dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,580
- 16,193
Nimetumiwa ujmbe kwa njia ya Whatsapp kwa namba zinazo anzia na +62 ambazo hata sijui Ni za nchi gani na kunieleza kuwa yey Ni HR manager na anataka kunipa ajira ya kuweza kuingiza kias Cha shilingi laki moja had laki 5 kwa kufanya Kaz atakazo nipangia yeye
Je huu si utapeli
Je Kuna Rai ambae amewai fanya Kaz na huyu agent au Ni tapeli la kimataifa
Naweka screen shot alizonitumia
Je huu si utapeli
Je Kuna Rai ambae amewai fanya Kaz na huyu agent au Ni tapeli la kimataifa
Naweka screen shot alizonitumia