Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,447
- 21,160
Such a genius and brave person calling another person stupid without even knowing him.Wewe akili yako ni ndogo na una stress,badala ya kumsaidia aliyeleta uzi unakuja kunijibu mimi.Have you grown up?Shut your butt hole up and mind your fuckin bussiness.If you think you cant help huyo muongo stick your middle finger in your ass and smell it.Such a low minded person, kwakua haijakutokea wewe then huna mamlaka ya kumuita mtu ni muongo, you're showing us how stupid you are... Pia iwapo nimepata tatizo na mhusika amevaa kama masista wa kikatoliki then katika kuelezea nishindwe kuelezea appearance ya mhusika kisa utakwazika sababu wewe ni mkatoliki?! Grow up, huu ni uwanja mpana huna la kuchangia keep your mouth shut
Sent using Jamii Forums mobile app
Lunatic, knowing you ain't a fact while you have shown everyone how stupid you are, low IQSuch a genius and brave person calling another person stupid without even knowing him.Wewe akili yako ni ndogo na una stress,badala ya kumsaidia aliyeleta uzi unakuja kunijibu mimi.Have you grown up?Shut your butt hole up and mind your fuckin bussiness.If you think you cant help huyo muongo stick your middle finger in your ass and smell it.
Wapi umeambiwa anayekufanyia hivyo lazima avae baibui?kwa hiyo ili mtu akufanyie hivyo lazima awe amevaa baibui?Sijapendezewa na hilo vazi ulilolishirikisha kwenye tukio lako.Kama nimekukwaza samahani.
Labda hakuwa mtu katika umbo la mtuKinachokutesa ni chuki uliyonayo dhidi ya hilo vazi la baibui na wavaaji wake hivyo usipokuwa makini utaendelea kuteseka hadi siku unaingia kaburini hakuna mtu wa kukuroga kwa staili hiyo kwanza mtu mwenyewe hata hamfahamiani sasa ni chuki gani itayomfanya akuroge wewe, usipodilika utaendelea kuteseka kwa ujinga wako ndugu
Hayo maislamu unayapenda bure tuWengine nasoma post zenu nabaki tu kutingisha kichwa. Mimi toka mdogo na mpaka leo ni mtu ambaye yuko peace na watu wa dini zoote, si Wakristu na madhehebu yao, si Waislamu, si Wayahudi, nk. Sina kumbukumbu kama nimewahi kutamka neno ovu au la chuki dhidi ya dini, dhehebu au imani ya mtu, kutoka dhati ya moyo wangu. Wengine hamjui mnachoandika.
Mimi ni mkristu lakini wakati mwingine nilikuwa nahudhuria hata madarasa ya kiislamu nikiwa sekondari. Siku nyingine naingia kwa Walutheli, siku nyingine kwa Wakatoliki. Chekechea yangu ilikuwa ya Kiislamu. Niliwahi kupita nchi moja ya Kiislamu nikanunua vitabu vya Kiislamu.
Nia ya uzi huu ni kupata ushauri kwa sababu haya maisha nimeyaishi mimi na najua ninachokisema.
Kwa upumbavu wakemtoa mada inaonekana wewe ni mshirikina sana yani unaamini sana ushirikina.huyo mtu inawezekana alikugusa kwa mapenzi yake tu kwa watoto kama ulivyosema ulikua bado mdogo .sasa uvivu wako wa maisha unataka kusingizia uchawi,uliacha chuo kwa upumbavu wako wakati hujadisco na ulikua na GPA kubwa ila tamaa zako ukaamua kuingia mitaani elimu ukaona haina maana ,sasa umepigika unataka kulaumu watu wengine.hiyo familia yako ni yakimasikini kama familia nyingi za kiafrica wala hakuna uchawi hapo .pambana achana na imani za kijinga
Wanao vaa baibui ni wachawi hatari wewe waone tuu wana kuchungulia na vimacho vyao vidogo weee
Sent using Jamii Forums mobile app
Ona akili zaoUzi umepanga kuwadhalilisha waislamu