Kuna tofauti gani kati ya Phd na Doctorate?

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,228
Wakuu msinicheke kuuliza si ujinga.
Sielewi tofauti za hivo vitu,je ni level gani kati ya hizo ipo juu zaidi?
Je inachukua mda gani kusomea doctorate,na je kuhusu Phd inakwaje?
 
Mkuu, zote ni sawa, ila doctorate wamefupisha tu..PhD ni Doctor of Phylosophy...kwa hiyo doctorate imesimama kwa ajili ya hiyo doctor...under normal circumstances huwa ni miaka mitatu ina depend na chuo na kozi pia...nyingine mpaka minne au mitano..ila kwa ajili ya shughuli nzito na majukumu wengine huwachukua mpaka miaka kumi kuipata.
 
Mkuu, zote ni sawa, ila doctorate wamefupisha tu..PhD ni Doctor of Phylosophy...kwa hiyo doctorate imesimama kwa ajili ya hiyo doctor...under normal circumstances huwa ni miaka mitatu ina depend na chuo na kozi pia...nyingine mpaka minne au mitano..ila kwa ajili ya shughuli nzito na majukumu wengine huwachukua mpaka miaka kumi kuipata.
Thanks mkuu........Je upatikanaje wa kuwa profesa inakwaje?
 
Ngazi ya mwisho kusomea ni PhD na hapo inakupa direct entry ya kuwa na position ya LECTURER, baada ya hapo kinachofata ni kupata promotion kutokana na paper utakazoandika, conferences ulizo attend na kupresent paper,book writing and reviews, consultancy work n.k. So, depending umeandika na kufanya hivyo vitu kwa kiwango gani ndipo utapata promotion kutoka LECTURER kuwa SENIOR LECTURER then ukiendelea na juhudi hizo unakuwa promoted to ASSOCIATE PROFESSOR and lastly to FULL PROFESSOR...si kazi ndogo na wakati huo lazima uwe mwalimu wa chuo kikuu..So ukiona mtu anaitwa proffessor..salute him/her!!!
 
Ngazi ya mwisho kusomea ni PhD na hapo inakupa direct entry ya kuwa na position ya LECTURER, baada ya hapo kinachofata ni kupata promotion kutokana na paper utakazoandika, conferences ulizo attend na kupresent paper,book writing and reviews, consultancy work n.k. So, depending umeandika na kufanya hivyo vitu kwa kiwango gani ndipo utapata promotion kutoka LECTURER kuwa SENIOR LECTURER then ukiendelea na juhudi hizo unakuwa promoted to ASSOCIATE PROFESSOR and lastly to FULL PROFESSOR...si kazi ndogo na wakati huo lazima uwe mwalimu wa chuo kikuu..So ukiona mtu anaitwa proffessor..salute him/her!!!
Mkuu kweli hapo kumpigia saluti profesa inahitajika,mana kwa mtazamo tu wa kawaida kupitia stage hizo zote baada ya masters inaonyesha itakucost zaidi ya miaka hata 20 mpaka uwe full proffesor
 
Yeah..ila hapo sasa kuna mambo kadhaa mwingine anaweza akaupata hata within 12 au 13 years toka alipopata masters au 9 years toka alipopata doctorate, kwani minimum duration ya mtu kuwa promoted ni 3 yrs hata kama uwe ume publish ma paper ya namna gani..so kama mtu si mtafutaji mzuri wa pesa na amekamia kuupata u prof anaweza ku make provided ni kichwa na ana time ya kutumia kufanya hizo academic work..wengi wanashindwa kwa ajili ya kuhangaika kutafuta pesa kwanza..wengi wanaishia kwenye u senior lecturer.
 
Mkuu, zote ni sawa, ila doctorate wamefupisha tu..PhD ni Doctor of Phylosophy...kwa hiyo doctorate imesimama kwa ajili ya hiyo doctor...under normal circumstances huwa ni miaka mitatu ina depend na chuo na kozi pia...nyingine mpaka minne au mitano..ila kwa ajili ya shughuli nzito na majukumu wengine huwachukua mpaka miaka kumi kuipata.

Hivi mimi naelewa tofauti au niaje, kwa ninavyofahamu PHD ni kifupisho cha Permanent Head Damage. Ufafanuzi please.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
 
Yeah..ila hapo sasa kuna mambo kadhaa mwingine anaweza akaupata hata within 12 au 13 years toka alipopata masters au 9 years toka alipopata doctorate, kwani minimum duration ya mtu kuwa promoted ni 3 yrs hata kama uwe ume publish ma paper ya namna gani..so kama mtu si mtafutaji mzuri wa pesa na amekamia kuupata u prof anaweza ku make provided ni kichwa na ana time ya kutumia kufanya hizo academic work..wengi wanashindwa kwa ajili ya kuhangaika kutafuta pesa kwanza..wengi wanaishia kwenye u senior lecturer.

Splendido, Gracias!

 
Yeah..ila hapo sasa kuna mambo kadhaa mwingine anaweza akaupata hata within 12 au 13 years toka alipopata masters au 9 years toka alipopata doctorate, kwani minimum duration ya mtu kuwa promoted ni 3 yrs hata kama uwe ume publish ma paper ya namna gani..so kama mtu si mtafutaji mzuri wa pesa na amekamia kuupata u prof anaweza ku make provided ni kichwa na ana time ya kutumia kufanya hizo academic work..wengi wanashindwa kwa ajili ya kuhangaika kutafuta pesa kwanza..wengi wanaishia kwenye u senior lecturer.
Thanks much mkuu umenielewesha vizuri
 
duuh,kadakabile ,unatisha kwa maelezo aliyotoa dingiswayo na wengine ,ni ya kisomi na yanajitosheleza sasa kama huelewi utakuwa kichwa maji a.k.a kilaza complex
anajaribu kupotesha makusudi
 
Hivi mimi naelewa tofauti au niaje, kwa ninavyofahamu PHD ni kifupisho cha Permanent Head Damage. Ufafanuzi please.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".

Matatizo ya kusoma shule za kata hayo na ww umeambukizwa akiri za kata kweli ww ni kilaza
 
Ngazi ya mwisho kusomea ni PhD na hapo inakupa direct entry ya kuwa na position ya LECTURER, baada ya hapo kinachofata ni kupata promotion kutokana na paper utakazoandika, conferences ulizo attend na kupresent paper,book writing and reviews, consultancy work n.k. So, depending umeandika na kufanya hivyo vitu kwa kiwango gani ndipo utapata promotion kutoka LECTURER kuwa SENIOR LECTURER then ukiendelea na juhudi hizo unakuwa promoted to ASSOCIATE PROFESSOR and lastly to FULL PROFESSOR...si kazi ndogo na wakati huo lazima uwe mwalimu wa chuo kikuu..So ukiona mtu anaitwa proffessor..salute him/her!!!

Nashukurru sana kwa kutuelimisha naomba pia kuelewa hili, kumekuwa na matangazo mengi sasa ya title ya Dr sio ya Phd Ila baada ya kumaliza masters mbili maalumu kwa pamoja, mfano Double Masters Degreee,= Study double masters of management* with UniSA, Adelaide.* View our management and business degrees and study programs Na wakimaliza wanaitwa madocta(Dr) je wewe unalielewaje hili ?
 
Hata usome masters saba huwezi kutunukiwa phd. Unaweza kusoma masters mbili kwa mpigo kuokoa muda, pesa na kufanikisha lengo kwa maana ya kuwa na wide knowledge. Hizo ni biashara tu baba. Phd ina heshima yake na mtiti wake sio wa kitoto.
Nashukurru sana kwa kutuelimisha naomba pia kuelewa hili, kumekuwa na matangazo mengi sasa ya title ya Dr sio ya Phd Ila baada ya kumaliza masters mbili maalumu kwa pamoja, mfano Double Masters Degreee,= Study double masters of management* with UniSA, Adelaide.* View our management and business degrees and study programs Na wakimaliza wanaitwa madocta(Dr) je wewe unalielewaje hili ?
 
