Kuna siri nzito kwenye Deni la Taifa

Kuna siri nzito kwenye Deni la Taifa

Tutaishia kulalamika tu without taking an action Kawaida yetu sisi wabongo
 
Hii nchi tuwape CHADEMA.CCM wameshindwa.Haiwajali wananchi wake.Viongozi wanajijali wenyewe.MFANO waathirika wa Mabomu ya G'LAMBOTO hawajalipwa.Eti Serikali haina hela.Mimi nimeichoka.
 
Dhahabu, almasi, tanzanite, kodi mara kumi kumi za TRA, gesi asilia, mapato ya zanzibar, kwanini tushindwe kujiendekeza wenyewe? Kwanini tuombe ombe tu? Mi nashangaa na sielewi why we africans in 21st century still tunawategemea akina USA na wenzake...

Awamu hii ya utawala hadi itoke 2015 itakuwa imetuachia zigo kubwa la deni kuliko awamu nyingine yoyote.
Bado ni awamu ilopata misaada mingi zaidi, ilokopa zaidi, inayokusanya kodi zaidi lkn ajabu inayotumia zaidi!
 
kuongezeka kwa deni la taifa wakat hali za wananchi ni baya umasikin kuongezeka na kuongezeka kwa gap la waliona nacho na wasionacho. hili deni litalipwa na nani au na wachache tu hasa walipa kodi waaminifu wafanyakazi wanaokatwa mapato bila kukwepa. watu wachache wanaitafuta nchi na kutiweka kwny madeni ambayo hayatusaidii wala kutuletea maendeleo. naungana na wabunge wanasema tuwanyonge wafisadi
 
Ndg wana jf,kwa mujibu wa deni la taifa ambalo kimahesabu kila mtanzania anatakiwa kulipa tsh million 350 kwangu mm binafsi ambaye ni baba wa watoto 3 na mke 1 natakiwa kulipa tsh billion 1,750,000,000 kama deni la familia yangu yote.House girl wangu atajilipia mwenyewe bcoz namlipa mshahara na wala sijui yeye alivyokopeshwa hiyo mipesa alifanyia nini.
Binafsi hata mm sijui pesa hiyo nilifanyia nini.Maana sina kumbukumbu kabisa ya matumizi ya japo tsh 10,000 ktk hizo m 350.
Ebu wewe mtanzania mwenzangu niambie wewe pesa hizo ulizifanyia nn?na kama ukumbuki inamaana hukukopeshwa,sasa kama hukukopeshwa why udaiwe?na jee pesa hii iko wapi?na inafanya nini?
Naomba kuwakilisha!
 
hio pesa ngekopwa kila mtu apewe angalau hata milioni mia mbili mfukoni basi tungewaelewa ili hivi hivi lazima tumtoe mtu kamasi
 
Ndg wana jf,kwa mujibu wa deni la taifa ambalo kimahesabu kila mtanzania anatakiwa kulipa tsh million 350 kwangu mm binafsi ambaye ni baba wa watoto 3 na mke 1 natakiwa kulipa tsh billion 1,750,000,000 kama deni la familia yangu yote.House girl wangu atajilipia mwenyewe bcoz namlipa mshahara na wala sijui yeye alivyokopeshwa hiyo mipesa alifanyia nini.
Binafsi hata mm sijui pesa hiyo nilifanyia nini.Maana sina kumbukumbu kabisa ya matumizi ya japo tsh 10,000 ktk hizo m 350.
Ebu wewe mtanzania mwenzangu niambie wewe pesa hizo ulizifanyia nn?na kama ukumbuki inamaana hukukopeshwa,sasa kama hukukopeshwa why udaiwe?na jee pesa hii iko wapi?na inafanya nini?
Naomba kuwakilisha!

Pole sana Aisee. lkn kumbuka vizur ulijikopesha mwenyewe ulipopigia kula ccm. so u have to pay
 
hio pesa ngekopwa kila mtu apewe angalau hata milioni mia mbili mfukoni basi tungewaelewa ili hivi hivi lazima tumtoe mtu kamasi
Mkuu mbona m 200 ni nyingi kupewa kila
Mtz?hii ni bora kila mtz angepewa trekta na water pump na shamba la ukubwa wa 50hkts each na tsh m20 tuu.Hapa umasikini bye bye na binafsi ningelipa pesa hiyo within 2years.Huu ufala wa serikali ni wa kuulaani sana.
Agshiiiiiiiiii natamani kujiua ili nisiusikie huu wimbo wa ufisadi na deni la taifa,naogopa hata kuikanyaga ardhi maana naona kama inanisuta kwa ujinga wangu wa kukaa kimya,ngoja ni mcheki mh malima anipe ile AK47 nikajitoe muhanga kwa mkuu wa kaya aka VASCO DAGAMA!
 
Ndg wana jf,kwa mujibu wa deni la taifa ambalo kimahesabu kila mtanzania anatakiwa kulipa tsh million 350 kwangu mm binafsi ambaye ni baba wa watoto 3 na mke 1 natakiwa kulipa tsh billion 1,750,000,000 kama deni la familia yangu yote.House girl wangu atajilipia mwenyewe bcoz namlipa mshahara na wala sijui yeye alivyokopeshwa hiyo mipesa alifanyia nini.
Binafsi hata mm sijui pesa hiyo nilifanyia nini.Maana sina kumbukumbu kabisa ya matumizi ya japo tsh 10,000 ktk hizo m 350.
Ebu wewe mtanzania mwenzangu niambie wewe pesa hizo ulizifanyia nn?na kama ukumbuki inamaana hukukopeshwa,sasa kama hukukopeshwa why udaiwe?na jee pesa hii iko wapi?na inafanya nini?
Naomba kuwakilisha!

Japo maoni yako ni sahihi lakini hesabu zimekugonga. Deni la taifa ni trilioni 14.4 sawa na bilioni 14,400 au milioni 14,400,000. Ukigawanya milioni 14,400,000 kwa idadi ya Watanzania ambao wanakadiriwa kufikia milioni 40 unapata laki tatu sitini elfu (360, 000/=). Aliyetoa tarakimu hiyo alikuwa na nia nzuri ya kutushtua lakini alikosea kufanya hesabu na kila mmoja anamnukuu bila kuhakiki.
Ukitaka kujua kuwa alikosea ni kuwa bajeti ya taifa mwaka huu wa fedha ni trilioni zinazokaribia 11 hivi. Nayo ni sehemu tu ya pato la taifa. Kwa hiyo kama ukigawanya kwa Watanzania milioni arobaini ungepata hizo milioni, inamaana pato la Mtanzania kwa mwaka lingekuwa juu kwelikweli. Umasikini usingelikuwa kiwango kilichopo. Ni vizuri tukawa sahihi upande wetu ili yale tunayoyaeleza ya ukweli yapate kuamnika.
 
Mikopo ni kweli ilikopwa, lakini haikutumika kwenye miradi iliyokusudiwa, hivyo matokeo yake hayatakuwa mazuri, sasa itafikia kulipa hakuna pato la kulipia, ndo yanakuwa yale ya Greece.

Hebu waulize wahusika, watakuambia inatokana na kuyumba kwa uchumi wa Dunia, hivi kweli uchumi wetu unafungamana kiasi hicho.
Hebu wenzangu wana JF mnisaidie hapa.
 
Japo maoni yako ni sahihi lakini hesabu zimekugonga. Deni la taifa ni trilioni 14.4 sawa na bilioni 14,400 au milioni 14,400,000. Ukigawanya milioni 14,400,000 kwa idadi ya Watanzania ambao wanakadiriwa kufikia milioni 40 unapata laki tatu sitini elfu (360, 000/=). Aliyetoa tarakimu hiyo alikuwa na nia nzuri ya kutushtua lakini alikosea kufanya hesabu na kila mmoja anamnukuu bila kuhakiki.
Ukitaka kujua kuwa alikosea ni kuwa bajeti ya taifa mwaka huu wa fedha ni trilioni zinazokaribia 11 hivi. Nayo ni sehemu tu ya pato la taifa. Kwa hiyo kama ukigawanya kwa Watanzania milioni arobaini ungepata hizo milioni, inamaana pato la Mtanzania kwa mwaka lingekuwa juu kwelikweli. Umasikini usingelikuwa kiwango kilichopo. Ni vizuri tukawa sahihi upande wetu ili yale tunayoyaeleza ya ukweli yapate kuamnika.

halafu ukute wewe ni mwalimu wa hesabu huko kwenu. Wewe ume round of
watanzania 40 mil yeye karound of 14 trilion. Hivi huoni kuwa hakuna tofauti ya 350 na 360 ?
 
Japo maoni yako ni sahihi lakini hesabu zimekugonga. Deni la taifa ni trilioni 14.4 sawa na bilioni 14,400 au milioni 14,400,000. Ukigawanya milioni 14,400,000 kwa idadi ya Watanzania ambao wanakadiriwa kufikia milioni 40 unapata laki tatu sitini elfu (360, 000/=). Aliyetoa tarakimu hiyo alikuwa na nia nzuri ya kutushtua lakini alikosea kufanya hesabu na kila mmoja anamnukuu bila kuhakiki.
Ukitaka kujua kuwa alikosea ni kuwa bajeti ya taifa mwaka huu wa fedha ni trilioni zinazokaribia 11 hivi. Nayo ni sehemu tu ya pato la taifa. Kwa hiyo kama ukigawanya kwa Watanzania milioni arobaini ungepata hizo milioni, inamaana pato la Mtanzania kwa mwaka lingekuwa juu kwelikweli. Umasikini usingelikuwa kiwango kilichopo. Ni vizuri tukawa sahihi upande wetu ili yale tunayoyaeleza ya ukweli yapate kuamnika.

Umenena vyema. WTZ hesabu zinatugonga sana. Hata hawa mawaziri na maafisa wa serikali ambao tunasema wanatuibia. Pengine nao wanaibiwa na wawekezaji kutokana na kutojua hesabu.
 
halafu ukute wewe ni mwalimu wa hesabu huko kwenu. Wewe ume round of
watanzania 40 mil yeye karound of 14 trilion. Hivi huoni kuwa hakuna tofauti ya 350 na 360 ?

Tofauti ni kuwa wa kwanza alisema ni milioni 350 nami nimeeleza kuwa ni laki tatu na sitini elfu. Ingawa bado ni hela nyingi kwa umasikini wa Watanzania lakini tofauti (iliyonukuliwa nadhani toka Bungeni) ya milioni 350 na laki tatu sitini elfu ndio mkazo wa ujumbe wangu. Tuwe makini. Haisusiani kabisa na kukadiria katika trilioni iliyo karibu wala milioni kamili.
 
Back
Top Bottom