Kuna nini kwenye Sayari ya Venus?

Kuna nini kwenye Sayari ya Venus?

sayansi hiyo hiyo mpaka leo haijaweza kujibu maswali mengi ambayo dini ishayajibu.mfano roho ni nini na inaachaje mwili anapokufa mtu...soo usidharau dini ndugu.mengi wanayovumbua siku hizi yalishaongelewa katika dini karne hizo...hata flat earth iko katika dini pia.soo usichulie hii ishu kuwa ya kiafrika no.hii ni global issue.dunia nzima wanaumiza vichwa kujuza watu vitu vingi walivyofichwa kuvijua..
Kwanza hakuna kitu roho pili we umesema vitu vya kisayansi vilishaongelewa vyote katika vitabu vya Dini nasema si kweli kwa sababu vitabu vya Dini vimeiongelea Dunia na vitu vyake lakini haukuziona sayari zingine

Kwa mfano vitabu vinasema mungu ataiteketeza Dunia na vitu vilivyomo ndani Yake lakini haikuongelea sayari zingine

Sasa mwaka 2020 watu watahamia mars kwa nauli ya $200000 mbona vitabu vitakatifu havijaliona hilo?
Huoni unadanganya watu!! Je mungu atakapokuja kuiteketeza Dunia watakaokua mars si watasalimika au!!
 
jua siyo kubwa kama tunaambiwa na nasa.na haliko mbali kama wasemavyo.dunia ni kubwa sana kuliko jua.hivyo jua likiwa upande mwingine katika mizunguko yake huwa linakosa nguvu ya kuangaza kona zote za dunia kwa pamoja ndio maana usiku na mchana hutokea
Kama jua linaizunguka Dunia basi sayari zingine zingekuwa Giza miaka yote
 
Kwanza hakuna kitu roho pili we umesema vitu vya kisayansi vilishaongelewa vyote katika vitabu vya Dini nasema si kweli kwa sababu vitabu vya Dini vimeiongelea Dunia na vitu vyake lakini haukuziona sayari zingine

Kwa mfano vitabu vinasema mungu ataiteketeza Dunia na vitu vilivyomo ndani Yake lakini haikuongelea sayari zingine

Sasa mwaka 2020 watu watahamia mars kwa nauli ya $200000 mbona vitabu vitakatifu havijaliona hilo?
Huoni unadanganya watu!! Je mungu atakapokuja kuiteketeza Dunia watakaokua mars si watasalimika au!!
watakiwa ujue kuwa dunia iliyoongelewa ni pamoja na vilivyo mbinguni kama nyota na vingne vyote vitafutika kabisa siku ya mwisho pale ambapo shetani na majini wengine wakongwe kama yeye watakapokufa wafuate na malaika.yaani atabakia MUNGU PEKEE..hapo ndio atajinadi..WAKWAPI WALIORINGA NA KULETA KIBURI KATIKA DUNIA YANGU??. Pamoja na mengi atakayojifaharisha nayo MUUMBAJI.baadae ndio atamfufua malaika wa parapanda la ufufuo kwa wote.
chengine katika uislamu suala la dunia zingne limetajwa kwa watakaofuzu kuingia peponi.wameahidiwa mashamba makubwa katika dunia tofauti tofauti..ila kwa sasa hapa duniani kutoka nje yadunia hii ni ndoto na danganya toto za nasa.hawana uwezo huo.wanajivunia vitu wasivyoviweza.hapo mwezini penyewe paliwashinda.itakua mars..???.very funny...bro tuko locked ndani ya dunia.rocket haiwezi pasua dari lililopo juu kabisa katika anga huko...inabid uelewe hilo mapema.
kama wana uwezo wa kwenda sayari nyingne ni kwa nini wanaunda ma bunker makubwa ya kujificha ikitokea vita ya nuclear??. si wangeondoka duniani warud vita ikiisha??..shtuka mkuu
 
there is nothing like mars.nasa wanasaka attention tuu...apo kwenye mwezi tuu hawakufika walitudanganya.story za mars watazipata wapi ...dunia ni tambarare.for more info enter you tube search moon landing hoax.au flat earth proofs
unawakataa halafu unaleta reference za hao hao unaowakataa
 
