoja wa sultani wa zanzibar...na nakumbuka kumsikia akilaumu zanzibar kurudi nyuma..kimaendeleo.......

JE kuna wazanzibar bado wanamtamani sultani??????

je pamoja na mabaya tu yanayosemwa...utawala wa sultani ulikuwa na uzuri gani?????....ikumbukwe kuwa masultani wa zanzibar hwaakuwa wakoloni pale ni kwao ....walihamia kama walivyohamia ndugu zetu wanyamwezi pale...ndio maana baada ya kufukuzwa pale hawakurudi Omani.....kwa kuwa baada ya SEYYID SAID kuhamishia makao makuu ya oman zanzibar....alimchagua mmoja wa wanawe kuwa mtawala wa oman[mfumo ambao pia unatumiwa na UAE...ambako watoto wa mfalme wametawanywa kutawala sherjah,dubai etc]...kilichotokea baada ya mapinduzi ....ndugu za sultani wa zanzibar wanaotawala Oman....walikataa kuwashirikisha kwenye utawala wa Oman kaka zao wa zanzibar....lakini walikubali kuwasaidia warudi kwenye dola lao.....kumbukeni miaka 46 kwenye uhai wa mapinduzi kwenye vita vya kugombea utawala ni miaka michache mno....hiistoria inaonyesha kuwa kuna dola zilianguka huko nyuma ....miaka ya 1600 ...na zikafanikiwa kurudi kwenye mamlaka miaka 200 baadaye...[1800]......hata kama itawachukuwa miaka 100 ....wanaamini watarudi tu....kama vile KABAKA alivyosubiri miaka 30 ....pamoja na kufia ugaibuni london...mwanae leo amerudi uganda......

...alieyefanikiwa kidogo kupambana na ufalme[uchifu] ni nyerere kwa kuwa hakutumia nguvu kuwamaliza bali akili....iwapo angewafukuzia nje ya nchi...basi wangekuwa na sympethizers wengi..wanaosubiri ujio wao...lakini uchifu bara umekufa natural death...imebakia kutambika tu!!



hii habari kama sultani atarudi au hatorudi...kwa mzanzibari wa kawaida haina umuhimu sana. kwasabau maisha ya wazanzibari yamekua magumu % 100. kulinganisha na miaka ya zamani. kwahiyo fahari ya kutawaliwa na mtu mweusi
mwenzetu haina faida na sisi. kwasababu, kıla unachokijua kitu cha muhmu kwa maisha ya binaadamu ni tabu...maji tabu,umeme, chakula, huduma za afya vile vile...kwahiyo hawa masultani wa tanganyika wameshindwa kutoa huduma kwa watu wao...the whole country(zanzibar) has been reduced to total poverty.
hebu waulizeni hawa wanaoitawala zanzibar hivi sasa ...je, zanzibar hii iliyoko sasa ndio walioichukua kwa sultani? kwanini,zanzibar isiendelee? kwanini,iwe fahari ya kutawaliwa na mtu mweusi kama ,hakuna faida yoyote kwa mzanzibari wa kawaida? kama wanasema uhuru, huu sio uhuru kama huduma hakuna,(maji,umeme,kula,matibabu) na imefikia wakati unakwenda hospitalini
na ikitokea kama wapige x-ray,majibu huyapati mpaka baada ya wiki. picha zinapelekwa bara ,baadae ndio majibu yanarudi...hii ndio nini? ule utwala mbovu wa tanganyika unaletwa zanzibar kwa kulazimisha...thats all.
 
Nyie watu mnaolilia Zanzibar kujitenga hamko proactive, kama kweli mlikuwa mnataka Zanzibar iendelee kueshimika kama nchi mngepinga kitendo cha Tanzania kuingia kwenye EAC. Badala ya kupinga Tanzania kujiunga na EAC mpaka mstakabali wa Zanzibar utatuliwe, nyie mlienda kwenye vijiwe vyenu kunywa gahawa na kashata. Sasa mnalalama tuu, wakati nyie mnataka kujitenga na bara , Tanzania inafikiria kuunda federation la EAC! Swali la kujiuliza katika federation Zanzibar itaplay role gani? Mimi nadhani, kwenye EAC, meya Kimbisa na Rais wa Zanzibar watakuwa na nafasi sawa. In other words, Zanzibar will be marginalized and sadly become a district.

Mwezi wa saba EAC itakuwa in full mtion na nafasi ya Zanzibar katika hii jumuiya itakuwa kama wilaya ya Kinondoni kama nilivyosema hapo awali. Wakati mkilalama watu toka Rwanda, Kenya na Uganda , wenye elimu zao, watakuja na kuchukua kazi zote za utalii na nyingine nyingi tuu. Ushauri wangu, Zanzibar wainvesti kwenye elimu dunia, barabara, huduma za afya, kama kweli wanataka kuwa a force to be reckoned with zaidi ya hapo mtakuwa mkilia foul play kila siku.
 
walimwengu walisema kuvunjika kwa tz haiwezekani kwani unaweza kutenganisha punje za mchanga uliochanganywa na mwalimu na karume, kama huwezi basi na kuvunjika kwa muungano sahauni
 
Back
Top Bottom