Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,990
- 13,646
Simu infinix ina line ya tigo. Ikiwa kwenye 4G au 3G ukiipigia haipatikani. Hata kama umezima data. Ila ikiwa kwenye 2G simu ukiipigia inapatikana hata kama umezima data. Sasa nimeshindwa kuelewa hii kitu inakuwaje.
Naomba ufafanuzi kwenye hili.
Cc. reyzzap na Chief-Mkwawa
Naomba ufafanuzi kwenye hili.
Cc. reyzzap na Chief-Mkwawa