Kuna siri gani kwa wahindi

Kuna siri gani kwa wahindi

SIJUI UNAZUNGUMZIA WAHINDI WA WAPI MAANA KUNA WATANZANIA WAHINDI WANA HAKI SAWA NA WEWE TOFAUTI NI RANGI


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Dharau ni mbaya sana mkuu hasa kwa mtu ambae haumjui, mimi nina watu nawalipa mshahara tena kuliko hta yeye, halafu ananiita hanithi! Na hela nimempelekea ili tufanye biashara! Nilitaka kuua na angejaribu kuikoki bastola ningemuwai ili nikafungwe vzri

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari!kakutana na mtoto wa mjini kapima maji vibaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashindwa kujua ni kwanini makampuni mengi utawakuta hawa jamaa ndio mabosi tena hawana utu kabisa katika kusimamia haki za wafanyakazi wao. Serikali iko wapi juu ya waajiri kama hawa tunaoteseka ni sisi wananchi zaidi tupo ndani ya Taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiitoa shutuma nzito namnla hiyo bila kuweka chembe ya ushahidi ni pengine huelewi maana ya utu ni nini.

Au hivyo ulivyofanya wewe ndiyo utu?
 
Wahindi wa. Senge tu. We mwenyewe umetoa maneno ya kashfa hapo juu. Mkuu nduwa ko.

Sent using my Nokia Torch
Haya sasa mnawalaumu Wahindi eti hawana utu wewe utu wako uko wapi hapo?
Mtaendelea kunyooshwa mpaka mjue adui yenu ni nani?
 
Nashindwa kujua ni kwanini makampuni mengi utawakuta hawa jamaa ndio mabosi tena hawana utu kabisa katika kusimamia haki za wafanyakazi wao. Serikali iko wapi juu ya waajiri kama hawa tunaoteseka ni sisi wananchi zaidi tupo ndani ya Taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini usifanye kazi kwenye makampuni ya serikali ?
 
Nashindwa kujua ni kwanini makampuni mengi utawakuta hawa jamaa ndio mabosi tena hawana utu kabisa katika kusimamia haki za wafanyakazi wao. Serikali iko wapi juu ya waajiri kama hawa tunaoteseka ni sisi wananchi zaidi tupo ndani ya Taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wahindi japo wameshikiria uchumi wana roho mbaya sana nashangaa wasomi huwa hawafanyi research maeneo kama Haya hii mijitu inatajirika kwa kutumia lenience ama Kama si hivyo ni ujinga wa viongozi. Kwa wahindi wasiowajua watatoa povu ila ndo ukweli mchungu
 
Matatizo ni mengi siwezi kuorodhesha yote hapa, mfano mwaka juzi niliwahi kukatwa laki 2 katika mshahara wangu kisa nimetoka kazini saa 10 unusu jioni,
Mtu tuu kapiga simu kwa chief accountant kata mshahara wa fulani wakalima, nilisimama kidete wanipe fedha yangu na niliipata
Matatizo yepi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashindwa kujua ni kwanini makampuni mengi utawakuta hawa jamaa ndio mabosi tena hawana utu kabisa katika kusimamia haki za wafanyakazi wao. Serikali iko wapi juu ya waajiri kama hawa tunaoteseka ni sisi wananchi zaidi tupo ndani ya Taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna njia tatu tofauti kama hukubaliani na any existing system.
1) Ibadilishe iendane na unavyotaka wewe
2) Badilika wewe Uendane nayo yenyewe
3) Quit from it, ukatafute ingine unayoendana nayo.
 
Kenya mbona huwa hawalalamiki kunyanyaswa na wahindi.Tatizo Watanzania wengine hawako kikazi kutwa kuomba ruhusa ohh kafa Bibi wa Bibi naenda kuzika kesho ni harusi ya mtoto wa mjomba ambaye ndie alinilea naomba ruhusa kesho kutwa Jirani anaharisha hana mtu wa kumuuguza naomba ruhusa!!! Mhindi hapo mtaelewana kweli?
 
Matatizo ni mengi siwezi kuorodhesha yote hapa, mfano mwaka juzi niliwahi kukatwa laki 2 katika mshahara wangu kisa nimetoka kazini saa 10 unusu jioni,
Mtu tuu kapiga simu kwa chief accountant kata mshahara wa fulani wakalima, nilisimama kidete wanipe fedha yangu na niliipata

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama muda wa kutoka ni saa 11 ina maana ulitoka nusu saa kabla ya muda.Hiyo hela uliyokatwa ndogo Mimi ningekukata mshahara mzima sababu chukulia kiwanda kinazalisha coca-cola wewe umezima mtambo nusu saa ili uwahi kuondoka.Unajua ni makreti mangapi ya soda yameshindwa kuzalishwa kwa hiyo nusu saa uliyozima mtambo? Huyo mhindi ana huruma sana kwako.Ingekuwa Mimi mswahili mwenzio ungenikoma mbona huyo mhindi ungemwona malaika.
 
Wabongo na nyie muache chuki kwa Wahindi vinginevyo mtaendelea kurukishwa kichura chura.
Waafrika mna mambo ya hovyo sana hata wahindi wakirudi zao Bharat nyie mtaendelea kuteseka na kutesana.
Waafrika hamjui mnachokitaka na kwa upande wangu watu weusi ni wabaya na wajinga kuliko rangi zote.(sio wote)
Nimekulia Tanzania so naongea kitu ninachokijua 100%
Live long Tanzania
Live long Bharat.
Kwenda zako mna roho mbaya sana kwa watu weusi nyie hakuna Nazi mnayofanya kazi kulipana mishahara mikubwa tu
 
Hicho vyama kazi yao ni kukusanya michango tuu kila mwisho wa mwezi, ukipata tatizo unapambana kimpango wako,
Tena kwa hizi kampuni zetu hata wale uliowakuta yaan senior tatizo likikufika nao wanakausha kimya hivyo unapambana peke yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nilijiondoa kwenye hivyo vyama kitambo sana, 12,500/= per month sikuona ilichofanya zaidi ukipata tatizo kazini ukiwaita hawaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom