Kuna siku utaamka utaambiwa nchi imeuzwa na hutahoji

cutelove

JF-Expert Member
Oct 3, 2017
3,317
7,509
Kwa katiba hii ambayo inampa Rais madaraka ya kufanya lolote,kuna siku nchi itauzwa na utapiga makofi

Nchi zingine duniani Spika na Jaji mkuu ni watu wenye nguvu kweli kweli sambamba na Rais lakini Tanzania kuna mhimili mmoja upo juu ya mihimili mingine kwa nini usiombe msamaha?

Kwa katiba hii Spika hana tofauti na Mkuu wa Mkoa au waziri, Rais ndiyo kila kitu kwenye hii nchi kwa nini usiuzwe na kwa nini tusikope bila kikomo na bila kuhoji

Ndugai ilikuwa imebaki kunyang'anywa kadi ya chama automatically angekuwa siyo Spika

Nchi nyingine Spika ana uwezo wa kujipambanua sawa na Rais lakini Tanzania hiyo ni ndoto ya alinache

Tunasema hii siyo katiba tuliyonayo
 
Tayari kuna kisiwa Zanzibar kauziwa Bill Gates

 
Kwa katiba hii ambayo inampa Rais madaraka ya kufanya lolote,kuna siku nchi itauzwa na utapiga makofi

Nchi zingine duniani Spika na Jaji mkuu ni watu wenye nguvu kweli kweli sambamba na Rais lakini Tanzania kuna mhimili mmoja upo juu ya mihimili mingine kwa nini usiombe msamaha?

Kwa katiba hii Spika hana tofauti na Mkuu wa Mkoa au waziri, Rais ndiyo kila kitu kwenye hii nchi kwa nini usiuzwe na kwa nini tusikope bila kikomo na bila kuhoji

Ndugai ilikuwa imebaki kunyang'anywa kadi ya chama automatically angekuwa siyo Spika

Nchi nyingine Spika ana uwezo wa kujipambanua sawa na Rais lakini Tanzania hiyo ni ndoto ya alinache

Tunasema hii siyo katiba tuliyonayo
Katiba ni mbovu haswa
 
Nimekosa mimi, Nimekosa sana 😊😊😊
1641215166547.jpg
 
Kwa katiba hii ambayo inampa Rais madaraka ya kufanya lolote,kuna siku nchi itauzwa na utapiga makofi

Nchi zingine duniani Spika na Jaji mkuu ni watu wenye nguvu kweli kweli sambamba na Rais lakini Tanzania kuna mhimili mmoja upo juu ya mihimili mingine kwa nini usiombe msamaha?

Kwa katiba hii Spika hana tofauti na Mkuu wa Mkoa au waziri, Rais ndiyo kila kitu kwenye hii nchi kwa nini usiuzwe na kwa nini tusikope bila kikomo na bila kuhoji

Ndugai ilikuwa imebaki kunyang'anywa kadi ya chama automatically angekuwa siyo Spika

Nchi nyingine Spika ana uwezo wa kujipambanua sawa na Rais lakini Tanzania hiyo ni ndoto ya alinache

Tunasema hii siyo katiba tuliyonayo

ukiongea ukweli policcm hao!,ukihoji policcm hao!,ukiuliza policcm hao!.

ccm wazawa kutoka madarakani itaki bado inatumia njia ya kuwatuliza kwa style yoyote
 
😁😁😁👇
 
Kwa mikataba yao ya siri kupitia katiba hii yenye viraka possible kwani Rais ni zaidi ya mungu chochote akitaka anaweza
 
Afrika Rais anayo haki ya
1.Kupora mke wa mtu.
2.kuua yeyeto
3.kufunga au kufungulia yeyeto jela
4.kuiba pesa na kuficha ulaya
5.kuajiri awatakao hata kama ni kabila au ndugu zake wote
6.kupora mali au pesa ya yeyeto
7.kuleta au kutoleta maendeleo.
8.kubadili katiba au sheria yeyeto yenye maslai nayo
 
Au tukilala na kuamka tutaambiwa kila mtu apitie ofisi ya DC akachapwe viboko viwili kwakua ni afya wote tutafanya hivyo hakuna atayepinga.
 
Kwa katiba hii ambayo inampa Rais madaraka ya kufanya lolote,kuna siku nchi itauzwa na utapiga makofi

Nchi zingine duniani Spika na Jaji mkuu ni watu wenye nguvu kweli kweli sambamba na Rais lakini Tanzania kuna mhimili mmoja upo juu ya mihimili mingine kwa nini usiombe msamaha?

Kwa katiba hii Spika hana tofauti na Mkuu wa Mkoa au waziri, Rais ndiyo kila kitu kwenye hii nchi kwa nini usiuzwe na kwa nini tusikope bila kikomo na bila kuhoji

Ndugai ilikuwa imebaki kunyang'anywa kadi ya chama automatically angekuwa siyo Spika

Nchi nyingine Spika ana uwezo wa kujipambanua sawa na Rais lakini Tanzania hiyo ni ndoto ya alinache

Tunasema hii siyo katiba tuliyonayo
Tena wameogopa ile kauli yake ya " ugogo" asingetaja hivyo wangemsumbua ila wameogopa kajikinga nyuma ya wagogo kwa hiyo wakimgusa wanawaguaa wagogo kwanza,
LAKINI KATIBA NI LAZIMA , TENA KATIBA MAKINI, IMARA NA KALI KAMA MSUMENO .
 
Back
Top Bottom