Badilika. Uzalishe ww uwape tabu wengine. Tubadilike vijana wa mwendokasi. Zaa mtoto umlee mwenyewe,umpatie maadili mema. MabadilikoSalaam wanajukwaaa.
Ijumaaa hiyoooo kwa wale wenzangu na mimi ambao Magufuli hajatuathiri sana tukutane.
Niende kwenye mada moja kwa moja.
Nimekua nikisoma story za watu nimekua nikishudia mwenyewe. Hata wewe unaesoma hapa na mpenzi wa jukwaa hili jaribu kupitia Thread za huku. Nyingi ni kuumizana, usaliti, kuzaa nje ya ndoa, kula mashemeji na mambo chungu nzima ya kuudhi na kuumiza.
Nimetafakari sana nikajiuliza kuna sababu gani mimi KUOA?
Nimekua nikiona rafiki zangu waliooa wakiwacheat wake zao, wadada rafiki zangu wakiwacheat waume zao marafiki zangu ambao hawajaoa wana wapenzi zaidi ya watatu na wanawapanga si mchezo.
Mimi mwenyewe nina wapenzi zaidi ya wawili na hawajuani na nikiwafatilia nao hao wapenzi wangu nao wana wapenzi wengine.
Binafsi nna mtoto nimezaa na mdada mmoja ila sijapanga kumuoa. Kila nikipata wazo la kuoa aisee nikikumbuka mambo ninayosoma na kushuhudia nakufa moyo sitamani kabisa ndoa.
Marafiki zangu karibia wote wameoa, wadogo zangu nao wanataka kuoa ila mimi bado najiuliza naoa kutafuta nini? Si niongeze mtoto mwingine na mwanamke mwingine halafu nilee tu watoto? Kwanini kuleta maumivu ndani ya nyumba?
BADO NAWAZA
mkuu kuishi na kuoa vitu viwili tofauti.Humu duniani kuna kuumwa mara magonjwa mbali mbali, mara kuna ajali zinatokea kila siku, mara kuna kukosa hela sometimes, mara kuna kugombana na watu Saa ingine huna kosa, kuna kusingiziwa kesi Saa zingine polisi, mara kuna kukosa hela yaani tabu tupu!
Kuna marafiki zako wengi wamepitia hayo, wengine kuumwa, wengine kukosa hela, wengine ajali nk
Sasa niambie kuna faida gani wewe kuishi? Kwwnn usighaili kuishi ukajiua zako tu
Mkuu namlea vizuri sana huduma zoote natoa na huwa nakutana nae mara kwa mara na huwa anakuja kwangu na Mama ake, na nampenda sanaBadilika. Uzalishe ww uwape tabu wengine. Tubadilike vijana wa mwendokasi. Zaa mtoto umlee mwenyewe,umpatie maadili mema. Mabadiliko
....
naweza kua Padri lkn kwanini nimdanganye Mungu?kwani si ulizaliwa na wazazi?,coming from happy,and peaceful home...km ni hivi na ww utataka umvishe ring mmojawapo wa wasichana wako,km ndoa ya wazazi ilivunjika au wewe ni mtoto wa nje,sitashangaa ukija na remarks km hizo.........................kuwa padre mkuu...🙄🙄🙄
Sasa kama unaweza kupata maziwa ya nini ufuge ng'ombe.Salaam wanajukwaaa.
Ijumaaa hiyoooo kwa wale wenzangu na mimi ambao Magufuli hajatuathiri sana tukutane.
Niende kwenye mada moja kwa moja.
Nimekua nikisoma story za watu nimekua nikishudia mwenyewe. Hata wewe unaesoma hapa na mpenzi wa jukwaa hili jaribu kupitia Thread za huku. Nyingi ni kuumizana, usaliti, kuzaa nje ya ndoa, kula mashemeji na mambo chungu nzima ya kuudhi na kuumiza.
Nimetafakari sana nikajiuliza kuna sababu gani mimi KUOA?
Nimekua nikiona rafiki zangu waliooa wakiwacheat wake zao, wadada rafiki zangu wakiwacheat waume zao marafiki zangu ambao hawajaoa wana wapenzi zaidi ya watatu na wanawapanga si mchezo.
Mimi mwenyewe nina wapenzi zaidi ya wawili na hawajuani na nikiwafatilia nao hao wapenzi wangu nao wana wapenzi wengine.
Binafsi nna mtoto nimezaa na mdada mmoja ila sijapanga kumuoa. Kila nikipata wazo la kuoa aisee nikikumbuka mambo ninayosoma na kushuhudia nakufa moyo sitamani kabisa ndoa.
Marafiki zangu karibia wote wameoa, wadogo zangu nao wanataka kuoa ila mimi bado najiuliza naoa kutafuta nini? Si niongeze mtoto mwingine na mwanamke mwingine halafu nilee tu watoto? Kwanini kuleta maumivu ndani ya nyumba?
BADO NAWAZA
naweza kua Padri lkn kwanini nimdanganye Mungu?
Kwanza nilijua wewe ni mwanamke maana mwanaume rijali hawezi kuweka avatar ya dada yake.inaonesha una tabia za kike ndo maana huoni umuhimu wa kuoa.hapo ndio pagumu mkuu
Mkuu nitoe katoka mtizamo hasi unilete kwenye chanya, kwanini nioe?
DNA ulienda kupima wapi?Maana isije ikawa hujui hata vipimo vya DNA vinapopatikana.Mkuu ni mmoja na tayari nshapima DNA ni wangu. kwa hilo sina shaka nalo
Mkuu huyu jamaa kaweka picha ya dadake sasa atakosaje kuwa na tabia za kike?we ni KE au ME?