Kuna nini kwenye Sayari ya Venus?

Kuna nini kwenye Sayari ya Venus?

Mkuu hii red planet ina joto Kali sana uwezekano wa kuwapo viumbe hai 0.0001% maana hakuna chochote kiumbe cha duniani kinachoweza kustahimili hali ya hewa ya huko.
Na kama kungekuwepo uhai na ni Sayari iliyopo karibu yetu basi ni dhahiri tungeshapata kufahamu ukweli na kama viumbe hao wameendelea kiteknoroji tungeshawaona ktk anga yetu ambayo tupo karibu sana
Umeshawahi kusikia habari za viumbe wa ajabu waliotua Russia niaka ya zamani baada ya chombo walichokuwa wakitumia kupata hitilafu? Vipi kuhusu wale wa Bermuda nchini Marekani?

Nakiuliza hawa allies asili yao wapi?

Katika post yangu ya mwanzo mwisho nimemalizia kwa kusema.....Maelezo ya Astronauts wengi,huwa naamini 60% tu.
 
hv kunachombo chochote kilishawahi kutumwa kwenye jua kuchunguza au kukaribia maana swali hili tulishawahi kujiuliza miaka ming na kukosa majibu yaani chanzo cha jua kuwa na joto kali ni nini napia tumeshazoea kuona kitu chenye joto mfano chuma ukikichoma moto kinakuwa chekundu lakini kwenye jua unatoka mwanga mweupe na si mwekundu ni mahesabu gani yametumika hadi hali ikawahiv mwenye utaalamu anisaidie
Nitaelezea kwa kadri nitakavyoweza.

Jua hutoa joto kali kulingana na fussion ya Hydrogen kutengeneza Helium. 4H->He +Energy. Nguvu inayozalishwa kwa kuunganisha atoms 4 za hydrogen kwa mara moja ni zaidi ya 623billion Joules. Hii inaweza kulifanya jua kutoa joto kwa miaka mingi zaidi.
Lakini pia jua hutoa mwanga,hii ni kutokana na sifa ya kuwa Luminous(luminosity).

Kuhusu mwanga kuwa mweupe umetaja ulitegemea kuwa mwekundu kama ikivyo kwa vitu vingine vinavyiungua.

Mwanga umetawaliwa na miale aina 7 yote ikiwa na nguvu tofauti.ie.Frequency na Wavelength.
Wakati wa asubuhi,jua hutupa miale yake kutoka mbali zaidi(far horizon),hii huifanya miale hiyo kupita matabaka mbalimbali katika anga. Hali hiyo hufanya miale kuwa refracted,kutokana na kuwa na Wavelength tifauti....only red rays of light that have the shortest wavelengths pass unrefracted/undeflected reaches the earth.
Ndiyo maana jua huonekana jekundu zaidi asubuhi na jioni.

Mchana jua huonekana na rangi ya kawaida kutokana na kuwa karibu na muda mwingine.
 
Nitaelezea kwa kadri nitakavyoweza.

Jua hutoa joto kali kulingana na fussion ya Hydrogen kutengeneza Helium. 4H->He +Energy. Nguvu inayozalishwa kwa kuunganisha atoms 4 za hydrogen kwa mara moja ni zaidi ya 623billion Joules. Hii inaweza kulifanya jua kutoa joto kwa miaka mingi zaidi.
Lakini pia jua hutoa mwanga,hii ni kutokana na sifa ya kuwa Luminous(luminosity).

Kuhusu mwanga kuwa mweupe umetaja ulitegemea kuwa mwekundu kama ikivyo kwa vitu vingine vinavyiungua.

Mwanga umetawaliwa na miale aina 7 yote ikiwa na nguvu tofauti.ie.Frequency na Wavelength.
Wakati wa asubuhi,jua hutupa miale yake kutoka mbali zaidi(far horizon),hii huifanya miale hiyo kupita matabaka mbalimbali katika anga. Hali hiyo hufanya miale kuwa refracted,kutokana na kuwa na Wavelength tifauti....only red rays of light that have the shortest wavelengths pass unrefracted/undeflected reaches the earth.
Ndiyo maana jua huonekana jekundu zaidi asubuhi na jioni.

