Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,447
- 21,159
Kama alijifunika hadi uso kwa hiyo alikua haoni vizuri ndio maana akakuweka vidole machoni kwa bahati mbaya sababu alikua anapapasa.
Ukishikwa bumbuwazi kwa kitendo kile au kwa muonekano wake, mambo yanakua magumu kwako sababu bado hujataka kuyafanya yawe mepesi unaendeshwa na hisia za kishirikina.
Your soul need a surgery.
Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.
Ukishikwa bumbuwazi kwa kitendo kile au kwa muonekano wake, mambo yanakua magumu kwako sababu bado hujataka kuyafanya yawe mepesi unaendeshwa na hisia za kishirikina.
Your soul need a surgery.
Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.