Tena hao Manabii hata huko Dar wamechagua maeneo ya wenye pesa ndo wamejazana. Huwezi kuwakuta kwa wingi maeneo ya Mbagala,Temeke,Gongo la Mboto bali utawakuta Mbezi Beach,Kimara,Tegeta na kwingineko kwenye hela ktk Wilaya za Kinondoni na UbungoKuna kitu kikubwa naona mungu anafanya makosa kwa sasa, nikisoma maandiko mbalimbali nagundua kuwa Mungu alikuwa anawaleta mitume na manabii kwa awamu.
Si hivyo tu, alikuwa anawaleta kwa uchache tena kwa maeneo maalumu hususani yale korofi. Pia alikuwa anawaleta kwa dalili na hoja zilizo wazi, pia ikitokea zama moja kuwa na manabii au mitume wawili au zaidi kwa wakati mmoja basi walikuwa wanaheshimiana sana.
KOSA, ni hawa manabii aliowaleta leo sijui kwanini amewabadilisha hivi;
1. Wanahubiri zaidi kutafuta na kumiliki mali kuliko ufalme wa Mbinguni.
2. Anawaleta wengi kwa pamoja halafu wengi wanashukia mijini, mfano Dar es salaam pekee si ajabu kukuta manabii au mitume mpaka 10.
3.Mitume na manabii anaowaleta kipindi hiki hawapendani yaani ukiwasikiliza kimtindo utajua wanapondana tu.
4. Huduma za maombi kwa hawa manabii wa sasa ni za kulipia.
5. Wengi ni matajiri wakubwa sana sio kama enzi zile za kina Ayubu, Yusufu Abraham/Ibrahim n.k.
Yako mengi wakuu..
Kweli hujielewi unaujua utajiri aliokuwa nao Ayubu au Musa wewe hebu soma Biblia utajua watu matajili walikuwa akinananiKuna kitu kikubwa naona mungu anafanya makosa kwa sasa, nikisoma maandiko mbalimbali nagundua kuwa Mungu alikuwa anawaleta mitume na manabii kwa awamu.
Si hivyo tu, alikuwa anawaleta kwa uchache tena kwa maeneo maalumu hususani yale korofi. Pia alikuwa anawaleta kwa dalili na hoja zilizo wazi, pia ikitokea zama moja kuwa na manabii au mitume wawili au zaidi kwa wakati mmoja basi walikuwa wanaheshimiana sana.
KOSA, ni hawa manabii aliowaleta leo sijui kwanini amewabadilisha hivi;
1. Wanahubiri zaidi kutafuta na kumiliki mali kuliko ufalme wa Mbinguni.
2. Anawaleta wengi kwa pamoja halafu wengi wanashukia mijini, mfano Dar es salaam pekee si ajabu kukuta manabii au mitume mpaka 10.
3.Mitume na manabii anaowaleta kipindi hiki hawapendani yaani ukiwasikiliza kimtindo utajua wanapondana tu.
4. Huduma za maombi kwa hawa manabii wa sasa ni za kulipia.
5. Wengi ni matajiri wakubwa sana sio kama enzi zile za kina Ayubu, Yusufu Abraham/Ibrahim n.k.
Yako mengi wakuu..
Kwaiyo Mungu wapo wangapi?Tunaamini katika utatu mtakatifu.
Mungu baba, Mungu mwana, Roho mtakatifu.
Tunaamini katika utatu mtakatifu.
Mungu baba, Mungu mwana, Roho mtakatifu.
.Mungu hadhihakiwi. Kwenye biblia maandiko yalitabiri kuwa manabii wa uwongo na wa ukweli watakuwepo. Alishaonya...
Kuna kitu kikubwa naona mungu anafanya makosa kwa sasa, nikisoma maandiko mbalimbali nagundua kuwa Mungu alikuwa anawaleta mitume na manabii kwa awamu.
Si hivyo tu, alikuwa anawaleta kwa uchache tena kwa maeneo maalumu hususani yale korofi. Pia alikuwa anawaleta kwa dalili na hoja zilizo wazi, pia ikitokea zama moja kuwa na manabii au mitume wawili au zaidi kwa wakati mmoja basi walikuwa wanaheshimiana sana.
ulipswa umshukuru Mungu kwa kutimiza yake yaliyotabiriwa ...alishatabiri kuwa watatokea watu wa hivyo..sasa kukosea kwake kuko wapi hapo?
Na hakuzaa wala hakuzaliwaMungu ni mmoja hakuna mungu mwana wala roho mtakatifu