Mchana jua huonekana na rangi ya kawaida kutokana na kuwa karibu na muda mwingine.
asante mkuu kwa mbali nimepat mwanga
 
Sasa huko you tube unakokusema, ndiko kuliko na watu waliotembelea anga na kuona hakuna Mars? Au kuhusu flat Earth, wameizungukia dunia nzima wakaona iko flat? Nitaamini vipi kuwa wanachokisema ndicho cha kweli na kilichosemwa na watu tofauti ni uongo?
shilingi daima huwa na pande mbili..ukweli ni kuwa dunia duara ilianzishwa na kanisa katoliki enzi hizoo..me nakushauri uende ukafanye uchunguzi wa upande wa pili wanaopinga dunia mduara alaf ndio ulinganishe pande zote mbili kujua ni upande upi uko na ukweli zaid..we jiulize kwa nini antarctica imezuiliwa kutembelewa na watu??. kwanini russia waliachana na story za kuenda mwezini wakati ilikua ni kati ya miradi yao mikubwa enzi hizo???...fuatilia na flight routes za ndege katika flat earth na globe earth.itakupa picha zaid
 
Kutumia evidence za youtube kucritisize huu uzi ni ajabu kidogo aisee...
we ndugu yangu unategemea hizi media zinazokuwa zimetawaliwa na watu walewale wanaotaka muamini kuwa dunia ni duara zije ziseme dunia ni flat????. haitokaa itokee but watu wadadisi washafanya chunguzi zao na kuzitupia you tube...obama na hillary clinton wako na videos zao wakiongelea suala la flat earth.soo dont take you tube easily.kuna raia wanafanya research za maana na kuzitupia kule kwa manufaa ya kila mtu.
 
Mkuu shida ya Africa wanaingiza udini ktk sayansi na hata hizo dini akisoma fungu moja anaona ameujua ukweli na kuanza kuleta mijadara lakini sayansi siyo siasa na dini

Sayansi inajaribu kutufanya wastaarabu nakujua yaliyofichika nyuma ya pazia
sayansi hiyo hiyo mpaka leo haijaweza kujibu maswali mengi ambayo dini ishayajibu.mfano roho ni nini na inaachaje mwili anapokufa mtu...soo usidharau dini ndugu.mengi wanayovumbua siku hizi yalishaongelewa katika dini karne hizo...hata flat earth iko katika dini pia.soo usichulie hii ishu kuwa ya kiafrika no.hii ni global issue.dunia nzima wanaumiza vichwa kujuza watu vitu vingi walivyofichwa kuvijua..
 
Umeshawahi kusikia habari za viumbe wa ajabu waliotua Russia niaka ya zamani baada ya chombo walichokuwa wakitumia kupata hitilafu? Vipi kuhusu wale wa Bermuda nchini Marekani?

Nakiuliza hawa allies asili yao wapi?

Katika post yangu ya mwanzo mwisho nimemalizia kwa kusema.....Maelezo ya Astronauts wengi,huwa naamini 60% tu.
Bado ni mambo ya kufikirika hakuna aliyethibitisha ukweli
 
shilingi daima huwa na pande mbili..ukweli ni kuwa dunia duara ilianzishwa na kanisa katoliki enzi hizoo..me nakushauri uende ukafanye uchunguzi wa upande wa pili wanaopinga dunia mduara alaf ndio ulinganishe pande zote mbili kujua ni upande upi uko na ukweli zaid..we jiulize kwa nini antarctica imezuiliwa kutembelewa na watu??. kwanini russia waliachana na story za kuenda mwezini wakati ilikua ni kati ya miradi yao mikubwa enzi hizo???...fuatilia na flight routes za ndege katika flat earth na globe earth.itakupa picha zaid
Kwani kanisa la rumi na uislam ni nani alianza?

Ukweli wa dunia duara ndio bayana roman Catholic wao ktk mafundisho yao waliamini jua ndio huizunguka dunia ndio maana hata aliyethibitisha kuwa dunia ndio hulizunguka jua walimtafta kumuua maana alionekana anapotosha mafundisho ya kiroma.
 
we ndugu yangu unategemea hizi media zinazokuwa zimetawaliwa na watu walewale wanaotaka muamini kuwa dunia ni duara zije ziseme dunia ni flat????. haitokaa itokee but watu wadadisi washafanya chunguzi zao na kuzitupia you tube...obama na hillary clinton wako na videos zao wakiongelea suala la flat earth.soo dont take you tube easily.kuna raia wanafanya research za maana na kuzitupia kule kwa manufaa ya kila mtu.
Mkuu tatizo huna evidence za Dunia flat unaongea mapokeo yasiyo na lolote.
Kama dunia flat basi tungeweza kuuona mlima Kilimanjaro tukiwa DSM.
 
sayansi hiyo hiyo mpaka leo haijaweza kujibu maswali mengi ambayo dini ishayajibu.mfano roho ni nini na inaachaje mwili anapokufa mtu...soo usidharau dini ndugu.mengi wanayovumbua siku hizi yalishaongelewa katika dini karne hizo...hata flat earth iko katika dini pia.soo usichulie hii ishu kuwa ya kiafrika no.hii ni global issue.dunia nzima wanaumiza vichwa kujuza watu vitu vingi walivyofichwa kuvijua..
Roho ni ubongo ndio unaofikiri na MTU anapokufa roho hurudi ilikotoka kama mwili unavyorudi mavumbini ulikotoka

Soma bible

5 kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.
Mhubiri 9 :5

6 Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika chini ya jua.
Mhubiri 9 :6
 
Mkuu tatizo huna evidence za Dunia flat unaongea mapokeo yasiyo na lolote.
Kama dunia flat basi tungeweza kuuona mlima Kilimanjaro tukiwa DSM.
mkuu jaribu kufatilia haya mambo kwa kina.mfano mzuri wa vitu ambavyo tunafichwa hadi leo ni kuhusu UFOs (unidentified flying objects) Hizo ndege za aina hiyo huwa zinaundwa hapa hapa duniani hakuna cha aliens wanaokuja duniani wala kitu chochote bali wao hutumia robots ndo mara nyingi hushuka pale chombo kinapotua ili watu wasiweze kujua ni kipi kinachoendelea.kwa ushahidi zaid tafuta habari za FLYING SAUCER TESTING hii ni project ya miaka mingi iliyopita lakini mpaka leo nasa wanatuaminisha kuwa kuna aliens na viumbe katika sayari zingine huu sio ukwel
 
Kwani kanisa la rumi na uislam ni nani alianza?

Ukweli wa dunia duara ndio bayana roman Catholic wao ktk mafundisho yao waliamini jua ndio huizunguka dunia ndio maana hata aliyethibitisha kuwa dunia ndio hulizunguka jua walimtafta kumuua maana alionekana anapotosha mafundisho ya kiroma.
.hivi ndugu yangu unawezaje kuwaamini wakatoliki walichokisema na kupinga yule aliyekaa kwa muda mrefu na kuja na ugunduzi wake kuwa jua ndiyo inaloizunguka dunia???.huo ndio ukweli wenyewe kuwa jua huzunguka dunia pamoja na mwezi...kingine unachopaswa kujua ni kuwa mwezi hutoa mwanga wake wenyewe.hautegemei mwanga wa jua...hizo ni vitu hata google hawataki tujue soo ukisaka habari hizo google utaeza usizipate kwa usahihi ndio maana nashauri mtu kuingia you tube.kule huwa zinakua deleted baadae sana na habari zingine kama hizo hubakia milele kule soo try dig up for more data Broda
 
Ni simple sana ni kuwa kwenye core ya jua (sehemu ya ndani kabisa) kunakuwa kuna aina mbili za elements ambazo zipo kwenye mfumo gesi nazo ni helium na hydrogen sasa kinachotokea hapa ni zinaungana (nuclear fussion) kisha baada ya muunganiko huo huwa zinatoa nguvu joto kubwa mno na hii ndio huitwa plasma na huwa zinazungukana kwa spidi kubwa mno hivyo kusababisha umbo duara na hii ndiyo maana jua huonekana kama duara linalotoa mwanga mwanga huo hutokana na reaction nilizotaja hapo juu
Kwahiyo mkuu kuna siku hizo gas zitaisha?
Na ndiyo utakuwa mwisho kabisa.
 
Kwahiyo mkuu kuna siku hizo gas zitaisha?
Na ndiyo utakuwa mwisho kabisa.
Kwa wengi wa wana astronomia wanakadiria kuwa ipo siku baada ya miaka billion mbele huko gesi hizi zitapungua mno na kukaribia kuisha hivyo kufanya sehemu ya ndani ya jua kuwa ndogo mno na kisababisha jua kibadilika rangi na kuwa la orange hii ni kutokana na lenyewe kukosa malighafi ya kuzalisha nguvu yake(hydrogen na helium) hivyo kufanya lenyewe kulipuka mlipuko mkubwa mno (SUPERNOVA) na huo ndiyo utakuwa mwisho wa sayari zooote zinazozunguka jua letu hili.
 
Kwa wengi wa wana astronomia wanakadiria kuwa ipo siku baada ya miaka billion mbele huko gesi hizi zitapungua mno na kukaribia kuisha hivyo kufanya sehemu ya ndani ya jua kuwa ndogo mno na kisababisha jua kibadilika rangi na kuwa la orange hii ni kutokana na lenyewe kukosa malighafi ya kuzalisha nguvu yake(hydrogen na helium) hivyo kufanya lenyewe kulipuka mlipuko mkubwa mno (SUPERNOVA) na huo ndiyo utakuwa mwisho wa sayari zooote zinazozunguka jua letu hili.
Red giant, then Supernova
 
Back
Top Bottom