Nono
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 1,536
- 643
Du nilikuwa sijaiona hii.
Dr. Mtwangambate, G, mbona tulikubaliana pamoja ulipotaka ushauri akiwepo na Dr. Kileo kuwa tuwasiliane kwanza kabla ya kushusha haya mambo mazito bila uchunguzi wa kutosha? Jamii ina habari kamili yaana umeongea yaliyo ya kweli lakini kuna mengi ya uongo kabisa. Na mwishowe utaonekana kuwa ni uzushi kwa kila uliloandika sasa.
Mzee kwa mwendo huu naona hata hapa chuoni (katika masomo yako ya juu) uliyoanza yatakushinda sasa.
Unahakika na haya uliyoandika hapa, au una chuki na hawa wenye majina haya? By the way, you have tryied to be open about those you suspect. Then who are you?