Kuna siri gani kwa wahindi

Kuna siri gani kwa wahindi

kufanya kazi na muhindi au na mchina.. inahitaji uvumilivu hasa hasa...

na wa Tanzania tunavyopenda kuomba omba ruhusa.. wanatunyoosha sana hawa watu
Wahindi wana roho mbaya sana, Ukifanya nao kazi ni waongeaji mno kifupi usiwe na hasira za karibu.
 
Kumbuka Waswahili tu wavivu sana.

Nilikuwa kampuni moja binafsi, Mtu anapata tatizo lake binafsi haji kazini, akifokewa ananung'unika na kulalamika pembeni kuwa Bosi ana roho mbaya....na wala bosi sio Muhindi, ni Mbongo Mwenzake.
 
Wabongo na nyie muache chuki kwa Wahindi vinginevyo mtaendelea kurukishwa kichura chura.
Waafrika mna mambo ya hovyo sana hata wahindi wakirudi zao Bharat nyie mtaendelea kuteseka na kutesana.
Waafrika hamjui mnachokitaka na kwa upande wangu watu weusi ni wabaya na wajinga kuliko rangi zote.(sio wote)
Nimekulia Tanzania so naongea kitu ninachokijua 100%
Live long Tanzania
Live long Bharat.
 
Wabongo na nyie muache chuki kwa Wahindi vinginevyo mtaendelea kurukishwa kichura chura.
Waafrika mna mambo ya hovyo sana hata wahindi wakirudi zao Bharat nyie mtaendelea kuteseka na kutesana.
Waafrika hamjui mnachokitaka na kwa upande wangu watu weusi ni wabaya na wajinga kuliko rangi zote.(sio wote)
Nimekulia Tanzania so naongea kitu ninachokijua 100%
Live long Tanzania
Live long Bharat.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabaguzi sana huwezi hata ku deep stick kwao, ila wao ndiyo mchezo wao
 
Kuna muhindi nilimpiga ngumi kama mtoto, mimi cpendi dharau nilienda kununua Tractor nina milioni 42 cash nataka Massey ferguson 375, wakati tunaelewana bei akaniambia toa uhanidhi! Alipokea box za kufa mtu dakika kama tano uso wote damu akatoa bastola eti amevamiwa nikamwambia umechelewa anachomoa anakuta nayo kitambo sana nimemwekea kwenye paji la uso, nikamwambia wadharau hao paka wako unaowapa mshahara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna muhindi nilimpiga ngumi kama mtoto, mimi cpendi dharau nilienda kununua Tractor nina milioni 42 cash nataka Massey ferguson 375, wakati tunaelewana bei akaniambia toa uhanidhi! Alipokea box za kufa mtu dakika kama tano uso wote damu akatoa bastola eti amevamiwa nikamwambia umechelewa anachomoa anakuta nayo kitambo sana nimemwekea kwenye paji la uso, nikamwambia wadharau hao paka wako unaowapa mshahara

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Hongera Sana kwa kazi nzuri,I wish waTanzania wengine wangekuwa na Ujasiri kama huo ,hawa Jamaa wangenyooka vizuri tu..hapa bongo tunawalea sanaaa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matatizo ya waafrika wengi yana sababishwa na waafirika wenyewe tuache Tabia za kulaumu watu weupe.
Hakuna kitu wanachofanya wahindi ambacho hatuwezi kufanya siku hizi. Tunapaswa kuwapa changamoto mpaka wakimbie kama kule Moshi na hata Arusha.
 
Mkuu Hongera Sana kwa kazi nzuri,I wish waTanzania wengine wangekuwa na Ujasiri kama huo ,hawa Jamaa wangenyooka vizuri tu..hapa bongo tunawalea sanaaa..

Sent using Jamii Forums mobile app
Dharau ni mbaya sana mkuu hasa kwa mtu ambae haumjui, mimi nina watu nawalipa mshahara tena kuliko hta yeye, halafu ananiita hanithi! Na hela nimempelekea ili tufanye biashara! Nilitaka kuua na angejaribu kuikoki bastola ningemuwai ili nikafungwe vzri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna shida kubwa kama kuongozwa na masikini mwenzio, ni bora mtu aliezoea maisha ya juu awe kiongozi wako wewe mwenye hali ya chini kuliko fukara mwenzako aliepata upenyo hivi majuzi kuwekwa juu yako.

Wahindi ni masikini wa kutupwa India ni Taifa la kwanza ulimwenguni kua na idadi kubwa ya masikini yaani India wapo poorer of the poorest ambao masikini wa huku Tanzania ni matajiri kwao

Pamoja na mapungufu yetu mengi ila ukilinganisha na mapungufu waliyonayo wahindi, watanzania tunaonekana hatuna tatizo, wahindi wamefanikiwa kwenye hii nchi sababu tu ya udhaifu wa serikali zetu zilizopita wala sio kwamba wana cha tofauti saana kutuzidi wala nini, rushwa, ufisadi, wizi, dhulma ndio mazingira ambayo yanamfanya muhindi afanikiwe kwa urahisi.