Kama jua linaizunguka Dunia basi sayari zingine zingekuwa Giza miaka yote
suala la kuwepo sayari zingne sikatai but jinsi nasa wanavyotaka tuamini siyo kweli.eti jua ni moja tuu katika solar system.mbona wanakiri kuna dunia zina mwezi/miezi zaid ya mmoja inayon'gaa angani.sa hapo huwezi kujiuliza ni kwa nn kila sayari iwe na jua lake angalau ata moja moja kila sayari??. wadadisi wa haya mambo wamekuja na idea mpya ya kusadikika kuwa jua ni kati ya nyota zilizokaribu na dunia
 

Attachments

  • images-3-2.jpeg
    images-3-2.jpeg
    14.1 KB · Views: 68
  • images-1-3.jpeg
    images-1-3.jpeg
    23.6 KB · Views: 70
Ni simple sana ni kuwa kwenye core ya jua (sehemu ya ndani kabisa) kunakuwa kuna aina mbili za elements ambazo zipo kwenye mfumo gesi nazo ni helium na hydrogen sasa kinachotokea hapa ni zinaungana (nuclear fussion) kisha baada ya muunganiko huo huwa zinatoa nguvu joto kubwa mno na hii ndio huitwa plasma na huwa zinazungukana kwa spidi kubwa mno hivyo kusababisha umbo duara na hii ndiyo maana jua huonekana kama duara linalotoa mwanga mwanga huo hutokana na reaction nilizotaja hapo juu

Hivi hamna namna hiyo reaction inaweza ikaisha siku moja na kukabaki giza ?
 
shilingi daima huwa na pande mbili..ukweli ni kuwa dunia duara ilianzishwa na kanisa katoliki enzi hizoo..me nakushauri uende ukafanye uchunguzi wa upande wa pili wanaopinga dunia mduara alaf ndio ulinganishe pande zote mbili kujua ni upande upi uko na ukweli zaid..we jiulize kwa nini antarctica imezuiliwa kutembelewa na watu??. kwanini russia waliachana na story za kuenda mwezini wakati ilikua ni kati ya miradi yao mikubwa enzi hizo???...fuatilia na flight routes za ndege katika flat earth na globe earth.itakupa picha zaid
Hii ya Russia ilikua ni cold war waliacha baada ya mashindano na mahasimu wao kukoma.
 
sayansi hiyo hiyo mpaka leo haijaweza kujibu maswali mengi ambayo dini ishayajibu.mfano roho ni nini na inaachaje mwili anapokufa mtu...soo usidharau dini ndugu.mengi wanayovumbua siku hizi yalishaongelewa katika dini karne hizo...hata flat earth iko katika dini pia.soo usichulie hii ishu kuwa ya kiafrika no.hii ni global issue.dunia nzima wanaumiza vichwa kujuza watu vitu vingi walivyofichwa kuvijua..
Kwani dini inasemaje kuhusu roho kuachana na mwili ?
 
hahah.kitu hata kwenye dini hakuna usikiamini mia mia mkuu.labda kama huna imani.tunavyojua kuna majini ,malaika na binadamu tuu.MWENYEZI MUNGU asingetunyima ujuzi huu tokea enzi hizo koz kama wapo kweli tungekuja kuwaona na tungeshuku uwezo wa MUUMBAJI katika kuufahamu ulimwengu.soo usidanganywe na viumbe wa MUUMBAJI koz yeye MUNGU ndio ana ukweli woote
Sasa hapa unatuchanganyia mafile
Hapa tunajadili mada kwa misingi ya kisayansi wewe unajadili kwa misingi ya dini.
Siyo wote wanaamini katika unachokiamini wewe.
 
there is nothing like mars.nasa wanasaka attention tuu...apo kwenye mwezi tuu hawakufika walitudanganya.story za mars watazipata wapi ...dunia ni tambarare.for more info enter you tube search moon landing hoax.au flat earth proofs
Mkuu na ujuaji wako wooote unatudirect youtube ambapo hata mtoto anaweza tuma video?

