Kuna Timu Moja nchini Tanzania Mashabiki wake pamoja na Wanachama wao wakiitwa 'Mafuriko Sports Club' wasiwe wanakataa tafadhali

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,805
109,482
Baada ya Haji Manara kuweka Wazi Bei ya ' Kumng'oa ' Simba Sports Club Mchezaji ' Mahiri ' na ' Mtaalam ' kabisa akiwa ndiyo ' Play Maker ' Clatous Chota Chama kuwa ni kati ya Dola za Kimarekani 350,000 hadi 400,000 ambazo ni sawa na Shilingi Milioni 850 hadi Milioni 900 wale ' Wapuuzi Mafuriko Sports Club ' wamebadili Gia angani na kuanza harakati za Kumtaka Hassan Dilunga ( HD )

Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kunifanya GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE niwe Mshabiki wa Timu ' iliyobarikiwa ' nae ya Simba Sports Club na kuniepusha kuwa Mshabiki wa ' Wapuuzi Mafuriko Sports Club ' ambao wakati Wenzao wenye Akili wakiwa wanahangaika ' Kupambana ' na Janga hili la CORONA wao wanahangaika Kutaka Kusajili Wachezaji ambao thamani yao inazidi thamani ya Klabu yao nzima.

Sasa kwakuwa baada ya Kumsikia Haji Manara akisema kuwa Thamani ya Clatous Chota Chama ni Shilingi Milioni hizo 850 hadi 900 na sasa mmehamia kwa Hassan Dilunga niwaambieni mapema kuwa Thamani ya Dilunga sasa ni Shilingi Bilioni Moja na Nusu. Na tumeshajua kuwa kama kwa huyu Dilunga mkishindwa mtahamia kwa Mdogo wangu mwenyewe Said Hamis Ndemla.

Taarifa iwafikieni nyie ' Mafuriko Sports Club ' mapema kabisa kuwa kutokana na Umri wake mdogo Said Hamis Ndemla kama kweli mnamuhitaji basi Simba Sports Club tunawakaribisheni Mezani tufanye Biashara ila mjue tu kuwa Thamani yake ni Shilingi Bilioni Mbili na Nusu. Simba Sports Club tuko ' Kibiashara ' zaidi hivyo mwambieni Gharib Said Mohammed ( GSM ) wenu ' ajipinde ' hasa.

Endeleeni tu ' Kuneng'eneka ' na ' Kuwashwawashwa ' ila tunachoenda Kuwafanyeni hamtatusahau Milele Daima Kudadadeki!
 
Mwisho wa siku wataondoka bure kama Okwi na Kotei! Hizi bilioni zingekuwa rahisi Mohamedi angeshawawekea kwenye akaunti yenu! Nakumbuka usajili wa Yondan mlijiapia na kujiapia kilichotokea kila mtu anajua! Hata hivyo huyo Chama ni wa kawaida sana kinachofanyika ni sasa za mpira wa bongo!

Sent using Jamii Forums mobile app
umevaa barakoa!
 
Hawa vyura si ndio walikuwa wanasema chama so chochote pia Simba inaua vipaji wakisahau Dilunga alianzia kwao wakamwacha Leo Yuko Simba wanamwona nzuri wanaweza kumchukua Ila tukiwafunga wasilalamike tunawahujumu sababu ya wachezaji waliotoka Simba
 
Baada ya Haji Manara kuweka Wazi Bei ya ' Kumng'oa ' Simba Sports Club Mchezaji ' Mahiri ' na ' Mtaalam ' kabisa akiwa ndiyo ' Play Maker ' Clatous Chota Chama kuwa ni kati ya Dola za Kimarekani 350,000 hadi 400,000 ambazo ni sawa na Shilingi Milioni 850 hadi Milioni 900 wale ' Wapuuzi Mafuriko Sports Club ' wamebadili Gia angani na kuanza harakati za Kumtaka Hassan Dilunga ( HD )

Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kunifanya GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE niwe Mshabiki wa Timu ' iliyobarikiwa ' nae ya Simba Sports Club na kuniepusha kuwa Mshabiki wa ' Wapuuzi Mafuriko Sports Club ' ambao wakati Wenzao wenye Akili wakiwa wanahangaika ' Kupambana ' na Janga hili la CORONA wao wanahangaika Kutaka Kusajili Wachezaji ambao thamani yao inazidi thamani ya Klabu yao nzima.

Sasa kwakuwa baada ya Kumsikia Haji Manara akisema kuwa Thamani ya Clatous Chota Chama ni Shilingi Milioni hizo 850 hadi 900 na sasa mmehamia kwa Hassan Dilunga niwaambieni mapema kuwa Thamani ya Dilunga sasa ni Shilingi Bilioni Moja na Nusu. Na tumeshajua kuwa kama kwa huyu Dilunga mkishindwa mtahamia kwa Mdogo wangu mwenyewe Said Hamis Ndemla.

Taarifa iwafikieni nyie ' Wapuuzi Mafuriko Sports Club ' mapema kabisa kuwa kutokana na Umri wake mdogo Said Hamis Ndemla kama kweli mnamuhitaji basi Simba Sports Club tunawakaribisheni Mezani tufanye Biashara ila mjue tu kuwa Thamani yake ni Shilingi Bilioni Mbili na Nusu. Simba Sports Club tuko ' Kibiashara ' zaidi hivyo mwambieni Gharib Said Mohammed ( GSM ) wenu ' ajipinde ' hasa.

Endeleeni tu ' Kuneng'eneka ' na ' Kuwashwawashwa ' ila tunachoenda Kuwafanyeni hamtatusahau Milele Daima Kudadadeki!
Kwa Chama, Yanga hawana ubavu, huyu alisajiliwa Simba Julai 2018 kwa mkataba wa miaka miwili ambayo ingeisha mwaka huu Julai 2020, lakini Julai mwaka jana Simba walimwongezea mkataba wa mwaka mmoja kama walivyofanya kwa Kagere, hivyo mikataba yao inaisha Julai 2021, kamwe Yanga hawataweza vunja mkataba wa Chama mwaka huu, kwani dau watakalopigwa na Simba ni timu za Africa ya kaskazini pekee wanaliweza, kwa upande wa Dilunga Yanga ya GSM inaweza furukuta, kwani mkataba wake unaisha msimu huu, hivyo mwenye dau kubwa kwa Dilunga anaweza mbeba, hata hivyo naipa Simba asilimia 80 kubaki na Dilunga, labda timu za nje na si Yanga. Naipa Yanga asilimia 80 kumchukua Ndemla ambaye mkataba wake na Simba unaisha msimu huu, Simba hawamtumii, na hata akibaki mwakani hatatumika kabisa, labda afanye miujiza kuboresha kiwango chake.
 
Mnahangaika na hizo bilioni za Mo aweke kwenye account umeona Simba inalia njaa na wachezaji hawalipwi,Yondani hana thamani sasa hivi ameshazeeka
Mwisho wa siku wataondoka bure kama Okwi na Kotei! Hizi bilioni zingekuwa rahisi Mohamedi angeshawawekea kwenye akaunti yenu! Nakumbuka usajili wa Yondan mlijiapia na kujiapia kilichotokea kila mtu anajua! Hata hivyo huyo Chama ni wa kawaida sana kinachofanyika ni sasa za mpira wa bongo!

Sent using Jamii Forums mobile app

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Kwa Chama, Yanga hawana ubavu, huyu alisajiliwa Simba Julai 2018 kwa mkataba wa miaka miwili ambayo ingeisha mwaka huu Julai 2020, lakini Julai mwaka jana Simba walimwongezea mkataba wa mwaka mmoja kama walivyofanya kwa Kagere, hivyo mikataba yao inaisha Julai 2021, kamwe Yanga hawataweza vunja mkataba wa Chama mwaka huu, kwani dau watakalopigwa na Simba ni timu za Africa ya kaskazini pekee wanaliweza, kwa upande wa Dilunga Yanga ya GSM inaweza furukuta, kwani mkataba wake unaisha msimu huu, hivyo mwenye dau kubwa kwa Dilunga anaweza mbeba, hata hivyo naipa Simba asilimia 80 kubaki na Dilunga, labda timu za nje na si Yanga. Naipa Yanga asilimia 80 kumchukua Ndemla ambaye mkataba wake na Simba unaisha msimu huu, Simba hawamtumii, na hata akibaki mwakani hatatumika kabisa, labda afanye miujiza kuboresha kiwango chake.
Point iliyopo sio uzuri au ukubwa wa mchezaji bali ni swala la kibiashara zaidi. Mchezaji yeyote aliyekuwepo ndani ya mkataba, timu inayomuhitaji lazima wapandishiwe dau kubwa kama kuikomoa timu inayomuhitaji huyo mchezaji. Na ndio maana Simba walipo muhitaji Walter Bwalya walitajiwa kiwango kikubwa cha pesa, wakaachana nae. Simba na Yanga hazina desturi za kuvunja mikataba kwa wachezaji professional. Zaidi ya kuchukua wachezaji kwa mikopo na wale waliomaliza mikataba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point iliyopo sio uzuri au ukubwa wa mchezaji bali ni swala la kibiashara zaidi. Mchezaji yeyote aliyekuwepo ndani ya mkataba, timu inayomuhitaji lazima wapandishiwe dau kubwa kama kuikomoa timu inayomuhitaji huyo mchezaji. Na ndio maana Simba walipo muhitaji Walter Bwalya walitajiwa kiwango kikubwa cha pesa, wakaachana nae. Simba na Yanga hazina desturi za kuvunja mikataba kwa wachezaji professional. Zaidi ya kuchukua wachezaji kwa mikopo na wale waliomaliza mikataba

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza kila kitu mzee baba.
 
Back
Top Bottom