Kuna siri gani kwa wahindi

Kuna siri gani kwa wahindi

Wale ndo zao...eti dereva wa bosi, mmiliki wa kampuni kabisa hana hata kitanda mwaka wa nane huu yuko job, yaan kama msukule, walking dead

Wahindi wangaa aki vile

Kuna staff mmoja walikuwa hawamlipi mshahara karibia mwaka kisa eti mauzo yake yalimiss, alivyopata kaupenyo akapiga hela ndefu (150m), halafu akaacha kazi, hiyo hela hakufanyia la maana, sasa hivi ni kichaa pale posta, embassy hotel

Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣Umenikumbusha Kuna mdada tulikuwa tunamuita Rehema mwepesi jamanii alikuwa anafanya kazi yule dada wahindi walikuwa wanamlipa pesa ya ziada kwa ufanyaji wake wa kazi, watu walio bahatika kwenda nyumbani kwake walikuwa wanasema nyumba nzima kaeneza ndoo za maji hana maendeleo.
 
Wahindi ndiyo jami pekee duniani, hakuna nyingine wanaoishi kiunyanyapaa, ni wao tu dunia hii. Wahindi wamegawanyika katika makundi 4 ambayo ni (1) wasioguswa/kushikika (2) matajiri (3) wafanyakazi na (4) mafukara. Kivumbi kinakuja hapa kwa ndugu zetu mafukara. Hawa jamaa wamegawanyika katika makundi 2,000, yaani aliye nafuu kidogo anambagua aliye chini yake na kama umezaliwa katika familia ya kimasikini basi utakufa kimasikini. Yaani kwa ufupi, wahindi kubaguana ni jadi kwao, wanaishi hivyo na pengine asipombagua mtu ajisikii vizuri.
caste system
 
Bora mtu mweusi kuliko muhindi,waarabu ndo zaidi ya wabongo


Wahindi most of them ni watu wabaya sana yani wanaroho mbaya balaa,inshort siwapendi hawa watu..... ila na sisi pia tusijisahau wengi wetu tunaroho mbaya, katili kuliko jamii yeyote ile na sio watu wa kazi, tunapenda kulala na kulalamika/kunung'unika....Kwa upande wa waarabu sioni kama wanatatizo huwa mnawasingizia tu, ni watu wenye busara nyingi wasiopenda ujinga ujinga, na isitoshe wamejichanganya sana na sisi, pia wameowa dada zetu, nasi tumeowa kwao.
 
Kama muda wa kutoka ni saa 11 ina maana ulitoka nusu saa kabla ya muda.Hiyo hela uliyokatwa ndogo Mimi ningekukata mshahara mzima sababu chukulia kiwanda kinazalisha coca-cola wewe umezima mtambo nusu saa ili uwahi kuondoka.Unajua ni makreti mangapi ya soda yameshindwa kuzalishwa kwa hiyo nusu saa uliyozima mtambo? Huyo mhindi ana huruma sana kwako.Ingekuwa Mimi mswahili mwenzio ungenikoma mbona huyo mhindi ungemwona malaika.


🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wahindi unao watetea ni wajinga Ukifanya nao kazi ni wasumbufu haijawahi kutokea hawajui kitu kila dakika wanasumbua Kuna mmoja nilikuwa nae kwenye kampuni yaani kila dakika analeta kalatasi nimsaidie kujaza hajui English hajui kiswahili siku wakija wakaguzi polisi alikuwa anapata tabu aisee anajificha kwenye mabox alikuwa ana roho mbaya nilikuwa naombea siku polisi wamkute dadeki zake.
Kwa maelezo yako inaonyesha una roho mbaya na chuki kuliko hao Wahindi unaowalalamikia.
Nasemaje mtaendeshwa mpaka akili iwakae.
 
Kwa maelezo yako inaonyesha una roho mbaya na chuki kuliko hao Wahindi unaowalalamikia.
Nasemaje mtaendeshwa mpaka akili iwakae.
Pamoja na roho mbaya ambazo mnazo ila mkiletewa polisi jeuri yote kisha vipi mkuu umapaniki upo India kwenye ile ibada yenu ya uchi kwenye maji ya Mavi.
 
Umenikumbusha Kuna mdada tulikuwa tunamuita Rehema mwepesi jamanii alikuwa anafanya kazi yule dada wahindi walikuwa wanamlipa pesa ya ziada kwa ufanyaji wake wa kazi, watu walio bahatika kwenda nyumbani kwake walikuwa wanasema nyumba nzima kaeneza ndoo za maji hana maendeleo.
Ahaaaahaaaaaaaaaaa

Daaah haki nimecheka kifala

Ndo zao hao! Hakuna aliyefanya kazi kwa mhindi akawa na maendeleo never ever!

Kuna jamaa alijitahidi akafungua bar kwao huko Morogoro, siku ya uzinduzi ikaungua moto! Na alikuwa anatangaza ofisini, watu wanamwambia wewe kausha usiongee mambo yako!

Shikamoo mhindi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahaaaahaaaaaaaaaaa

Daaah haki nimecheka kifala

Ndo zao hao! Hakuna aliyefanya kazi kwa mhindi akawa na maendeleo never ever!

Kuna jamaa alijitahidi akafungua bar kwao huko Morogoro, siku ya uzinduzi ikaungua moto! Na alikuwa anatangaza ofisini, watu wanamwambia wewe kausha usiongee mambo yako!

Shikamoo mhindi

Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣Hao Wahindi wanatuonea sisi tu nenda Dubai wanatia huruma nywele Zina nyonyoka kwa kufagia barabarani unafanya basihara na jua la Nchi za kiarabu 😅😅waki toka huko sasa hasira wanakuja kumaliza kwetu.
 
Hao Wahindi wanatuonea sisi tu nenda Dubai wanatia huruma nywele Zina nyonyoka kwa kufagia barabarani unafanya basihara na jua la Nchi za kiarabu waki toka huko sasa hasira wanakuja kumaliza kwetu.
Dubai wamejazana balaa, wanafagia barabara wakitua bongo wanakuwa ma accountant yaaan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale ndo zao...eti dereva wa bosi, mmiliki wa kampuni kabisa hana hata kitanda mwaka wa nane huu yuko job, yaan kama msukule, walking dead

Wahindi wangaa aki vile

Kuna staff mmoja walikuwa hawamlipi mshahara karibia mwaka kisa eti mauzo yake yalimiss, alivyopata kaupenyo akapiga hela ndefu (150m), halafu akaacha kazi, hiyo hela hakufanyia la maana, sasa hivi ni kichaa pale posta, embassy hotel

Sent using Jamii Forums mobile app
Angetoa m5 tu akajikinge na lolote baya watakalomfanyia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angetoa m5 tu akajikinge na lolote baya watakalomfanyia

Sent using Jamii Forums mobile app
Mchaga yule sijui ilikuwaje yaan...wamebaki wanajisifia tu kuwa mwizi wao amekuwa chizi..

Wabongo wanapenda sana kujipendekeza, wao hao hao staff ndo walimuona huko posta kawa chizi, eti wakaja kuwambia wahindi, ili iweje sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom