Tetesi: Kuna nyufa zimeanza katika idara hii nyeti ya serikali?

Tetesi: Kuna nyufa zimeanza katika idara hii nyeti ya serikali?

Mapinduzi ya Zanzibar yalifanyika dhidi ya Waarabu, na wakachinjwa na kukimbilia Oman na Uarabuni huko, wakiapa siku moja watalipiza kisasi. Sasa ni suala la kujiuliza kwa mtu yeyote mwenye akili; katika mapinduzi ya Zanzibar, unafikiri Samia angesimamia upande gani?

Ukijibu swali hilo utaelewa kila kitu kinachoendelea sasa hivi
Sasa wanalipa Kwa wasio husika, kwanini wasiwatafute wahusika wakalipe huko ili na wao waumie?
 
Mapinduzi ya Zanzibar yalifanyika dhidi ya Waarabu, na wakachinjwa na kukimbilia Oman na Uarabuni huko, wakiapa siku moja watalipiza kisasi. Sasa ni suala la kujiuliza kwa mtu yeyote mwenye akili; katika mapinduzi ya Zanzibar, unafikiri Samia angesimamia upande gani?

Ukijibu swali hilo utaelewa kila kitu kinachoendelea sasa hivi
Kwa sasa tupo pabaya zaidi kuna Raia feki wabara na raia feki wazanzibari na kuna wazanzibari ...wote hao wanashirikiana kufanya STATE CAPTURE ...Msoga gangi ni kikundi cha waislamu wanaotumika tu kama toilet paper kwa hayo makundi makuu 3
 
Kwa sasa tupo pabaya zaidi kuna Raia feki wabara na raia feki wazanzibari na kuna wazanzibari ...wote hao wanashirikiana kufanya STATE CAPTURE ...Msoga gangi ni kikundi cha waislamu wanaotumika tu kama toilet paper kwa hayo makundi makuu 3
Mmmm
 
Yaaani Kachina ndani ya wodi ya muhimbili kabisa yaaani? Au apo aliletwa na majeraha.
? Na kwanini hakuna media yeyote iliyotangaza tukio hilo eeenhh
 
Sasa wanalipa Kwa wasio husika, kwanini wasiwatafute wahusika wakalipe huko ili na wao waumie?
Bila Tanganyika Mapinduzi ya Zanzibar yangepinduliwa na manowari za kijeshi zilizokuwa zinatoka Oman kuja Zanzibar kufanya counter revolution. Ndipo Zanzibar haraka haraka wakaomba ufanyike Muungano kati ya Zanzibar na Tanganyika ili kufanya nchi ya Tanzania. Kwa msingi huo, manowari za kijeshi kuivamia Zanzibar ingekuwa ni kuivamia Tanzania. Ikabidi zigeuze kurudi Oman.

Watu wengi sana hawaelewi kwa nini muungano ulifanywa haraka sana miezi kama miwili tu baada ya mapinduzi, bila kuwa na majadiliano ya makubaliano ya muda mrefu. Ilibidi Karume amkubalie tu Nyerere, tena yeyey lipendekeza Zanzibar iwe mkoa wa Tanzania, Nyerere raisi yeye makamu wa raisi.
 
View attachment 3392578

Hapa kuna mtu anaaga mke na watoto anasema naenda kazini, na jioni anarudi nyumbani yuko sawa tu, na Ijumaa au Jumapili anaenda msikitini au kanisani!
Kwa nini tukio kama hili linatokea na haliandikwi kwa undani? Yaani hata huyu mwenyewe aliyetendewa hivi anaandika kama ni mtu amempiga na yai bovu. Kusema kweli sijaelewa kabisa hili tukio. Eti ''wasiojulikana mliniumiza sana wazee....'' Yaani injinia mzima anashindwa kuandika kwa usahihi kilichotokea? Anyway simlaumu sana huenda alichanganyikiwa.
 
Mapinduzi ya Zanzibar yalifanyika dhidi ya Waarabu, na wakachinjwa na kukimbilia Oman na Uarabuni huko, wakiapa siku moja watalipiza kisasi. Sasa ni suala la kujiuliza kwa mtu yeyote mwenye akili; katika mapinduzi ya Zanzibar, unafikiri Samia angesimamia upande gani?

Ukijibu swali hilo utaelewa kila kitu kinachoendelea sasa hivi
Mimi nitashangaa sana watu wachache kama walivyo wazenji (tena siyo wote) kuweza kutufanyia unyama wote huu tena kwenye uwanja wetu wa nyumbani. Huku bara hakuna watu wenye akili?
 
Mimi nitashangaa sana watu wachache kama walivyo wazenji (tena siyo wote) kuweza kutufanyia unyama wote huu tena kwenye uwanja wetu wa nyumbani. Huku bara hakuna watu wenye akili?
Mkuu, ndani ya hii taasisi watu wapo kwa kulinda ugali na usalama wao badala ya maslahi ya wengine. Huko ndani hakuna kabisa kuaminiana. Kupotezana kupo hata huko ndani!
 
Mkuu, ndani ya hii taasisi watu wapo kwa kulinda ugali na usalama wao badala ya maslahi ya wengine. Huko ndani hakuna kabisa kuaminiana. Kupotezana kupo hata huko ndani!
Nakubaliana na wewe. Na ndiyo maana wakoloni na waarabu walipata urahisi mkubwa wa kututawala. Mwafrika hasa mtanzania kumsaliti ndugu yake kwa sababu tu ulaji ni rahisi sana.
 
Bila Tanganyika Mapinduzi ya Zanzibar yangepinduliwa na manowari za kijeshi zilizokuwa zinatoka Oman kuja Zanzibar kufanya counter revolution. Ndipo Zanzibar haraka haraka wakaomba ufanyike Muungano kati ya Zanzibar na Tanganyika ili kufanya nchi ya Tanzania. Kwa msingi huo, manowari za kijeshi kuivamia Zanzibar ingekuwa ni kuivamia Tanzania. Ikabidi zigeuze kurudi Oman.

Watu wengi sana hawaelewi kwa nini muungano ulifanywa haraka sana miezi kama miwili tu baada ya mapinduzi, bila kuwa na majadiliano ya makubaliano ya muda mrefu. Ilibidi Karume amkubalie tu Nyerere, tena yeyey lipendekeza Zanzibar iwe mkoa wa Tanzania, Nyerere raisi yeye makamu wa raisi.
Mzee naye hakuwa na wasomi wakimsaidia hata paper lakusaini Kwa muda mfupi hata miaka 2-5 yeye akakubali mpaka daima!!!! 🙄🙄🙄
 
Tetesi za ndani zinaonyesha misemo ya chini chini kuhusu idara hii nyeti ya serikali, hasa baada ya jaribio la kumuua kwa kumchinja engineer mmoja aliekuwa amelazwa Hospitali ya Muhimbili kutofanikiwa.

Mtazamo uliopo ni kwamba matukio mengi ya ukatili wa kupita kiasi yanayofanywa na Wasiojulikana yanaonekana kufanywa na watu wanaotoka upande wa pili wa nchi wa uongozi wa nchi, hali ambayo inaonekana kama kunakuwa na element za chuki binafsi dhidi ya wahanga wanaotoka upande mwingine wa nchi.

Na minong'ono inaendelea kuwa mara nyingine wafanyakazi wa idara hii nyeti ya serikali wanaotoka upande wa pili wa nchi ni kama wanaji-organize na kufanya kazi kivyao bila maagizo ya kiofisi, kama vile kujichukulia hatua wao wenyewe kwa kulinda maslahi ya mtu wa juu wanaemuona kuwa mtu wao.

Kuna ishara kwamba baadhi ya wafanyakazi wa idara hii nyeti wanaotoka upande mwingine wa nchi wameanza kuonyesha dalili za kutokubaliana na mambo yanayofanywa na wale wanaotoka upande mwingine wa nchi, na kuona kuwa wanapita kiasi katika yale wanayoona ni majukumu yao ya kazi. Kuna minong'ono kati ya baadhi yao kwamba wanaofanyiwa hivi ni wenzetu!

