Fedha za Kitanzania Tsh 14,400,000,000,000/
Hili ndilo deni la Tanzania,
linasomeka Trilioni 14
nukta 4 ukinyambua
vyema ni kuwa kila Mtanzania anadaiwa Tsh 335,000/=
Deni hili limekuwa
likiendelea mwaka hadi mwaka, huku mzigo wa kulilipa tukibebeshwa
wananchi. Je, mikopo yote ya ndani na nje inatusaidia nini katika
kuboresha maisha yetu na uchumi wa
nchi yetu?
Je, kwa mtindo huu wa rushwa na matumizi mabaya kama viongozi
kulipana posho kubwa kubwa zinachangia kulikuza
deni hilo? Nini kifanyike kulipunguza?
Je madeni haya
yamekusaidia Mtanzania kupata neema ya elimu au ya kimaisha?!
Vipi vijana wanapata mikopo ya elimu kwenye vyuo vikuu?