Thanks mkuu........Je upatikanaje wa kuwa profesa inakwaje?Mkuu, zote ni sawa, ila doctorate wamefupisha tu..PhD ni Doctor of Phylosophy...kwa hiyo doctorate imesimama kwa ajili ya hiyo doctor...under normal circumstances huwa ni miaka mitatu ina depend na chuo na kozi pia...nyingine mpaka minne au mitano..ila kwa ajili ya shughuli nzito na majukumu wengine huwachukua mpaka miaka kumi kuipata.
Mkuu kweli hapo kumpigia saluti profesa inahitajika,mana kwa mtazamo tu wa kawaida kupitia stage hizo zote baada ya masters inaonyesha itakucost zaidi ya miaka hata 20 mpaka uwe full proffesorNgazi ya mwisho kusomea ni PhD na hapo inakupa direct entry ya kuwa na position ya LECTURER, baada ya hapo kinachofata ni kupata promotion kutokana na paper utakazoandika, conferences ulizo attend na kupresent paper,book writing and reviews, consultancy work n.k. So, depending umeandika na kufanya hivyo vitu kwa kiwango gani ndipo utapata promotion kutoka LECTURER kuwa SENIOR LECTURER then ukiendelea na juhudi hizo unakuwa promoted to ASSOCIATE PROFESSOR and lastly to FULL PROFESSOR...si kazi ndogo na wakati huo lazima uwe mwalimu wa chuo kikuu..So ukiona mtu anaitwa proffessor..salute him/her!!!
Mkuu, zote ni sawa, ila doctorate wamefupisha tu..PhD ni Doctor of Phylosophy...kwa hiyo doctorate imesimama kwa ajili ya hiyo doctor...under normal circumstances huwa ni miaka mitatu ina depend na chuo na kozi pia...nyingine mpaka minne au mitano..ila kwa ajili ya shughuli nzito na majukumu wengine huwachukua mpaka miaka kumi kuipata.
Hivi mimi naelewa tofauti au niaje, kwa ninavyofahamu PHD ni kifupisho cha Permanent Head Damage. Ufafanuzi please.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Yeah..ila hapo sasa kuna mambo kadhaa mwingine anaweza akaupata hata within 12 au 13 years toka alipopata masters au 9 years toka alipopata doctorate, kwani minimum duration ya mtu kuwa promoted ni 3 yrs hata kama uwe ume publish ma paper ya namna gani..so kama mtu si mtafutaji mzuri wa pesa na amekamia kuupata u prof anaweza ku make provided ni kichwa na ana time ya kutumia kufanya hizo academic work..wengi wanashindwa kwa ajili ya kuhangaika kutafuta pesa kwanza..wengi wanaishia kwenye u senior lecturer.
Thanks much mkuu umenielewesha vizuriYeah..ila hapo sasa kuna mambo kadhaa mwingine anaweza akaupata hata within 12 au 13 years toka alipopata masters au 9 years toka alipopata doctorate, kwani minimum duration ya mtu kuwa promoted ni 3 yrs hata kama uwe ume publish ma paper ya namna gani..so kama mtu si mtafutaji mzuri wa pesa na amekamia kuupata u prof anaweza ku make provided ni kichwa na ana time ya kutumia kufanya hizo academic work..wengi wanashindwa kwa ajili ya kuhangaika kutafuta pesa kwanza..wengi wanaishia kwenye u senior lecturer.
Hivi mimi naelewa tofauti au niaje, kwa ninavyofahamu PHD ni kifupisho cha Permanent Head Damage. Ufafanuzi please.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Ngazi ya mwisho kusomea ni PhD na hapo inakupa direct entry ya kuwa na position ya LECTURER, baada ya hapo kinachofata ni kupata promotion kutokana na paper utakazoandika, conferences ulizo attend na kupresent paper,book writing and reviews, consultancy work n.k. So, depending umeandika na kufanya hivyo vitu kwa kiwango gani ndipo utapata promotion kutoka LECTURER kuwa SENIOR LECTURER then ukiendelea na juhudi hizo unakuwa promoted to ASSOCIATE PROFESSOR and lastly to FULL PROFESSOR...si kazi ndogo na wakati huo lazima uwe mwalimu wa chuo kikuu..So ukiona mtu anaitwa proffessor..salute him/her!!!
Nashukurru sana kwa kutuelimisha naomba pia kuelewa hili, kumekuwa na matangazo mengi sasa ya title ya Dr sio ya Phd Ila baada ya kumaliza masters mbili maalumu kwa pamoja, mfano Double Masters Degreee,= Study double masters of management* with UniSA, Adelaide.* View our management and business degrees and study programs Na wakimaliza wanaitwa madocta(Dr) je wewe unalielewaje hili ?
Wakuu msinicheke kuuliza si ujinga.
Sielewi tofauti za hivo vitu,je ni level gani kati ya hizo ipo juu zaidi?
Je inachukua mda gani kusomea doctorate,na je kuhusu Phd inakwaje?
Ngazi ya mwisho kusomea ni PhD na hapo inakupa direct entry ya kuwa na position ya LECTURER, baada ya hapo kinachofata ni kupata promotion kutokana na paper utakazoandika, conferences ulizo attend na kupresent paper,book writing and reviews, consultancy work n.k. So, depending umeandika na kufanya hivyo vitu kwa kiwango gani ndipo utapata promotion kutoka LECTURER kuwa SENIOR LECTURER then ukiendelea na juhudi hizo unakuwa promoted to ASSOCIATE PROFESSOR and lastly to FULL PROFESSOR...si kazi ndogo na wakati huo lazima uwe mwalimu wa chuo kikuu..So ukiona mtu anaitwa proffessor..salute him/her!!!
Hata usome masters saba huwezi kutunukiwa phd. Unaweza kusoma masters mbili kwa mpigo kuokoa muda, pesa na kufanikisha lengo kwa maana ya kuwa na wide knowledge. Hizo ni biashara tu baba. Phd ina heshima yake na mtiti wake sio wa kitoto.
Matatizo ya kusoma shule za kata hayo na ww umeambukizwa akiri za kata kweli ww ni kilaza