Kuna nini kwenye kifo, Je ukifa unaenda wapi?

Hayo uyasemayo ni yale uliyoichagua kuamini mkuu Ila mimi ninaamini Kristo alikuja duniani akaishi na kuitimiza kazi ya ukombozi kisha kupaa mbinguni na baadaye tena atarudi kuja kuwachukua watakatifu wake kama alivyoahidi katika Yohana 14

YN. :14:3
Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi mwepo.
unaamini blindly
toa ushahidi kuwa yesu alikuwepo hapa duniani
 
Miili yao itapatikana wapi au watapewa miili mipya?
UFU. :20:13
Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Wakahukumiwa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.

Kwa namna yoyote ile waliyokufa watapatikana

Swali la kuhusu miili kubadilishwa lipo ila kwa wale watakatifu pekee ili wapate miili mipya isiyopatikana na mauti tena Ila kwa waovu watafufuka na miili yao maana mara baada ya hukumu wana mauti nyingine tena wakipewa miili mipya itawafanya wasife milele na hivyo kuteseka katika moto walioandaliwa
 
you ain't got "Ready to Die"
"Life After Death", give it to you, however you want it nigga
Got it, they got ya, give it to you, however you want it nigga
Cause the shit it get deep, so I carry big heat "Come and get me" Twista and Biggie on the Swizz Beat.
I'm ready to die and nobody can save......... yes I'm ready.......
Now I lay me down to sleep,
I pray the Lord my soul to keep,
If I should die before I 'wake,
I pray the Lord my soul to take

Notorious B. I.G noma sana
 
Utakwendaje wakati umekufa? Kifo ni mwisho wa uhai hakuna safari wala maisha tena baada ya kifo. Hakuna tofauti na wanyama kama mbuzi, ng'ombe, kuku na wengine wote tunaowaua kwa chakula au wanaokufa wenyewe. No life after death brother!
 
Buji mistari hii
I'm ready to day and nobody can save......... yes I'm ready.......
Now I lay me down to sleep,
I pray the Lord my soul to keep,
If I should die before I 'wake,
I pray the Lord my soul to take

Notorious B. I.G noma sana
katika ngoma gani ya big
 
Done mkuu nimeisoma vyema kabisa lakini mkuu katika mada yako nzima umejikita kuelezea safari ya kifo na nini hutokea baada ya kifo ,

Ushahidi wako ulidili sana kwenye mambo ya kiimani ukiusisha ile dini ya kishetani,budha,na imani zingine lakini umesahau kuleta na ushahidi wa kisayansi pamoja na wale wasioamini katika Imani kwamba nao wamekiri maisha au safari mpya inaanza baada ya kifo.

Bado nasema hakuna Ushahidi wa moja kwa moja kuhusu Kifo kwa sababu hakuna mfu aliyerudi na kuja kutoa ushuhuda wa kile kinachoendelea mara tu baada ya kifo bali ni ushahidi wa theories mbali mbali zilizokusanywa kutoka kwenye imani za watu ambazo hazina ukweli wala ithibati ya uhakika.
Nitarejea
 
Kwa upande wa ufufuo inasemekana kila roho itavikwa mwili mpya na kwa wale waliyemuamini mungu watapewa mwili wakuto kuharibika.
Lakini pia kunanadhalia za kisayansi zinazosema kuwa mtu akifa anaenda kuzaliwa mahara pengine ndio maana utakuta either watu wanafanana katika ukoo wakati hawana hata undugu wakifamilia. Asante.
 
Kwa upande wa ufufuo inasemekana kila roho itavikwa mwili mpya na kwa wale waliyemuamini mungu watapewa mwili wakuto kuharibika.
Lakini pia kunanadhalia za kisayansi zinazosema kuwa mtu akifa anaenda kuzaliwa mahara pengine ndio maana utakuta either watu wanafanana katika ukoo wakati hawana hata undugu wakifamilia. Asante.
Je kuna ushahidi wowote wa DNA uliowahi kutolewa ili kusibitisha kwamba kuna mfanano wa DNA kati ya huyu aliokufa huku na yule aliyezaliwa kule ukiachana na mfanano wao wa Sura?
 
Ukifa unarudi mavumbini ulipotoka na pumzi ya Mungu aliyokupulizia puani ili uwe nafsi hai inamrudia yeye hii pumzi haina utambuzi wowote

Kwa kifupi tu ukifa unabaki kaburini mpk marejeo ya Kristo mara ya pili
Baada ya kifo not hukumu" huwa abahukumiwa nani sasa kama unabaki mavumbini npka Yesu arudi?
 
upuuzi,yesu harudi sababu hajawahi kwenda popote
ni utunzi wa wazungu tu,hivi kwa nini hamuelewi!!!!!!

even if we assume he existed,he was a famous liar too
mathew 16:28
"Truly I tell you, some who are standing here will not taste death before they see the Son of Man coming in his kingdom."
And what is your interpretation concerning that scripture?
 
Back
Top Bottom