Lakini pia watanzania acheni uvivu hasa watanzania wa maeneo ya mwambao.
 
Kuna muhindi nilimpiga ngumi kama mtoto, mimi cpendi dharau nilienda kununua Tractor nina milioni 42 cash nataka Massey ferguson 375, wakati tunaelewana bei akaniambia toa uhanidhi! Alipokea box za kufa mtu dakika kama tano uso wote damu akatoa bastola eti amevamiwa nikamwambia umechelewa anachomoa anakuta nayo kitambo sana nimemwekea kwenye paji la uso, nikamwambia wadharau hao paka wako unaowapa mshahara

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ulifanya la maana sana
 
Mimi nakereka kwa wahindi kutojenga nyumba.
Ningekuwa na mamlaka ningewaambia kila mhindi mwenye miaka 50 wakiume ajenge nyumba Tanzania.
Watajijua wenyewe mhamiaji au mpangaji au kazaliwa hapa ili mradi wajenge hapa.
 
Hamna shida kubwa kama kuongozwa na masikini mwenzio, ni bora mtu aliezoea maisha ya juu awe kiongozi wako wewe mwenye hali ya chini kuliko fukara mwenzako aliepata upenyo hivi majuzi kuwekwa juu yako.

Wahindi ni masikini wa kutupwa India ni Taifa la kwanza ulimwenguni kua na idadi kubwa ya masikini yaani India wapo poorer of the poorest ambao masikini wa huku Tanzania ni matajiri kwao

Pamoja na mapungufu yetu mengi ila ukilinganisha na mapungufu waliyonayo wahindi, watanzania tunaonekana hatuna tatizo, wahindi wamefanikiwa kwenye hii nchi sababu tu ya udhaifu wa serikali zetu zilizopita wala sio kwamba wana cha tofauti saana kutuzidi wala nini, rushwa, ufisadi, wizi, dhulma ndio mazingira ambayo yanamfanya muhindi afanikiwe kwa urahisi.

Lakini pia watanzania acheni uvivu hasa watanzania wa maeneo ya mwambao.
Naam wahindi ambao Hayati Mtikila aliwaita magabachori wameitafuna sana Tanzania kwa ufisadi na misheni town akina 1.Tanil Somaiya wa Rada ya BAE mpaka akaja kuanzisha SHIVACOM (waliokuja kuiliza Vodacom Tanzania), ULTIMATE SECURITY na kuwa wakala wa IVECO Bongo 2. Suleish Vithlani 3. Jeetu Patel wa minara pacha ya BOT hadi kuja kuwa tajiri wa MOTISUN group akimiliki viwanda tele 4. Subash Patel 5. Dilip Kesaria HAWA WACHACHE TU ORODHA NI NDEFU SANA
 
Wahindi wanadharau sanah Yani hata ukienda kama mtejah bado wanashidah sema Ni watu was rushwa sanah na wanajikomba sanah kwa viongozi was serikari ilah Ni wasengee sanah sijui wanajionaje
Nliwahi kumuongelesha mmoja kumuuliza sehemu ambayo siifahamu tanga alinijibu ujinga akakataa hata nsikiliza
Mwingine nlikuta dukani alivyo Ni treat as if nachukua vitu buree
Nm kutana nao mara nyingi wengi sio wazuri wamenifanya niwachukie mnooh wanadharau sanah
Nawazaga Kama vip wangetembeaga tu uko kwao
sema mzunguko wa hela wameushika sanah hasa ukuh tanga
Ilah dawa Ni ushindani kibiashara Hadi waondoke
 
Naam wahindi ambao Hayati Mtikila aliwaita magabachori wameitafuna sana Tanzania kwa ufisadi na misheni town akina 1.Tanil Somaiya wa Rada ya BAE mpaka akaja kuanzisha SHIVACOM (waliokuja kuiliza Vodacom Tanzania), ULTIMATE SECURITY na kuwa wakala wa IVECO Bongo 2. Suleish Vithlani 3. Jeetu Patel wa minara pacha ya BOT hadi kuja kuwa tajiri wa MOTISUN group akimiliki viwanda tele 4. Subash Patel 5. Dilip Kesaria HAWA WACHACHE TU ORODHA NI NDEFU SANA
Ni watu wa hovyo sana na ni bahati mbaya sana waliachwa na Nyerere ila miaka 30 ijayo watakua na maisha mabaya sana Tanzania, karidi siku zunavyoenda tabia za wanadamu huzidi kubadilika na kua tofauti, kitendo cha wahindi kuua wanafunzi wa kiafrika kisa tu ya rangi yao wakati wao wapo weusi kuliko hata wa afrika kilifanya niwaone hawa viumbe hawana tofauti na nguruwe.
 
Back
Top Bottom