Wakuu msinicheke kuuliza si ujinga.
Sielewi tofauti za hivo vitu,je ni level gani kati ya hizo ipo juu zaidi?
Je inachukua mda gani kusomea doctorate,na je kuhusu Phd inakwaje?

Kuna doctorate za namna mbalmbali k.m.
Doctor of Philosophy (Phd)
Doctor of Science (D.Sc.) n.k.
 
Dr Kikwete.. Keshokutwa Prop Kikwete.. Kwa hakika hii inachanganya Na kuvunja moyo jamvi la usomi si Tanzania tu. wanaotunukiwa Dr za heshima Na Dr za kukokotoa elimu mbele ja jamii wote wanajiita Dr. Mchanganyo zaidi utakuta Mtu kasomea kiholahola medical institute akaibuka Na certificate au diploma ya mambo ya kiuguzi Basi akipangiwa kazi kwenye kijizahanati chetu nae timamwita Dr. Sasa wote hawa kwenye kikao cha send-off wanajikampein kama Ma Dr. Hii inachanganya sana labda mashahada Na mastashahada Haya yangepatiwa majina au vifupisho Mtu tukajua Yupi ni yupi.. Mtu unapita mtaa unakutana Na mabango ' Dr. Kifimboo toka Sumbawanga' Mara 'Dr. Uaccm toka Mwanza' Yaani kila Mtu Dr..Dr.. Huyunaye Dr.Lovepimbi ..Mara Prop Ndumilakuwili.. Inachanganya
 
Ngazi ya mwisho kusomea ni PhD na hapo inakupa direct entry ya kuwa na position ya LECTURER, baada ya hapo kinachofata ni kupata promotion kutokana na paper utakazoandika, conferences ulizo attend na kupresent paper,book writing and reviews, consultancy work n.k. So, depending umeandika na kufanya hivyo vitu kwa kiwango gani ndipo utapata promotion kutoka LECTURER kuwa SENIOR LECTURER then ukiendelea na juhudi hizo unakuwa promoted to ASSOCIATE PROFESSOR and lastly to FULL PROFESSOR...si kazi ndogo na wakati huo lazima uwe mwalimu wa chuo kikuu..So ukiona mtu anaitwa proffessor..salute him/her!!!

Kama mwisho ni PhD na Post Doctorate je? Kwanza professor ina maana mbili 1. ni mwalimu wa university, 2. ubora wa tafiti alizofanya.
 
Hata usome masters saba huwezi kutunukiwa phd. Unaweza kusoma masters mbili kwa mpigo kuokoa muda, pesa na kufanikisha lengo kwa maana ya kuwa na wide knowledge. Hizo ni biashara tu baba. Phd ina heshima yake na mtiti wake sio wa kitoto.

Nadhani Speculator hana maana kuwa double Masters anapewa Phd ? Wanacho-share ni Title tu ya Dr au kwa maana nyingine panakuwepo na Dr ya Phd, Dr ya Medicine, na pia Dr ya Double Masters in Business Study ? ? ? Anauliza HILO LIPO KATIKA DUNIA HII KWA SASA ?
 
Matatizo ya kusoma shule za kata hayo na ww umeambukizwa akiri za kata kweli ww ni kilaza

shule ya kata hazina tatizo mkuu. Mbona unakariri vibaya bhana, try to do research uone kama kweli maana kama umekuwa updated naibu waziri wa elimu amelalamikiwa pale msalato kuna watoto form one hawajui kusoma je? Msalato ni shule ya kata?
 
Back
Top Bottom