Kuna mmoja wao amekumbusha kwamba mpasuko wa namna hii ulikuwapo pia wakati wa awamu ya pili, na kukumbusha kwamba watu wa upande wa pili walihusika pia katika kumchinja injinia mwingine pale UDSM wakati wa mgomo uliopelekea UDSM kufungwa kwa mwaka mzima. Kauli ya "hawa jamaa kuchinja mtu ni kawaida yao na wanaona ni jambo dogo tu" ilisikika.

Inaonekana mambo yote haya ni sehemu ya jedwali kubwa ambalo limetia ndani baadhi ya wanene wa serikali kuamua kujitoa kwenye unene wao kutokana na mambo ambayo yamekuwa yakiendelea nchini, ikiwa ni namna ya wonyesho kwamba hawakubaliani na wanayofanyiwa watu wa upande wa pili wa nchi na staili ya uongozi wa nchi kwa ujumla.

View attachment 3392545

Ona pia: Kwanini siku hizi Idara ya Usalama wa Taifa ya Kisiwa maarufu cha 'Puerto Rico' Watendaji wake WANACHUKIANA mno na kuna MPASUKO mkubwa sana?
Asante mkuu.....
...angalau kwa uchache.......
 
Kwa sasa tupo pabaya zaidi kuna Raia feki wabara na raia feki wazanzibari na kuna wazanzibari ...wote hao wanashirikiana kufanya STATE CAPTURE ...Msoga gangi ni kikundi cha waislamu wanaotumika tu kama toilet paper kwa hayo makundi makuu 3
Wewe ni mwehu....
 
Tetesi za ndani zinaonyesha misemo ya chini chini kuhusu idara hii nyeti ya serikali, hasa baada ya jaribio la kumuua kwa kumchinja engineer mmoja aliekuwa amelazwa Hospitali ya Muhimbili kutofanikiwa.

Mtazamo uliopo ni kwamba matukio mengi ya ukatili wa kupita kiasi yanayofanywa na Wasiojulikana yanaonekana kufanywa na watu wanaotoka upande wa pili wa nchi wa uongozi wa nchi, hali ambayo inaonekana kama kunakuwa na element za chuki binafsi dhidi ya wahanga wanaotoka upande mwingine wa nchi.

Na minong'ono inaendelea kuwa mara nyingine wafanyakazi wa idara hii nyeti ya serikali wanaotoka upande wa pili wa nchi ni kama wanaji-organize na kufanya kazi kivyao bila maagizo ya kiofisi, kama vile kujichukulia hatua wao wenyewe kwa kulinda maslahi ya mtu wa juu wanaemuona kuwa mtu wao.

Kuna ishara kwamba baadhi ya wafanyakazi wa idara hii nyeti wanaotoka upande mwingine wa nchi wameanza kuonyesha dalili za kutokubaliana na mambo yanayofanywa na wale wanaotoka upande mwingine wa nchi, na kuona kuwa wanapita kiasi katika yale wanayoona ni majukumu yao ya kazi. Kuna minong'ono kati ya baadhi yao kwamba wanaofanyiwa hivi ni wenzetu!

Kuna mmoja wao amekumbusha kwamba mpasuko wa namna hii ulikuwapo pia wakati wa awamu ya pili, na kukumbusha kwamba watu wa upande wa pili walihusika pia katika kumchinja injinia mwingine pale UDSM wakati wa mgomo uliopelekea UDSM kufungwa kwa mwaka mzima. Kauli ya "hawa jamaa kuchinja mtu ni kawaida yao na wanaona ni jambo dogo tu" ilisikika.

Inaonekana mambo yote haya ni sehemu ya jedwali kubwa ambalo limetia ndani baadhi ya wanene wa serikali kuamua kujitoa kwenye unene wao kutokana na mambo ambayo yamekuwa yakiendelea nchini, ikiwa ni namna ya wonyesho kwamba hawakubaliani na wanayofanyiwa watu wa upande wa pili wa nchi na staili ya uongozi wa nchi kwa ujumla.

View attachment 3392545

Ona pia: Kwanini siku hizi Idara ya Usalama wa Taifa ya Kisiwa maarufu cha 'Puerto Rico' Watendaji wake WANACHUKIANA mno na kuna MPASUKO mkubwa sana?

Wanafiki tu
 
Back
Top Bottom