Pole sana kama wadhani mwezini watu hawakufika. Tulipo sasa watu washacheza na mfumo wa Jua letu na wamechoka attention imehama nje ya mfumo wa jua ambapo kuna sayari nyingine zaidi ya billion. Mkuu watu wapo mbali achana na habari za youtube think very big.
 
Fact za kijiolojia
Sasa huko you tube unakokusema, ndiko kuliko na watu waliotembelea anga na kuona hakuna Mars? Au kuhusu flat Earth, wameizungukia dunia nzima wakaona iko flat? Nitaamini vipi kuwa wanachokisema ndicho cha kweli na kilichosemwa na watu tofauti ni uongo?
Hi concept ya flat Earth ndio hoax ya karne. Evidence isiyohitaji digrii ya chuo kikuu ya kwamba dunia ni mviringo ya kwanza ni upande mmoja wa dunia ikiwa usiku upande wa pili mchana. AU hata wewe ni hoax
 
Fact za kijiolojia

1. Umbile la ndani la Venus ni kama la dunia kwa hiyo ina Brittle layer inayoitwa SILICATE CRUST kama ya Earth crust, ROCKY MANTLE ni lazima iwepo na METALLIC CORE
2. Pia inakisiwa kuwa miaka ya mwanzoni (kati ya bilioni 3 na miaka milioni 600 iliyopita) wa kuwepo kwa uhai duniani, anga la Venus ilikuwa ni kama la dunia kabla haijachafukwa na hewa ya ukaa kama ilivyo sasa. Na kwa hiyo inakisiwa kuwa kulikuiwa na uhai mdogo kwenye baadhi ya maeneo hapo zamani.
 
Mkuu na ujuaji wako wooote unatudirect youtube ambapo hata mtoto anaweza tuma video?

Pole sana kama wadhani mwezini watu hawakufika. Tulipo sasa watu washacheza na mfumo wa Jua letu na wamechoka attention imehama nje ya mfumo wa jua ambapo kuna sayari nyingine zaidi ya billion. Mkuu watu wapo mbali achana na habari za youtube think very big.
kama waamini walienda mwezini sawa mkuu.ila watch out sana.me nliwaagiza kule siyo mkaangalie cartoon youtube.kule kuna vitu adimu hata google hawana.soo kama unadharau hiyo social media sijui wapi waeza elimikia elimu tulizofichwa dunian...
 
unawakataa halafu unaleta reference za hao hao unaowakataa
hizo reference hapo juu nlizotoa ni za kuipinga nasa .sasa utasemaje nimetumia reference zao.labda nzitumie kukueleza walipotudanganya...nasa wana vitu vya uweli vingne lakini vingne n vya uongo mkubwa
 
hv kunachombo chochote kilishawahi kutumwa kwenye jua kuchunguza au kukaribia maana swali hili tulishawahi kujiuliza miaka ming na kukosa majibu yaani chanzo cha jua kuwa na joto kali ni nini napia tumeshazoea kuona kitu chenye joto mfano chuma ukikichoma moto kinakuwa chekundu lakini kwenye jua unatoka mwanga mweupe na si mwekundu ni mahesabu gani yametumika hadi hali ikawahiv mwenye utaalamu anisaidie
Mission ya kutuma chombo ktk jua inaanza xaiz...wapo kubuni chpmbo kitaweza kuomil joto LA jua ....hicho chombo kitakuwa umbali wa km 4 kutoka jua ..uku kikifanya uchunguzi ktk jua
 
Back
Top Bottom