Kuna tofauti gani hapa?

Asilimia kubwa ya wanawake huwa na tabia ya kujifanya wamefika kileleni kumbe hata njia ya kuelekea kileleni bado hawajaiona, mara nyingi huwa wanafeki kwa kuongeza kelele za kimahaba au wengine huwa wanaongea kabisa, utawasikia “ooh baby am comming” basi hapo mwanaume atajiona dume la mbegu kumbe “hatoshi” na mara nyingine inawapa shida sana wanaume kujua kama ni kweli wamewaridhisha na kuwafikisha wake zao au wanadanganywa.

Zifuatazo ni dalili za mwanamke anayefika kileleni..
1. MISULI YA UKE WAKE ITAKUWA INAKAZA NA KUACHIA:

Akiwa anakaribia kufika kileleni,kwa ile raha atakayokuwa anasikia automatically na hatoweza kujizuia,atajikuta misuli ya uke wake inakaza na kuachia,itaanza taratibu lakini kadri anavyokaribia kufika kileleni na speed ya kukaza na kuachia kwa misuli ya uke wake itakuwa inaongezeka.
Ninaposema misuli ya uke wake itakuwa inakaza na kuachia,namaanisha mashine yako ikiwa ndani ya uke wake,akiwa anakaribia kufika kileleni,utaanza kuhisi uke wake unaibana mashine yako kwa sekunde kadhaa kisha inaachia. (Kitendo cha uke wake kuibana na kuiachia machine kitaendelea kwa kujirudia rudia mpaka afike kileleni)

2. UKE WAKE UTAZIDI KULOA AU ATASQUIT:

Kwa maana ambayo haipo complicated sana,kusquit ni kitendo cha mwanamke kukojoa akifika kileleni wakati wa kupeana raha na utamu.G-spot ikipata msuguano wa kutosha hapo mwanamke ataweza kusquit na ndio maana hiyo.Hamu ya kukojoa wanawake wengi wanaipata katikati ya tendo la kupeana raha na utamu,wengine wanaweza kuipata wakati wa maandalizi kama mwanaume ataweza kuichezea vizuri G-spot ya mwanamke.G-spot ikipata msisimko wa kutosha,hutoa taarifa kwa female prostate,female prostate itatengeneza hayo majimaji yakiwa tayari,utajisikia kukojoa,ukijiachia ili yatoke yatapitia kwenye urethra kama mkojo lakini sio mkojo.
Asilimia kubwa ya wanawake,wakati wa kupeana raha na utamu kuna muda huwa wanajisikia kama kukojoa,wanaomba wakakojoe lakini kumbe ni majimaji ya kusquit hivyo muda mwingine kabla ya kumake love,kojoa kabisa ili kibofu chako cha mkojo kiwe empty ili katikati ya tendo ukisikia kukojoa ujue unakaribia kusquit.kwahiyo jiachie lii uweze kupata raha na utamu wa kufika kileleni kwa njia ya kusquit.
Sio wanawake wote wanaweza kusquit,kama ikitokea hujaweza usijisikie vibaya,unatakiwa kujijua kuwa upo katika kundi la wale wanawake ambao wakifika kileleni uke wao huwa unazidi kuloa badala ya kusquit.

3. KELELE NA MIGUNO YA KIMAHABA LAZIMA ITAZIDI:

Kama mwanamke wako ni full makelele mwanzo mpaka mwisho basi itakuwa sio rahisi kujua kama makelele ama miguno anayotoa sasa ni yanamaanisha amefika kileleni au ni sehemu tu ya kupeana raha na utamu.Lakini wanawake wengi wanadanganya kwa kutumia kipengele hiki,lakini utajua kuwa anadanganya pale makelele au miguno yake yakiwa katika mpangilio unaoeleweka kwa mfano (oooh yeah,oooh yeah,ooh yes kama cd iliyorekodiwa).
Makelele ya kufika kileleni mara nyingi yanakuwa hayaeleweki,na wala hayana mpangilio,mara nyingi yanakuwa deep yakiambatana na body language inayoendana na makelele au miguno anayotoa.tofauti na hapo ujue unadanganywa.

4. CHUCHU ZAKE ZITAZIDI KUWA NGUMU:

Kwa kawaida wakati mwanamke anapokuwa anazidi kupata hamu ya kupeana raha na utamu,Matiti yake huvimba kutokana na ongezeko la speed ya mzunguko wa damu mwilini,lakini chuchu zake zinakuwa zipo kawaida,ingawa wapo baadhi ya wanawake chuchu zao zinakuwa ngumu pale matiti yakivimba (ni wachache sana sio wote).
Kwahiyo inabidi ujue mapema kabla hata tendo la kupeana raha na utamu halijafika katikati,Pale mwanzoni tu unapokuwa unapashana nae joto,ziguse au ziminye chuchu zake taratibu kama ukizikuta ni LAINI,alafu baadae katikati tendo zikabadilika zikawa ngumu,basi ujue kuna uwezekano ama ulifanikiwa kumfikisha kileleni au alikaribia kufika lakini hakufanikiwa.kama ukizikuta ngumu tokea mwanzoni basi haitowezekana tena kuzitumia chuchu kama dalili ya kukujulisha kuwa amefika kileleni au bado.

5. LUGHA YA MWILI ( BODY LANGUAGE):

Atakuwa anahema haraka kwa sababu Internal organs na Muscles zake zinahitaji oxygen zaidi ili aweze kufika kileleni salama.

Atazidisha kujikunjakunja,kujinyonganyonga au kujisogeza kwako (akiwa ametulia tu ujue bado ongeza bidii)

Mikono yake hukunja kunja au kufinya shuka.

Kama mpo kwenye staili ya kifo cha mende utashangaa ghafla ataanza kukumbatia na kukushikilia kwa nguvu kama kucha zake ndefu atakuachia alama kadhaa mgongoni au kifuani na saa nyingine anaweza akashindwa kujizuia akakung’ata.
msalimie shemeji mkuu
 
hahahaha yaani pale amabapo mwanamke anamwaga maji jinsi mapaja yanavyo vibrate hadi raha jamani
 
Kumwaga kivipi? Nijuavyo mm katika tendo tho tunatofautiana, kuna maji mengi kiasi yanayotoka na yanatokaga mwanzo wa tendo mpaka kumaliza tendo lakini kuna wakati wazimu wakipanda yanatoka mengi then unamaliza
 
Back
Top Bottom