Kuna sayari zaidi ya Billioni 100 katika Universe, Je Viumbe hai tupo peke yetu ?

Kuhusu universe ilo ni fumbo kubwa sana la mwenyezi Mungu sema huwa na appreciate the way scientist wanavyofanya innovation kila kukicha ila hawawezi imaliza hata siku moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu...Watu hawataelewa kwanini tunadelay kupata mawasiliano ya moja kwa moja na viumbe toka mbali ,..........

,Ni kwa sababu ya Time space continuum tofauti iliyopo katika anga la dunia hii na ulimwengu unaotuzunguka..

3D ndo inayotufanya tushindwe kujua what is happening outside au ndani ya ulimwengu huu kwa undani.

Leo hii tunahangaika na Treni za mwendo kasi lakini wenzetu toka sayari za mbali wapo kwenye HYPERLOOP technology ambayo treni zinakimbia kwa kutumia magnetic forces za LAVITATION halafu tunadanganywa kuwa ELON MUSK ndo anayebuni sijui kupata cretivity wakati anajaribu ku unlock hidden reality katika higher technology ya sayari za mbali huko tena wao washapita...

Telescope tulizonazo zina uwezo wa kuview distant objects katika 3D na kidogo 4D ambayo tunaita Euclidean 4D space ambayo inatumia continum moja ya time
tu..

Kwa hiyo 4D ni time wakati 1D ni height ,2D ni length kama sijazichanganya na 3D ndi hizo tatu zinazo involve Heinght ,length na Width ( x,y,z planes).

Lakini hiyo 4D tu yenyewe imetushinda kuielewa vizuri make bado kuna utata sana katika kupata exactly value ya vitu katika movement ya 4D ..

Ukisoma Superstring Theory,ambayo inaiongelea vizuri the fifth and sixth dimensions ,inasema kuwa this is where the notion of possible worlds arises,na kuna uwezekano kuwa kuna 5D na 6D .

If we could see on through to the fifth dimension, nathani tungekuwa na uwezo wa kuona vitu katika dimension kubwa sana kwa mfumo tofauti tofauti...

we would see a world slightly different from our own that would give us a means of measuring the similarity and differences between our world and other possible ones.

Wakati movement katika sayari za mbali inakadiliwa kuwa katika 10D ( ten dimension)..so katika dimension hii tunaweza kuona kila kitu wala hakuna uhitaji wa kuwa na CCTV camera kabisa....unaweza view hata vitu vilivyopo juu ya kichwa chako au kichogo chako ....

We arrive at the point in which everything possible and imaginable is covered. Beyond this, nothing can be imagined by us lowly mortals, which makes it the natural limitation of what we can conceive in terms of dimensions.

Ila ukisoma a grand unifying theory a.k.a the Theory of Everything (TOE) there is the belief that ,the universe is made up of ten dimensions na hapa kila kitu kipo wazi huhitaji kitu kingine kuona hata virusi..your eyes can view hata utumbo wa virusi kama upo...ila sasa kufikia huko ni ngumu ndo mana wakati mwingine tunashindwa kuwaona wale viumbe sadikika kama sio kuzungumzika katika lowest dimension form (3D).

Ila wao wanatuwachi mpaka ndani ya ubongo wetu ndo mana kila wazo unaloliwaza tayari linafanyiwa reverse kama ni baya zidi yao...they might be real watching us...

Utofauti huo wa 3D na Dimension zingine ndo unaotufanya tuseme kuwa kuna parallel universe kabisa katika maisha haya...

Means ya parallel universe ni kwamba wewe unatazama vitu kwa mfumo flani ila mwenzako anautazama zaidi ya wewe hence kufanya mpishane ha hamtaweza kuonana wala kugusana na parallel universe meansi mnaishi kwa kuview na kuishi katika mfumo tofauti ambao hamuwezi ingiliana ..

That's is parallel life form ...yani yeye anaweza akapita hata katikati ya mwili wako bila wewe kuhisi contact yoyote au akaweza kupanua hii space hii ili apate njia ya kupita.......

The dimension difference existing ndo inayotufanya tuwe tofauti na tushindwe kuonana ...mpaka wao wajiweke wazi kwetu..kumbuka wapo katika The last 10D ambayo hii 3D yetu ipo ndani so they can manipulate the dimension view yoyote wanayotaka wao...wanaweza kuja duniani wakaamua kuonekana au wasionekane kwa sababu wanao uwezo huo wa kuviolet time space continuum yetu...

Ndo mana mimi huwa nanyamaza ninapowaona watu wakibishi( sha) na kusema kuwa hakuna Viumbe toka sayari za mbali( Aliens) with other names you can call ..

==========

Watu wanasema kama kweli wapo kwanini hawajawahi kujiweka wazi tuwaone kwa macho yetu...macho yetu...?? real....?? yani viumbe wapo 10D humo wewe 3D na macho yako hayo yenye kuview vitu kwa megapixel 756 wakati wao macho yao yanabiew katika Gigapixeal kabisa....daaah...

wanakomaa kweli eti kama kweli wangekuwepo kwanini wasijioneshe kwetu...??

Jibu ni kwamba wao wapo katika 10D na sisi tupo kwenye 3D ambapo bado tunahangaika kuimaster hata hiyo 4D ambayo ni muda( Time ) ili tusynchronize na space ili tupate kitu kimoja cha spacetime ili tuweze nasi angalau kusafiri kwa speed ya light lakini tulijaribu hilo kupitika jaribio la Philadelphia EXPERIMENT na madhara makubwa yalionekana nadhani kila mmoja anaweza google walau apate ABC ya madhara ya Philadelphia experiment...ni hatari sana..narudia tena kumaster 4D ni kazi kubwa sana ,sembuse 10D huko.......!!! mmmmh...

===========

Tuendelee kuwa wapole tu...nchi za mbali huko walishakubali kabisa kuwa lazima tuwe wapole tuelekezwe namna ya kusavaivu kwenye huu ulimwengu wenye options nyingi za kuishi....la sivyo tutakiona cha moto cha kubaki kama mazezeta...

Unachokiona huko China,U.S.A ,RUSSIA na kwingineko ambapo technology inakuwa kwa kasi wemeshakubali kwa lolote ili mradi mwanadamu apate kujua hatima ya mind yake na kujua limitation zake pamoja na kuzivuka...

So kuna mengi ya kuzungumza juu ya uwepo wa mwanadamu na uhusiano na hao viumbe wakuu...Usione serikali zimenyamaza tena kwa kuufyata mdomo kabisa...there are strange stories about reality....
Unacho kisema kinawezekana ila kwa asilimia ndogo sana. Ukiangalia timeline of the universe we are relatively in the beginning na uwezekano wa kuwepo viumbe kabla yetu waliofikia 10D ni kama haupo.
Na kuhusu string theory, watu wengi hawaiamini na ina shortcomings nyingi. Pia scientists wengi siku hizi hawaconsider time kama dimension
 
You believe in the theory of evolution siyo? Facts zilizopo wewe zinakuonyesha nini sasa hivi? Anyway ukipata muda, sikiliza hii documentary hapa chini, especially katika sehemu ambayo inaongelea ki-piramidi kidogo cha pembeni ambaco mtafiti alirudi baada ya siku kadhaa na kukuta kimefanyiwa marekebisho na haijulikana ni kiumbe wa aina gani alifanya marekebisho hayo!
Siamini katika theory of evolution au tuseme evolution waliotuaminisha akina Darwin.
Pamoja na hizo "evidence" ambazo bado ni conspiracies hakuna tangible scientific proof kuonesha kuwa aliens have ever visited or been detected. Kukubali moja kwa moja kuwa aliens wanaexist inahitaji way more evidence ambayo haina vipingamizi vingi.
 
Hakuna maisha baada ya kifo na maanisha,kuendekea kufikiri kuna maisha baada ya kifo huo ni uoga tu,tumefundishwa hofu ya mungu lakini mungu akijificha anaishi kusiko julikana.wakristo tunasema anaishi popote mbaka leo bado haijulikani mungu nini hasa na kuogopa kuwa na hofu na vitu walivyo andika waandishi ni uoga tu.
Kusema definitively kuwa hamna maisha baada ya kifa ni kujifunga akili yako isifikirie zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siamini katika theory of evolution au tuseme evolution waliotuaminisha akina Darwin.
Pamoja na hizo "evidence" ambazo bado ni conspiracies hakuna tangible scientific proof kuonesha kuwa aliens have ever visited or been detected. Kukubali moja kwa moja kuwa aliens wanaexist inahitaji way more evidence ambayo haina vipingamizi vingi.

You might be right katika upande mmoja, but may be wrong on the other. Researches za UFO's waliamua kuzi-abondon wa-Marekani kutokana na vitu vitatu vikubwa. Moja ni baada ya kuona kuwa UFOs hawakuwa wana-pose threats zozote katika dunia yetu, pili ni baada ya kuona kuwa hata kama wakiamua kuwa threats kwetu, hatuna technology ya kuweza kuwa-counter attack na tatu, vyombo vya usalama vya Marekani kuepusha paniki kwa dunia nzima kama wananchi wa kawaida wangeweza kujua kuwa kuna viumbe wengine wanaoishi kwenye sayari zingine ambao wakiaamua wana uwezo wa kuishambulia dunia na isifanye chochote. However, you might be right kwamba hizi nazo pia zinaweza kuwa ni conspiarcy theories tu!
 
Sisi Waislam tunajua kuwa Kuna viumbe huko mbinguni na ardhini vinavyo ishi.Sasa kazi kwenu ninyi mnaojifanya humumu amini Mungu.

21:16

Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyo baina yao kwa mchezo.

21:19

Na ni vyake Yeye tu Mwenyezi Mungu vilivyomo mbinguni na katika ardhi. Na walioko kwake hawafanyi kiburi wakaacha kumuabudu, wala hawachoki



Sent using Jamii Forums mobile app
 
You might be right katika upande mmoja, but may be wrong on the other. Researches za UFO's waliamua kuzi-abondon wa-Marekani kutokana na vitu vitatu vikubwa. Moja ni baada ya kuona kuwa UFOs hawakuwa wana-pose threats zozote katika dunia yetu, pili ni baada ya kuona kuwa hata kama wakiamua kuwa threats kwetu, hatuna technology ya kuweza kuwa-counter attack na tatu, vyombo vya usalama vya Marekani kuepusha paniki kwa dunia nzima kama wananchi wa kawaida wangeweza kujua kuwa kuna viumbe wengine wanaoishi kwenye sayari zingine ambao wakiaamua wana uwezo wa kuishambulia dunia na isifanye chochote. However, you might be right kwamba hizi nazo pia zinaweza kuwa ni conspiarcy theories tu!
Major decision ilikuwa ni kutokuwatia hofu wanaulimwengu kuwa kuna hawa jamaa from other galaxies na dimensions.

Sent using Infinix hot 4
 
Nangojea watengeneze telescop ya kuona mbinguni waseme ni kilometa ngapi ,huko ndo kunafaa kwenda izo zingine hazina kazi, naskia uko mbinguni kuna uhai kuna wazee 24, malaika waku shato , majengo ka yote, ardhi ni dhahabu zaid ya geita,uko wanaimbaga ala za roho,zinakuga kumoyo, huku nadhani tukipita izi sayari bilion100, hapo juu yake ndichi kulia tutafika mbuguni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom