Mwakamele 16
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,493
- 1,114
Kama ni mungu sawa anakosea lakini sio Mungu! Mungu hakoseagi hata sekunde moja tena biblia inasema Upumbavu wa Mungu ni zaidi ya hekima za wanadamu
Uwezo wa kuelewa unatofautiana, idadi kubwa ya wachangiaji na misimamo yao sio tija. We muulize hata mwenyewe mtoa mada, itasema hayahaya.Soma comments nyingine uone walivyo muelewa mkuu usilete sanaa ktk hili Literal Meaning ya maneno yake yapo Wazi pitia Comments za wengine mbona wamemtukana kabisa au ww ndio ukiyemuelewa sisi wengine wote hatujamuelewa ?
Nadhani si jibu la post hiitofauti ipo yeye bado ana imani na police . mimi imani na Police hakuna!! maana mpaka wao wenyewe wameuawa !! na bado mauaji yanaendelea. hakuna kanda maalum hapo!! mbwembwe. Nina maana JWTZ waanze hali ikiwa shwari sasa police waingie kudumisha amani!!
Wengi hawajamuelewa hata wakamtusi.Mtoa Mada ana akili sana unatakiwa utulie uweze kumuelewa Angalia hizi sentesi.
kuna kitu kikubwa naona mungu anafanya makosa kwa sasa
nikisoma maandikombalimbali nagundua kuwa Mungu alikuwa anawaleta mitume na manabii kwa
awamu
Mtoa mada anazungumzia pande mbili tofauti mungu ambaye anakosea na Mungu ambaye aliwaleta
manabii enzi hizo.
Kumbe ni mungu na sio Mungukuna kitu kikubwa naona mungu anafanya makosa kwa sasa, nikisoma maandiko
mbalimbali nagundua kuwa Mungu alikuwa anawaleta mitume na manabii kwa
awamu. Si hivyo tu, alikuwa anawaleta kwa uchache tena kwa maeneo maalumu
hususani yale korofi. Pia alikuwa anawaleta kwa dalili na hoja zilizo wazi, pia ikitokea
zama moja kuwa na manabii au mitume wawili au zaidi kwa wakati mmoja basi walikuwa
wanaheshimiana sana.
KOSA, ni hawa manabii aliowaleta leo sijui kwanini amewabadilisha hivi
1. Wanahubiri zaidi kutafuta na kumiliki mali kuliko ufalme wa Mbinguni
2.Anawaleta wengi kwa pamoja halafu wengi wanashukia mijini, mfano
Dar es salaam pekee si ajabu kukuta manabii au mitume mpaka 10
3.Mitume na manabii anaowaleta kipindi hiki hawapendani yaani ukiwasikiliza
kimtindo utajua wanapondana tu.
4. Huduma za maombi kwa hawa manabii wa sasa ni za kulipia.
5. Wengi ni matajiri wakubwa sana sio kama enzi zile za kina Ayubu, Yusufu
Abraham/Ibrahim n.k
Yako mengi wakuu......................................
Emu nipe Elimu ndugu Mungu gani huyo Anaekosea? Jaman mbona mnajifanya nyinyi ni GREAT THINKERS lakini kwahili naona MmechemshaMtoa Mada ana akili sana unatakiwa utulie uweze kumuelewa Angalia hizi sentesi.
kuna kitu kikubwa naona mungu anafanya makosa kwa sasa
nikisoma maandikombalimbali nagundua kuwa Mungu alikuwa anawaleta mitume na manabii kwa
awamu
Mtoa mada anazungumzia pande mbili tofauti mungu ambaye anakosea na Mungu ambaye aliwaleta
manabii enzi hizo.
kuna kitu kikubwa naona mungu anafanya makosa kwa sasa, nikisoma maandiko
mbalimbali nagundua kuwa Mungu alikuwa anawaleta mitume na manabii kwa
awamu. Si hivyo tu, alikuwa anawaleta kwa uchache tena kwa maeneo maalumu
hususani yale korofi. Pia alikuwa anawaleta kwa dalili na hoja zilizo wazi, pia ikitokea
zama moja kuwa na manabii au mitume wawili au zaidi kwa wakati mmoja basi walikuwa
wanaheshimiana sana.
KOSA, ni hawa manabii aliowaleta leo sijui kwanini amewabadilisha hivi
1. Wanahubiri zaidi kutafuta na kumiliki mali kuliko ufalme wa Mbinguni
2.Anawaleta wengi kwa pamoja halafu wengi wanashukia mijini, mfano
Dar es salaam pekee si ajabu kukuta manabii au mitume mpaka 10
3.Mitume na manabii anaowaleta kipindi hiki hawapendani yaani ukiwasikiliza
kimtindo utajua wanapondana tu.
4. Huduma za maombi kwa hawa manabii wa sasa ni za kulipia.
5. Wengi ni matajiri wakubwa sana sio kama enzi zile za kina Ayubu, Yusufu
Abraham/Ibrahim n.k
Yako mengi wakuu......................................
Wanasema wenyewe wameletwa na mungu, mi naona tu wafuasi weeeeeeengi
si ndo nikajua mungu kawatuma.



Wahenga walisema ; Wajinga ndio waliwao