Kuna taarifa kuwa kampuni ya AVIS Tanzania nayo imefunga biashara na sasa inauza magari yake

Walikuwa wababaishaji waache waende vipi ndiyo walikuwa wanakuweka mjini?
Nyie ndio wale wqle mlioshikiwa akili mkiambiwa ukweli mnakurupuka kusema eti huyo mara sio mzalendo, alikuwa fisadi au mpiga dili.
Nyie ndio hata CAG mtamuita mpiga dili kwa kauli yake ya ukweli dhidi ya bunge
 
Kampuni ya wamarekani haijawahi kuwa hivyo inawezekana ww hujui kitu hawa ndo wenye sigara maarufu Marlboro,

Walikuwa wanalipa mishahara mikubwa sana magari yao mengi walikuwa wanatumia Ford au Audi, Sales Rep wao tu mshahara ni balaa!
Avis rent a car wako nchi nyingi ulimwenguni,jiwe atajikuta hana wwawekezaji au biashara za kimataifa then wanalalamika oh oh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio tanzania tu tesla inapunguza 5% ya wafanyakazi general motors inapunguza matawi marekani na apple wanatarajia kuhama china ni mfano wa makampuni nje ya tanzania yanayofunga biashara, akiri zenu zinafikiria kuilaum tu serikali kama watoto mliozaliwa jana hamjui mambo yanavoenda kwa ziada 80% ya biashara mpya zinakufa ndani ya mwaka mmoja na 60% ya 20% iliobakia zinakufa ndani ya miaka mitatu. Hakuna jambo jipya.

Sent using Jamii Forums mobile app
SAFI SANA CHIFU, UMELIWEZA SANA KULIELEWESHA HILO LIJINGA LA BAVICHAA/UFIPA/PUMBANISM/CHADOMO.

MAANA LENYEWE, RETIRED NA ERYTHROCYTE HUWA NI KUIPINGA SERIKALI YA TZ KWA KILA JAMBO.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani AVIS INA umuhumu gani hapa TZ?
Watu wengine kama mmelogwa... Swali gani la kitoto hilo wajua ni Wa Tz wangapi watapoteza ajira hapo? Hajui kwa wao kufunga huduma kampuni za bima, sumatra, TRA, mamlaka za lesseni national housing Na wengine wengi waliokuwa walipwa kwa uwepo wa kampuni hiyo ni sehemu ya kipato imeondoka?.... Yule Mzee Mungai kuondoa commerce mashuleni alikosea sana ndio maana wajinga mlioenda shule kama wewe mu wengi sasa mtani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengine kama mmelogwa... Swali gani la kitoto hilo wajua ni Wa Tz wangapi watapoteza ajira hapo? Hajui kwa wao kufunga huduma kampuni za bima, sumatra, TRA, mamlaka za lesseni national housing Na wengine wengi waliokuwa walipwa kwa uwepo wa kampuni hiyo ni sehemu ya kipato imeondoka?.... Yule Mzee Mungai kuondoa commerce mashuleni alikosea sana ndio maana wajinga mlioenda shule kama wewe mu wengi sasa mtani

Sent using Jamii Forums mobile app
ACHA KUJIFANYA WW NI TAIRA WAHEDI, SOMA COMMENT ALIYOANDIKA SHALETA NDIPO UFICHUE HUO UMBULURA WAKO HAPA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo tusi la tahira wahedi limenisaidia kukuelewa wewe uliye andika ndio wale wale wa shule za kata tena za Tanga. Si kosa lako ni mfuko wa elimu ndio umekufikisha hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
Lkn pa1 na elimu yako ya kununua cheti bado haijakunufaisha kabisa kimaarifa ktk maisha, maana laiti ungekuwa na uelewa mpana usingeandika upuuzi wako hapa kabla ya kufikiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SI KILA ALIYESOMA SANA BASI ATAKUWA AMEELIMIKA KIMAARIFA KTK MAISHA"

Sent using Jamii Forums mobile app
La msingi hapo ni athari za kiuchumi kwa wafanyakazi Na wale waliokuwa wakinufaika zitakazofuata baada ya kampuni kufa, kujitoa au kuondoa shughuli zake kwenye mzunguko. Sasa kama huzielewi ni bora kusubiri wabobezi wataaluma hiyo wakuelimishe kuliko kukurupuka kuchangia usilo Na unahamu nalo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio tanzania tu tesla inapunguza 5% ya wafanyakazi general motors inapunguza matawi marekani na apple wanatarajia kuhama china ni mfano wa makampuni nje ya tanzania yanayofunga biashara, akiri zenu zinafikiria kuilaum tu serikali kama watoto mliozaliwa jana hamjui mambo yanavoenda kwa ziada 80% ya biashara mpya zinakufa ndani ya mwaka mmoja na 60% ya 20% iliobakia zinakufa ndani ya miaka mitatu. Hakuna jambo jipya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu habari za TESLA zinaingiaje hapa ? AVIS ni car hiring company .tesla ni electric car manufucturing company na tangu kampuni hii ianzishwe aijawahi kupata faida ,walitegemea faida kama watu wengi wangenunua electric cars but people are not interested because they are too expensive and long charging hours hii kampuni inategemea sana gorverment funding .kwahiyo lazima wapunguze wafanyakazi
 
Back
Top Bottom