Picha lako halisomi vizuri!kuna kitu kinaniumiza kichwa.....
kuhusu kipindi cha MKASI cha Salama Andunje Jabir...alipomfanjia tu intavyuu Kanumba haikupita mda akafariki,Lulu nae baada ya intavyuu haikupita mda kitu cha kunyea debe kikamuhusu,haya sasa kipindi cha wiki ilopita alikuwa SAJUKI imepita siku moja tu nae huyooo katuaga!!!!! NINI HIKI!!??
Mawazo mgando....kuna kitu kinaniumiza kichwa.....
kuhusu kipindi cha MKASI cha Salama Andunje Jabir...alipomfanjia tu intavyuu Kanumba haikupita mda akafariki,Lulu nae baada ya intavyuu haikupita mda kitu cha kunyea debe kikamuhusu,haya sasa kipindi cha wiki ilopita alikuwa SAJUKI imepita siku moja tu nae huyooo katuaga!!!!! NINI HIKI!!??
kuna kitu kinaniumiza kichwa.....
kuhusu kipindi cha MKASI cha Salama Andunje Jabir...alipomfanjia tu intavyuu Kanumba haikupita mda akafariki,Lulu nae baada ya intavyuu haikupita mda kitu cha kunyea debe kikamuhusu,haya sasa kipindi cha wiki ilopita alikuwa SAJUKI imepita siku moja tu nae huyooo katuaga!!!!! NINI HIKI!!??
kuna kitu kinaniumiza kichwa.....
kuhusu kipindi cha MKASI cha Salama Andunje Jabir...alipomfanjia tu intavyuu Kanumba haikupita mda akafariki,Lulu nae baada ya intavyuu haikupita mda kitu cha kunyea debe kikamuhusu,haya sasa kipindi cha wiki ilopita alikuwa SAJUKI imepita siku moja tu nae huyooo katuaga!!!!! NINI HIKI!!??
Teh teh teh,msaliamwema bana,anavituko balaa!Tumia king'amuzi mkuu
Jamaa anahisi kuna correlation kati ya kuhojiwa na Salama katika kipindi cha Mikasi na siku za kuishi. Kwa akili za kitoto anahisi wasingehojiwa wangeishi milele au kutokwenda jela. Kazi ipo mwaka huu wa dijitali....analysis yako ni ya kitoto sana.
jipange.
Picha lako halisomi vizuri!
Mbona majuzi pia alimhoji Jackline Wolper, Majani, etc, kwanini wasife au kukumbwa na mabalaa?
analysis yako ni ya kitoto sana.
Jipange.
mmm!na wewe imani zako za ajabu kweli.mbona hata zamaradi alimuhoji kanumba.sasa wewe unahusishaje kuhojiwa na kufariki.acha utoto.kuna kitu kinaniumiza kichwa.....
kuhusu kipindi cha MKASI cha Salama Andunje Jabir...alipomfanjia tu intavyuu Kanumba haikupita mda akafariki,Lulu nae baada ya intavyuu haikupita mda kitu cha kunyea debe kikamuhusu,haya sasa kipindi cha wiki ilopita alikuwa SAJUKI imepita siku moja tu nae huyooo katuaga!!!!! NINI HIKI!!??
hizo tunaziita akili za kianalogia