Sijakuambia najua kila kitu.nataka nikukumbushe kuwa hats Mugabe alivyokua anafanya yake walikuwepo watu kama wewe wakimsupport.Siku alivyolazimishwa wazimbabwe walikesha wakifurahia kupumzika Mateso.unemployment rate ya Zimbabwe nenda tu south Africa ukaone walivyokimbia na Nazi wanazofanya ndo urudi kwangu.watu wanakuonyeni aina na siasa mnazofanya na jiwe wenu zitaathiri uchumi wa nchi hamtaki kukubali
Sent using Jamii Forums mobile app