Kuna siti ndani ya basi ukikaa uwezekano wa kufa ikitokea ajali ni mdogo sana. Makinika

Kuna siti ndani ya basi ukikaa uwezekano wa kufa ikitokea ajali ni mdogo sana. Makinika

Genta alikua bize kuripoti 'kifo feki' cha Kagame
Niliripoti au nilikuwa nami nauliza ili kupata Ufafanuzi? Kwanini nyie mnakuwa na CHUKI na WIVU wa Kipumbavu mno na Mimi hapa JamiiForums?

Nimeshawahi KUWALALA au KUWALALA Mama zenu na KUWAACHENI hivyo mna HASIRA na BIFU nami? Ule UZI niliuanzisha Kichwa cha Habari kikiwa NAULIZA za Moderators kwa wanavyojua Wao wakaubadilisha na hadi kuupa HADHI ya TETESI na cha KUSHANGAZA Mimi ndiyo nao naonekana sasa kuwa nimeanzisha UZI wa kuleta TAHARUKI na WAPUMBAVU kama Wewe mnaamini.
 
Niliripoti au nilikuwa nami nauliza ili kupata Ufafanuzi? Kwanini nyie mnakuwa na CHUKI na WIVU wa Kipumbavu mno na Mimi hapa JamiiForums?

Nimeshawahi KUWALALA au KUWALALA Mama zenu na KUWAACHENI hivyo mna HASIRA na BIFU nami? Ule UZI niliuanzisha Kichwa cha Habari kikiwa NAULIZA za Moderators kwa wanavyojua Wao wakaubadilisha na hadi kuupa HADHI ya TETESI na cha KUSHANGAZA Mimi ndiyo nao naonekana sasa kuwa nimeanzisha UZI wa kuleta TAHARUKI na WAPUMBAVU kama Wewe mnaamini.
Mr Twaha Bizirimana, Raia wa Rwanda uishie KAWE Ukwamani!
 
Hesabu hazidanganyi.

Nenda mtandaoni angalia ajali mbalimbali, angalia ajali zinasababishwa na nini, na ajali zinazoua kwa wingi ni za namna gani.

•Ajali za kugongana gari uso kwa uso wahanga ni dereva na abiria wa siti za mbele.
•Ajali za dereva kukosa balance mara nyingi dereva huipindua gari upande wa pili ili aponye nafsi yake.

Kwahiyo ukikaa siti za pembeni kabisa upande wa pili wa dereva lazima ujue kuwa wewe ni kinga ya dereva.
Kwa leo tuishie hapo.
Asante
 
Niliripoti au nilikuwa nami nauliza ili kupata Ufafanuzi? Kwanini nyie mnakuwa na CHUKI na WIVU wa Kipumbavu mno na Mimi hapa JamiiForums?

Nimeshawahi KUWALALA au KUWALALA Mama zenu na KUWAACHENI hivyo mna HASIRA na BIFU nami? Ule UZI niliuanzisha Kichwa cha Habari kikiwa NAULIZA za Moderators kwa wanavyojua Wao wakaubadilisha na hadi kuupa HADHI ya TETESI na cha KUSHANGAZA Mimi ndiyo nao naonekana sasa kuwa nimeanzisha UZI wa kuleta TAHARUKI na WAPUMBAVU kama Wewe mnaamini.
Kwa sababu wewe ni mnafiki
 
Wakati mwingine inategemeana na aina ya ajali, maana kunakuungua basi (bus)lote hapo hakuna siti iliyo na afadhari.
 
Hesabu hazidanganyi.

Nenda mtandaoni angalia ajali mbalimbali, angalia ajali zinasababishwa na nini, na ajali zinazoua kwa wingi ni za namna gani.

•Ajali za kugongana gari uso kwa uso wahanga ni dereva na abiria wa siti za mbele.
•Ajali za dereva kukosa balance mara nyingi dereva huipindua gari upande wa pili ili aponye nafsi yake.

Kwahiyo ukikaa siti za pembeni kabisa upande wa pili wa dereva lazima ujue kuwa wewe ni kinga ya dereva.
Kwa leo tuishie hapo.
Ajali haina kinga
 
Back
Top Bottom