Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,470
- 13,621
Sijawahi kuipenda CCM toka nimepata uelewa wa vitu. Mwanzoni kabisa nilikua naipenda CUF, ila katika miaka ya 2005-2010 siasa za Zitto pamoja na Dk. Slaa zilinivutia sana eventually nikajikuta nasupport CHADEMA. Miaka kadhaa ikapita Zitto akafukuzwa chama kwa maneno mengi sana kama in sellout na ilikua in kipindi kama hiki kuelekea uchaguzi Mkuu wa 2015.
Katika utetezi wake ndugu Zitto alidai matatizo yote ndani ya CHADEMA yalianza baada ya yeye kuonyesha nia ya kugombea nafasi ya Uenyekiti ndani ya chama ila hakuambulia alichotegemea akapata label ya kua anatumika. Na leo tena same case imetokea kwa Mzee Sumaye baada ya kuonyesha azma ileile, naye figisu zikaanza. Na laiti angekua kijana mwenye nguvu pia angeshtumiwa/atashutumiwa kutumiwa na serikali.
GuDume ana Uzi wake humu ndani akiuliza wapinzani wa Tanzania wanataka nini? Na mimi nakazia kwa kua very specific CHADEMA mnataka nini?
Katika utetezi wake ndugu Zitto alidai matatizo yote ndani ya CHADEMA yalianza baada ya yeye kuonyesha nia ya kugombea nafasi ya Uenyekiti ndani ya chama ila hakuambulia alichotegemea akapata label ya kua anatumika. Na leo tena same case imetokea kwa Mzee Sumaye baada ya kuonyesha azma ileile, naye figisu zikaanza. Na laiti angekua kijana mwenye nguvu pia angeshtumiwa/atashutumiwa kutumiwa na serikali.
GuDume ana Uzi wake humu ndani akiuliza wapinzani wa Tanzania wanataka nini? Na mimi nakazia kwa kua very specific CHADEMA mnataka nini?