Joto linahitajika katika sayari ya Mars

Mzawa_G

JF-Expert Member
Feb 27, 2014
667
1,467
Unaweza ukajiuliza sasa maswali mengi kwanini Jua linashindwa kuifikia sayari hii kwa wingi katika nyakati hizi tulizo nazo na nyakati zilizopita kidogo

Ni wazi ili Mars iweze kuwa habitable tena ni lazima kuwepo na joto kubwa la mithiri ya hapa duniani ili liweze kutoa msaada wa mkubwa kuwezekana kwa ule mchakato wa kubadilisha carbondiozide na kuwa oxygen , si unafahamu kuwa joto kubwa ndilo linachagiza hilo kutokea

Kama kuna carbondioxide kubwa basi inawezekana kuwa mwanzo kulikuwa na uwepo wa oxygen ambayo ni hewa inayotumiwa na viumbe kwa kiasi kikubwa kuwezesha maisha yao kuendelea

i) Umbali baina ya dunia yetu na Mars ni 371.6 Millioni kilomita na kumbuka umbali huu huweza kupungua kutegemeana na uwepo wa ukaribu wa sayari hizi mbili na kupelekea hadi kufika kilomita 62 millioni

ii) Umbali kutoka kwenye Jua hadi Mars ni kilomita 250 millioni

iii) Umbali kutoka duniani hadi kwenye Jua letu ni 150 millioni kilomita

iv) Mwanga husafiri kwa dakika 12 hadi kufika katika sayari ya Mars

Tunafahamu kuwa Mars iliharibiwa kwa kuwa ilipigwa zaidi na Miale mikali ya Jua sasa kwanini kwa sasa miale hiyo imeacha kushambulia sayari hii kwa kasi sana kama zamani na kupelekea kuwapo na hali ya ubaridi sana

Unataka kusema kuwa jua limepunguza uzalishaji wake wa Joto kwamba hapo awali lilikuwa linazalisha joto kali na kubwa zaidi kiasi kufikia katika eneo la sayari hii

Kama pameweza kupatikana Mars katika ncha za kusini na kaskazini basi huenda hata katika maeneo ya katikati mwa sayari hii yalikuwepo na yakaja kukaushwa na uwepo wa Miale mikali ya Jua

Kupata Majibu ya Mars ni kizungumkuti , ila fahamu kuwa katika miaka kichache ijayo Mars itakwenda kuwa eneo la pili kufikiwa na mwanadamu baada ya Mwezi nje ya duniani yetu

Moudyswema
Tanzaniascienceyetu
AstronomyKiswahili
FB_IMG_1675882629832.jpg
 
Unajimu.....

Vipi kuhusu Project za Elon Musk kuhusu kwenda Mars. Kuna lolote mpaka Sasa mkurugenzi?
Yes boss, wapo kweny hatua za mwisho kweny matengenezo ya chombo cha kwenda uko mapema July mwaka huu.
 
Unaweza ukajiuliza sasa maswali mengi kwanini Jua linashindwa kuifikia sayari hii kwa wingi katika nyakati hizi tulizo nazo na nyakati zilizopita kidogo

Ni wazi ili Mars iweze kuwa habitable tena ni lazima kuwepo na joto kubwa la mithiri ya hapa duniani ili liweze kutoa msaada wa mkubwa kuwezekana kwa ule mchakato wa kubadilisha carbondiozide na kuwa oxygen , si unafahamu kuwa joto kubwa ndilo linachagiza hilo kutokea

Kama kuna carbondioxide kubwa basi inawezekana kuwa mwanzo kulikuwa na uwepo wa oxygen ambayo ni hewa inayotumiwa na viumbe kwa kiasi kikubwa kuwezesha maisha yao kuendelea

i) Umbali baina ya dunia yetu na Mars ni 371.6 Millioni kilomita na kumbuka umbali huu huweza kupungua kutegemeana na uwepo wa ukaribu wa sayari hizi mbili na kupelekea hadi kufika kilomita 62 millioni

ii) Umbali kutoka kwenye Jua hadi Mars ni kilomita 250 millioni

iii) Umbali kutoka duniani hadi kwenye Jua letu ni 150 millioni kilomita

iv) Mwanga husafiri kwa dakika 12 hadi kufika katika sayari ya Mars

Tunafahamu kuwa Mars iliharibiwa kwa kuwa ilipigwa zaidi na Miale mikali ya Jua sasa kwanini kwa sasa miale hiyo imeacha kushambulia sayari hii kwa kasi sana kama zamani na kupelekea kuwapo na hali ya ubaridi sana

Unataka kusema kuwa jua limepunguza uzalishaji wake wa Joto kwamba hapo awali lilikuwa linazalisha joto kali na kubwa zaidi kiasi kufikia katika eneo la sayari hii

Kama pameweza kupatikana Mars katika ncha za kusini na kaskazini basi huenda hata katika maeneo ya katikati mwa sayari hii yalikuwepo na yakaja kukaushwa na uwepo wa Miale mikali ya Jua

Kupata Majibu ya Mars ni kizungumkuti , ila fahamu kuwa katika miaka kichache ijayo Mars itakwenda kuwa eneo la pili kufikiwa na mwanadamu baada ya Mwezi nje ya duniani yetu

Moudyswema
Tanzaniascienceyetu
AstronomyKiswahiliView attachment 2510809
Mkuu kwa mtazamo wangu.... Watu hawawezi kuishi mars
 
Unaweza ukajiuliza sasa maswali mengi kwanini Jua linashindwa kuifikia sayari hii kwa wingi katika nyakati hizi tulizo nazo na nyakati zilizopita kidogo

Ni wazi ili Mars iweze kuwa habitable tena ni lazima kuwepo na joto kubwa la mithiri ya hapa duniani ili liweze kutoa msaada wa mkubwa kuwezekana kwa ule mchakato wa kubadilisha carbondiozide na kuwa oxygen , si unafahamu kuwa joto kubwa ndilo linachagiza hilo kutokea

Kama kuna carbondioxide kubwa basi inawezekana kuwa mwanzo kulikuwa na uwepo wa oxygen ambayo ni hewa inayotumiwa na viumbe kwa kiasi kikubwa kuwezesha maisha yao kuendelea

i) Umbali baina ya dunia yetu na Mars ni 371.6 Millioni kilomita na kumbuka umbali huu huweza kupungua kutegemeana na uwepo wa ukaribu wa sayari hizi mbili na kupelekea hadi kufika kilomita 62 millioni

ii) Umbali kutoka kwenye Jua hadi Mars ni kilomita 250 millioni

iii) Umbali kutoka duniani hadi kwenye Jua letu ni 150 millioni kilomita

iv) Mwanga husafiri kwa dakika 12 hadi kufika katika sayari ya Mars

Tunafahamu kuwa Mars iliharibiwa kwa kuwa ilipigwa zaidi na Miale mikali ya Jua sasa kwanini kwa sasa miale hiyo imeacha kushambulia sayari hii kwa kasi sana kama zamani na kupelekea kuwapo na hali ya ubaridi sana

Unataka kusema kuwa jua limepunguza uzalishaji wake wa Joto kwamba hapo awali lilikuwa linazalisha joto kali na kubwa zaidi kiasi kufikia katika eneo la sayari hii

Kama pameweza kupatikana Mars katika ncha za kusini na kaskazini basi huenda hata katika maeneo ya katikati mwa sayari hii yalikuwepo na yakaja kukaushwa na uwepo wa Miale mikali ya Jua

Kupata Majibu ya Mars ni kizungumkuti , ila fahamu kuwa katika miaka kichache ijayo Mars itakwenda kuwa eneo la pili kufikiwa na mwanadamu baada ya Mwezi nje ya duniani yetu

Moudyswema
Tanzaniascienceyetu
AstronomyKiswahiliView attachment 2510809
Hadithi za kusadikika....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom