Hivi katika hii mada ulivyo isoma hujajiuliza chochote kuhusu ukweli wa mada husika au umependa stori na picha ?Vijana wa bongu ujuajiMnapinga hata tu. Hata hoja kidogo hamna
Tunaifa la hovyo sana
Mwana kulitafuta,mwana kulipata! Bado Corona walioichokonoa uko China haijatuacha!!waache kujipa kiki hao jamaa!!Dunia italindwa na yule alieitengeneza Dunia ilivyo!!!!Tena wasije wakafanya yao wakidhani wanatengeneza kumbe ndio majanga yakazidi kwa Dunia!!Hekima ya Binadamu ni upumbavu kwake yeye alieitengeneza Dunia!!WATAJUAJE KAMA HILO JIWE NDIO NGUZO YENYE KANI ISABABISHAYO UTULIVU KWA SAYARI ZOTE???
Umeongea point shida yetu hatuko huru kimawazo kwasababu tunatetea vile tulivyoaminishwa kuwa ndivyo vilivyo na tunapinga vile ambavyo vipo nje ya kile tunavyovifahamu au tulivyoaminishwa ni kama tuko programmed naamini ukweli wa kila jambo upo ndani yetu haya ya nje ni kama milunzi mingi usipojitambua itakupoteza.Kuna faida gani katika kuwekeza katika maigizo zaidi ya kujitekenya na kucheka mwenyewe. Maana ya maigizo ni kuongeza au kupunguza katika uhalisia bora uendelee kuwa maskini na nyuma kimaendeleo ila ukaishi katika uhalisia kuliko kuishi katila maigizo na kufurahisha mioyo yao.
Katika Sayansi iliyo feli na iliyo kaa kimaigizo ni Sayansi ya anga,kwayo mtu unakuwa na maswali ambayo hayajibiki wala wanaofanya tafiti za anga hawajahi kufikiria.
Endapo mtu ukiwa ni mwenye tabis ya kufikiri japo kidogo utapata maswali ambayo hayajibiki. Shida ya wengi wanapenda kuona wenye mambo yao washajua ya kuwa watu wanapenda kuona sana kuliko kuhoji,basi wahusika wanawaonyesha tu. Teknolojia imefika mbali sana na watu hawahoji juu ya teknolojia,mtu akifanya animation utajuaje akitengeneza picha utajuaje ila ukiwa mtu wa kuhoji uongo lazima ujitenge.
Ukiijadili hii mada kwa jicho la uhojaji na elimu hutapata uhalisia hata mmoja zaidi ya sanaa tu.
walokole utawajua tuwaache kujipa kiki hao jamaa!!Dunia italindwa na yule alieitengeneza Dunia ilivyo!!!!Tena wasije wakafanya yao wakidhani wanatengeneza kumbe ndio majanga yakazidi kwa Dunia!!Hekima ya Binadamu ni upumbavu kwake yeye alieitengeneza Dunia!!WATAJUAJE KAMA HILO JIWE NDIO NGUZO YENYE KANI ISABABISHAYO UTULIVU KWA SAYARI ZOTE???
Hii dunia yenyewe NI kamchanga kadogo sana.Umewahi kuyaona hayo matofali au umejuaje kama yapo ?
Tunawasiwasi na matokeo ya hizo tafiti zenu za ki sayansi, maana lolote lile linawezekana,unaweza pata matokeo chanya au matokeo hasi! Na hiyo ndiyo maana ya tafiti unajaribu kitu usichokijua matokeo yake yatakuwaje!!Ukisoma comments za humu na ukaambiwa Hawa ni watu wazima wenye makende yaliyokomaa unaweza ukachoka Aisee,
Hivi wabongo aliyewafundisha ujuaji ni nani?
Watu wapo field wanapiga kazi watu Kama nyie kutoka huko Nanjilinji na namtumbo mmeshika simu za android kupinga project za wanaume wa kazi et AAA uongo,chai,haiwezekani,
bla bla za Mungu wenu sijui kufuru,wanamjaribu Mungu,Mungu Ndie atakaye tulinda,huo ni mpango wa ibilisi sijui hawatafanikiwa!
Daaaaaaa inasikitisha Sana!
Maujinga tu yapo vichwani mwenu Tena wengine ni members ambao hua naona angalau kidogo akili zenu zinachaji kumbe likija swala la kisayansi lakugusa dini zenu mnajulikana Kwa ujuha wenu
Shwain!
Elimu! Elimu!Elimu!
Nilisoma Geography,weww baada ya kusoma Gepgraphy ulihakikisha vipi hicho ulichosoma ?Hii dunia yenyewe NI kamchanga kadogo sana.
Haukusoma geography?
kama baba yako alikuwa anakulipia ada alikula hasara.bora angenunua ng'ombeNilisoma Geography,weww baada ya kusoma Gepgraphy ulihakikisha vipi hicho ulichosoma ?
Umeandika kwa kutumia maarifa yepi? Dini? Uraia? Uchumi? Au uwezo wako tu wa kufikiri? Kz kifuatacho utaanza kusema hata zile satellites wanazituma Mars siyo kweli.. Nijuavyo hii project ya kujifunza ku-diverge miamba mikubwa imeanza miaka mingi--- sasahivi wapo kwa testing the implementation..waache kujipa kiki hao jamaa!!Dunia italindwa na yule alieitengeneza Dunia ilivyo!!!!Tena wasije wakafanya yao wakidhani wanatengeneza kumbe ndio majanga yakazidi kwa Dunia!!Hekima ya Binadamu ni upumbavu kwake yeye alieitengeneza Dunia!!WATAJUAJE KAMA HILO JIWE NDIO NGUZO YENYE KANI ISABABISHAYO UTULIVU KWA SAYARI ZOTE???
Nimekukubali mzee.. Ukweli ni kwamba watu wapo serious na haya maisha, na hii dunia yetu.Title yako imekaa kishabiki shabiki na kiumbea umbea mno. Unnecessary sensationalism!
Wanasayansi wanaamini kuwa huko nyuma dunia ilishawahi kugongwa na mawe haya makubwa (asteroids) na wana ushahidi huo. Jiwe la mwisho ni hili lililoua viumbe wengi duniani na kuondoa ufalme wa akina dinosaurs; na wanyama wengine lukuki.
Mawe haya yanasafiri kwa kasi ya ajabu na yanapopiga uso wa dunia yanavuvumua vumbi na uchafu mwingi ambao unaweza kubakia angani kwa miaka mingi. Vumbi na uchafu huu huenea dunia nzima na kuziba miali ya jua kabisa kabisa mpaka dunia inaingia katika kile wanachokiita deep freeze. Ina maana dunia inaganda kabisa na kutandwa na barafu kwa vile hakuna mwanga wa jua kwa muda mrefu. Na bila mwanga wa jua ina maana hakuna photosynthesis wala nishati ya aina yo yote. Matokeo yake ni vifo vya jumla kwa viumbe wengi.
Yapo mawe yanayoonyesha kuwa yatakuja kuipiga dunia huko mbele ya safari na NASA wana kitengo maalum kinachoshughulika na tatizo hili na mpaka sasa kuna nadharia tatu zilizopendekezwa kuweza kujiponya siku ikigundulika kuwa kuna jiwe linatujia huko:
1. Kurusha chombo chenye uzito na nishati maalum na kwenda kuligonga hilo jiwe huko angani likiwa mbali na dunia. Lengo hapa siyo kulisambaratisha bali ni kujaribu kulisukuma kidogo (nudge) ili liweze kuacha njia yake ya mzunguko (orbit) na hivyo kuliepusha kugongana na dunia.
2. Kurusha rocket yenye nguvu iliyobeba bomu kubwa la nyuklia na kwenda kulitandika hilo jiwe na kulisambaratisha. Hii hata hivyo inaweza tu kuishia kulimega hilo jiwe katika vipande vingi ambavyo vinaweza kuleta hatari zaidi duniani. Na kukitokea mushkeli wakati wa kurusha hiyo rocket hilo bomu linaweza kuturipukia hapa hapa duniani na kuleta madhara makubwa.
Ili kuepuka kulimega vipande vipande lipo pendekezo la kwenda kulipua bomu hilo karibu na jiwe hilo. Ile nguvu ya mripuko (boom) inaweza kutosha kulisukuma kidogo likiwa zima na kuliondoa katika orbit yake.
3. Kurusha chombo chenye monzi mikali ya laser na kwenda kujaribu kulimulika jiwe hilo na mionzi hiyo. Mawe haya mengi yana barafu iliyoganda na likipigwa na mionzi mikali kwa muda barafu inaweza kuyeyuka na hivyo kupunguza uzito wake na hii, wanadai, inaweza kusababisha liondoke kwenye orbit yake inayolifanya ligongane na dunia.
Hata bila kuyeyusha barafu yake, mionzi hii ya laser inaweza kufanya kazi sawa na utando wa buibui na hivyo kulisogeza jiwe hilo polepole nje ya orbit yake na hivyo kuepusha mgongano wake na dunia.
NASA leo wamerusha chombo kujaribu nadharia ya kwanza kama inafanya kazi kwa sababu dunia kupigwa na asteroid nyingine ni suala la muda tu. Elon Musk anarusha maroketi haya kila leo hatusikii cho chote lakini leo umeshusha ushabiki wa kufa mtu eti anga lilibadilika. Lilibadilika wapi? Labda kama ulikwenda kushuhudia wakati roketi hilo likirushwa huko California. Ni wazi hii habari hukuiandika mwenyewe na umefanya plagiarism mahali fulani (BBC Swahili) na sina uhakika kama una ufahamu wa kutosha na habari yenyewe pamoja na implications za kiujumla za kinachozungumziwa.
Wakati tunahangaika na tozo, ufisadi wa kutisha, kutengeneza madawati, kujenga nyumba za walimu, kujenga vyoo vya shimo vya kutosha mashuleni, ushirikina, ukosefu wa umeme na maji, siasa za hovyo za kuoneana hizi, wenzetu huko hawalali wanahangaika na mambo kama haya mazito. Tuombe wafanikiwe kwa sababu siku moja pengine wataweza kuokoa maisha ya viumbe hapa duniani. Hata wakishindwa wao pia wanahangaika kutafuta makazi katika sayari zingine huko wanaweza wakaondoka zao na kutuacha hapa siku mambo yakibumburuka!
Hahahahaha......na tozo!Waliache litugonge tunaweza kuangukia upande wa pili wa Dunia mambo yakawa safi, Maji, umeme na vitu vingine vikapatikana kwa urahsi
Lini ulishalipishwa pesa!? Tuna pesa za kuwalipa NASA kweli!!?? Wakati mwingine ni vema tukawa wasomaji na watazamaji tu.Hili ni dili la kuchota matrillion kwa kutishiana vitu ambavyo havipo, hapa nchi zote tutachangishwa pesa kwa madai wanarusha makombora ya kulipiga hilo jiwe, kumbe wanarusha sattelite zao tu, na mchango tunalipishwa
Pingeni kwa hoja siyo kubishabisha ovyo.unataka tukubaliane na kila kitu tumekuwa mambulula sio??
Wabongo sisi kwa kuwa hakuna tunachokijua,basi tumebaki kupinga tu.wenzetu wako busy kuilinda dunia.Umeandika kwa kutumia maarifa yepi? Dini? Uraia? Uchumi? Au uwezo wako tu wa kufikiri? Kz kifuatacho utaanza kusema hata zile satellites wanazituma Mars siyo kweli.. Nijuavyo hii project ya kujifunza ku-diverge miamba mikubwa imeanza miaka mingi--- sasahivi wapo kwa testing the implementation..
Na siku nilipojua kuwa ndugu wanamonitor kila asteroid angani kupitia deep space network zao za Spain, Australia na Carlifornia, na wanapeana shifts kama intern Doctor hospitalini, siku ile ndo nikajifuta macho na kujiuliza what role am i playing hapa duniani?
Acha sisi tuendelee kubeza ila ukweli ni kwamba people are very serious!